DC Jerry Muro amfokea DED kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 kwenye msafara

DC Jerry Muro amfokea DED kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 kwenye msafara

Mkuu nimeona umezungumza maoni yako ambayo kiasi kikubwa uko sahihi, Ila kabla ya kumdhalilisha mtu kwenye umma lazima uwe na uhakika wa kile kilichomfanya yeye kuchelewa hapo alipo.Labda kwa kuzungumza ukweli ninaoufahamu juu ya tukio kwa sababu mimi naishi na huyu mkurugenzi kwake ila pia siwezi kuzungumza kwa kutetea upande wowote lakini nitazungumza namna stori ilivyokuwa na dr alivyofika nyumbani alivyotuambia nini kilitokea kabla ya kuenea mitandaoni.Ilikuwa ni juzi siku ya Jumanne usiku wakati mkurugenzi anarudi nyumbani alitukuta tumekaa sebuleni tunaangalia filamu ya marehemu Steven Kanumba dar 2 lagos chanel ya St swahili, alivyofika baada ya kumsalimia alikuwa tofauti na tulivyomzoea yaani hakuwa na furaha kuna simu ikawa imeingia ya kiongozi mmoja hivi wa serikali akamuuliza mkutano wenu umeendaje, akwambia haukuwa vizuri kulikuwa na tatizo baada ya kusikia hivyo ilibidi kupunguza sauti ya tv ili kusikiliza kilichotokea baada ya kuongea na simu akaanza kutuelezea ilivyokuwa.
Kwa kifupi ilikuwa hivi...... Asubuhi ya Jumanne viongozi hawa yaani Dc, Rc, Rpc, Ded na wengine walikuwa wamepanga kwenda ziara nahisi ilikuwa Arumeru hivyo wakati wanajiandaa kuondoka pale ofisini Mkurugenzi akawa amesahau baadhi ya documents ofisini hivyo akaomba kuzichukua haraka ili waondoke wakati anachukua documents hizo, akatoka nje akakuta msafara umeshaondoka ikiwepo gari ya King'ora ambayo hufanya gari na watu barabarani kupisha msafara hivyo basi akapanda kwenye gari lake na kuondoka ili kuwahi,Hivyo basi kutoka ofisini Sekei hadi kwenye mkutano Arumeru kulikuwa na foleni sana njiani pia Magari na watu hawa kupisha gari ya Mkurugenzi kwa sababu hakukuwa na gari ya king'ora kuonesha kuwa anawahi sehemu.
Baada ya purukushani hizo Mkurugenzi alifanikiwa kufika akiwa amechelewa kati ya dakika tano hadi kumi kwa hiyo kabla hajaeleza kitu chochote ndio akakutana na fedheha ya namna hii.Hivyo basi ningependa kushauri mtu yoyote kabla ya kutoa hukumu au kumuona mtu .. amekosea ni bora kwanza kusikiliza nini kimesababisha tatizo. kwa hiyo kwa tukio hili la Jumanne mheshimiwa Jerry Muro alikuwa akijua kabisa mkurugenzi amechelewa kwa sababu walimuacha bila kumpa taarifa wakati walikuwa pamoja na alikuwa anachukua documents ambazo ni mhimu kwa ajili ya mkutano wa siku ile hivyo inaweza kuwa Dc alifanya hivyo aidha kwa kupanga au bila kufikiria.
Naona ded umefunguka ukweli... Safii daima Kweli itakuweka huru
 
Acha ujinga wewe.
Aliyekwambia ukiwa mwakilishi wa Rais kazi yako ni kutukana watu nnani?
Je, unataka kusema kwamba Rais Magufuli anayewateua ndio anawatuma kufanya kazi za kihunihuni za kutukana watu na kuwaweka L/up masaa 24/48?
Ukweli utabaki kuwa ukweli ila tusi ulilonitukana likuridie wewe

Sent from my TECNO N5 using JamiiForums mobile app
 
Hizi teuzi za JPM kwa kweli nyingi zinaleta taswira mbaya kwa serikali ya awamu ya tano, semina elekezi ni muhimu sana kama ndiyo mtu ndiyo unaanza majukumu mapya, hili la Jerry Muro kumfokea mkurugenzi ambaye hana mamlaka yoyote ya kiutendaji ni swala kijinga kbs, hata ukijaribu kuangalia RC naye kakaa tu hapa kama picha, kwa tunaosoma alama kwa ile video inaonekana nafas ya RC Gambo iko wazi na kijana anaitamani ama kuna maelekezo ya ziada, ila kwa style hii za teuzi inaonekana hata vetting haifanyiki watu wanaokotezwa tu, mfano wa hizi teuzi::
1. Makonda
2. Jerry Muro
3. Kangi Lugola
4. Chalamila
5. Juliana Shonza
6. Dr. Philip Mpango
7.....
Unaweza ongezea hapo
Jokate Mwegelo,Malaya mstaafu umemsahau ,mkuu usishangae ,Rais wa hovyo huteua watu wa hovyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eeeehhhh... Jamani Jerry anakoelekea sio kabisa.. Eeeeeh..!!😡😡😡😳😳😳😳 Mh Rais wangu tengua huyu mtu, plz plz plz...!!! Yaani nasema kweli kabisa ingekuwa ni mm ananinyooshea kidole hivyo napiga ngumi hadi atakimbia atasahau kila kitu hapo..hatarudia tena kabisa..!!
Rais mwenyewe ni chizi unatarajia nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gambo anamuangalia tu kwasababu anajua kilichowahi kumtokea miaka ile ya 2012/2013 alipokua Korogwe na akajifanya kukorogana na DED,alipata tabu sana Gambo,amwambie Muro awe makini.
 
Hizi teuzi za JPM kwa kweli nyingi zinaleta taswira mbaya kwa serikali ya awamu ya tano, semina elekezi ni muhimu sana kama ndiyo mtu ndiyo unaanza majukumu mapya, hili la Jerry Muro kumfokea mkurugenzi ambaye hana mamlaka yoyote ya kiutendaji ni swala kijinga kbs, hata ukijaribu kuangalia RC naye kakaa tu hapa kama picha, kwa tunaosoma alama kwa ile video inaonekana nafas ya RC Gambo iko wazi na kijana anaitamani ama kuna maelekezo ya ziada, ila kwa style hii za teuzi inaonekana hata vetting haifanyiki watu wanaokotezwa tu, mfano wa hizi teuzi::
1. Makonda
2. Jerry Muro
3. Kangi Lugola
4. Chalamila
5. Juliana Shonza
6. Dr. Philip Mpango
7.....
Unaweza ongezea hapo


Madaraka ni kama software ya nyongeza kwenye software endeshi anbayo ni utashi wa kiongozi husika, kama software tumizi ikiwekwa juu ya software inayotafunwa na wadudu basi usitegemee mafanikio katika software tumizi.
 
Mkuu nimeona umezungumza maoni yako ambayo kiasi kikubwa uko sahihi, Ila kabla ya kumdhalilisha mtu kwenye umma lazima uwe na uhakika wa kile kilichomfanya yeye kuchelewa hapo alipo.Labda kwa kuzungumza ukweli ninaoufahamu juu ya tukio kwa sababu mimi naishi na huyu mkurugenzi kwake ila pia siwezi kuzungumza kwa kutetea upande wowote lakini nitazungumza namna stori ilivyokuwa na dr alivyofika nyumbani alivyotuambia nini kilitokea kabla ya kuenea mitandaoni.Ilikuwa ni juzi siku ya Jumanne usiku wakati mkurugenzi anarudi nyumbani alitukuta tumekaa sebuleni tunaangalia filamu ya marehemu Steven Kanumba dar 2 lagos chanel ya St swahili, alivyofika baada ya kumsalimia alikuwa tofauti na tulivyomzoea yaani hakuwa na furaha kuna simu ikawa imeingia ya kiongozi mmoja hivi wa serikali akamuuliza mkutano wenu umeendaje, akwambia haukuwa vizuri kulikuwa na tatizo baada ya kusikia hivyo ilibidi kupunguza sauti ya tv ili kusikiliza kilichotokea baada ya kuongea na simu akaanza kutuelezea ilivyokuwa.
Kwa kifupi ilikuwa hivi...... Asubuhi ya Jumanne viongozi hawa yaani Dc, Rc, Rpc, Ded na wengine walikuwa wamepanga kwenda ziara nahisi ilikuwa Arumeru hivyo wakati wanajiandaa kuondoka pale ofisini Mkurugenzi akawa amesahau baadhi ya documents ofisini hivyo akaomba kuzichukua haraka ili waondoke wakati anachukua documents hizo, akatoka nje akakuta msafara umeshaondoka ikiwepo gari ya King'ora ambayo hufanya gari na watu barabarani kupisha msafara hivyo basi akapanda kwenye gari lake na kuondoka ili kuwahi,Hivyo basi kutoka ofisini Sekei hadi kwenye mkutano Arumeru kulikuwa na foleni sana njiani pia Magari na watu hawa kupisha gari ya Mkurugenzi kwa sababu hakukuwa na gari ya king'ora kuonesha kuwa anawahi sehemu.
Baada ya purukushani hizo Mkurugenzi alifanikiwa kufika akiwa amechelewa kati ya dakika tano hadi kumi kwa hiyo kabla hajaeleza kitu chochote ndio akakutana na fedheha ya namna hii.Hivyo basi ningependa kushauri mtu yoyote kabla ya kutoa hukumu au kumuona mtu .. amekosea ni bora kwanza kusikiliza nini kimesababisha tatizo. kwa hiyo kwa tukio hili la Jumanne mheshimiwa Jerry Muro alikuwa akijua kabisa mkurugenzi amechelewa kwa sababu walimuacha bila kumpa taarifa wakati walikuwa pamoja na alikuwa anachukua documents ambazo ni mhimu kwa ajili ya mkutano wa siku ile hivyo inaweza kuwa Dc alifanya hivyo aidha kwa kupanga au bila kufikiria.
Kutokana na mlolongo wako wa simulizi nimethibitisha haya yafuatayo.

1. Dr alijuwa kama wana msafara. Inaonesha hayuko organised kiasi cha kusahau nyaraka muhimu.

2. Dr alikuwa amjuilishe bosi wake kwamba anaondoka kwenye macho yao kwa sababu maalumu

3. Kiongozi wa msafara alikuwa ahakikishe watu wote muhimu wapo ndio aanze safari. Ni sawa na kwenda kuzika mukamuwacha padri au shehe nyuma kwa sababu alienda kujisaidia.

4. Hakuna ufuataji wa discplinary code of conducts kiasi ambacho kiongozi huhukumu kwa hisia zake.

5. Kuna sense.of.insecurity na inferiority kwa.DC juu ya DED wake kwa kuzidiana kiwango cha elimu au uzoefu au umaarufu. Kwa hiyo DC alitaka kuonyesha misuli at the first opportunity.

6. DED hajiamini na inaonekana anamuonesha kumuogopa DC kiasi cha kumpa mwanya wa kumtolea maneno ya ovyo mbele ya dunia.

7. DED aitendee haki elimu yake na kuprove kwa dunia kwamba yeye ni Dr by qualifications na kwa maana hiyo hayuko tayari kuzarauliwa. Aombe kuombwa radhi ama ajiuzulu
 
Huyu jamaa nae ajitafakari, anaboronga sana. Ajifunze kwa mwenzake Godwin Gondwe.

Upuuzi anaoufanya anudharirisha ukuu wa wilaya. Hii kazi wawe wanawapa watu wanaoelewa maana ya uongozi. Sio kila mlopokaji ni mtu sahihi.
 
Kutokana na mlolongo wako wa simulizi nimethibitisha haya yafuatayo.

1. Dr alijuwa kama wana msafara. Inaonesha hayuko organised kiasi cha kusahau nyaraka muhimu.

2. Dr alikuwa amjuilishe bosi wake kwamba anaondoka kwenye macho yao kwa sababu maalumu

3. Kiongozi wa msafara alikuwa ahakikishe watu wote muhimu wapo ndio aanze safari. Ni sawa na kwenda kuzika mukamuwacha padri au shehe nyuma kwa sababu alienda kujisaidia.

4. Hakuna ufuataji wa discplinary code of conducts kiasi ambacho kiongozi huhukumu kwa hisia zake.

5. Kuna sense.of.insecurity na inferiority kwa.DC juu ya DED wake kwa kuzidiana kiwango cha elimu au uzoefu au umaarufu. Kwa hiyo DC alitaka kuonyesha misuli at the first opportunity.

6. DED hajiamini na inaonekana anamuonesha kumuogopa DC kiasi cha kumpa mwanya wa kumtolea maneno ya ovyo mbele ya dunia.

7. DED aitendee haki elimu yake na kuprove kwa dunia kwamba yeye ni Dr by qualifications na kwa maana hiyo hayuko tayari kuzarauliwa. Aombe kuombwa radhi ama ajiuzulu
safi kabisa mkuu ila kujibu hoja zako ni kuwa
1. Msafara ulikuwa unaelekea kwenye baadhi ya jamii zilizo kuwa na migogoro hivyo basi isingekuwa rahisi kwa binadamu wa kawaida kukumbuka documents zote ambazo zilikuwa zimetunzwa baada ya kujaribu kutatua huo mgogoro hapo nyuma hivyo baada ya kukumbuka kuwa documents fulani zingesaidia katika hilo ikambidi arudi ofisini kuzichukua.
2. Aliwajulisha mabosi zake ikiwemo dc, Rc na Rpc wakamwambia wanamsubiri ila haikuchukua muda baada ya yy kuingia ofisini wakaondoka.
Hoja nyingine sidhani kama nina maoni katika juu yake
 
Eeeehhhh... Jamani Jerry anakoelekea sio kabisa.. Eeeeeh..!!😡😡😡😳😳😳😳 Mh Rais wangu tengua huyu mtu, plz plz plz...!!! Yaani nasema kweli kabisa ingekuwa ni mm ananinyooshea kidole hivyo napiga ngumi hadi atakimbia atasahau kila kitu hapo..hatarudia tena kabisa..!! Dr. Mahela is the most reputable academician, alafu Jerry anamfanyia hv? OMG..!!
Hapo ndipo wasomi wajue madhara ya kukubali vyeo ambao watakuwa wanakemewa na VIJANA wasio na elimu kubwa
 
Anataka kumfukuzisha kazi mwenzake,yaani akipandishiana nae ni Insabodination na kosa hilo adhabu yake n summary dismissal.Mtakumbuka issue ya yule RC wa Mwanza na RAS wake, RAS alipoteza kazi kwa kawaida ugomvi au chuki zinatokana na mafungu.RAS na DED wana control funds .Ilikuja eleweka baadae yule RC in MTU wa namna gani.Accounting Officer akigawa hela ya Serikali hivyo yeye ndio anawajibishwa ukiwanyima chuki zinaanza.,Viongozi wakuu wanalijua hili wawalinde Accounting Officers vinginevyo wakichoka kubana wataachia na magoli yafafungwa
 
Wanyooshane kabisa. Wateule wa Raisi.
Hajameambia akatafute nchi nyingine ya kuishi? Huyo Jerry juzi kawaambia wananchi wakatafute nchi nyingine.
 
Uongozi ni dhamana na katika swala la uongozi usijiite wewe ni mkubwa kwani hii ni tofauti na umri wa MTU kwani katika umri mkubwa atabaki kuwa mkubwa tu. Lakini uongozi ni kubadilishana vijiti. Leo itazaa kesho hivyo kesho hatujui itazaa matunda yapi. Muro zingatia hilo mkuu
 
Madaraka ya kulevya matamu sana ndo maana ata mtu akiharibu zaidi kujiengua hataki ndo wanachopenda kufoka hivo
 
Back
Top Bottom