Hana mamlaka kisheria kumpiga mtu huyo anatakiwa afukuzwe kazi kabisaTatizo mnataka kila kitu kulalama, kosa la jerry ni nini,lazima mtu upewe kitssa ili akili imkae mnajifanya mna huruma sana wakati upuzi wa madereva kutofuata sheria za barabarani ndiyo unasababisha ajali kila siku,
Bado TomJerry bana
Hakutii sheria alitaka shuruti macho huna huoni hata masikio huna usikiiiKumpiga konda ni kufuata sheria? Au ni konda pekee ndo anatakiwa kufuata sheria?
We sheria unaijuaHana mamlaka kisheria kumpiga mtu huyo anatakiwa afukuzwe kazi kabisa
After i saw what your name was, i decided to save my energy!Hakutii sheria alitaka shuruti macho huna hata masikio huna
FallacyAfter i saw what your name was, i decided to save my energy!
Nop!Fallacy
Hayo ni yako.Simjui huyo fulani.Kama fulani[emoji2] [emoji2]
Ha ha ha haaaaaa.... Mungu anakuepusha na jela mkuu, maana na-imagine ukishapigwa kofi reaction yako itakuaje!Dah mimi najiuliza kwanini matukio ya hivi hayanikuti.
Kapakie abiria kwenye zebra yatakukutaDah mimi najiuliza kwanini matukio ya hivi hayanikuti.