Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbao za mawe zitasambaratikaDah mimi najiuliza kwanini matukio ya hivi hayanikuti.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] sasa mkuu yakikukuta utafanyaje?Dah mimi najiuliza kwanini matukio ya hivi hayanikuti.
Oooh unajuaje kama nataka yanitokee kwenye uongozi wangu.Mbao za mawe zitasambaratika
Nakimbia.[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] sasa mkuu yakikukuta utafanyaje?
Hahahahaaachapa kaz wewe ni kichaa kama mimi
Hongera sana DC huyo konda alistahili makofi ya kutosha mbona kama amempapasa tu?Wana JF
Habari za jioni, nimekutana na huu mkasa huko mitandao ya kijamii, kwenye post mojawapo za Jerry Muro, mtanzania mmoja amedai ya kuwa tukio hilo lilitokea huko Arusha ambapo, Kondakta wa basi husika alitoka kwa ajili ya kujitetea baada ya kupakia abiria sehem isiyo husika.
Kama kuna anayeweza kuthibitisha hili.
View attachment 860709
Unaandika haya kwa kuwa upo nyuma ya keyboard nenda kwenye uhalisia tena utachapwa mbele ya mkeo/mumeo wangapi tushawashuhudia wakipigwa mbele za familia zao?Daaa kuna watu wapole sana kama huyo konda, kwa nn hayanitokei yaliyompata konda? Dunia ingeniweka kwenye rekodi!
Mkuu unajichosha bure watanzania wengi ni mafala kama alivyosema mkapa na huyo unayemwelewesha ni fala yeye hajui kuwa kuna sheria anahisi kitendo cha mtu kuwa na mamlaka basi yeye ndiye Alfa na Omega anaweza kufanya atakalo juu ya mtu anayemtawala.Ingekuwa jerry ni afisa wa polis sawa. Maana wao ndio wamepewa mamlaka ya kutumia nguvu. Hakupewa yy kisheria.
Na yeye kavunja sheria