DC Jokate: Zaeni watoto mtakaomudu kuwalea ili kupunguza watoto wa mtaani wakiwemo Panya Road

DC Jokate: Zaeni watoto mtakaomudu kuwalea ili kupunguza watoto wa mtaani wakiwemo Panya Road

Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo, amewataka wananchi hasa wazazi kuhakikisha wanazaa watoto ambao watawamudu kuwalea ili kuepusha nchi kuwa na idadi kubwa ya watoto wa mitaani ambao wengine wanaamua kujiingiza kwenye vitendo vya uhalifu ikiwemo panya road.

DC Jokate ametoa kauli hiyo leo Septemba 26, 2022, kwenye maadhimisho ya siku ya uzazi wa mpango duniani yaliyoadhimishwa katika hospitali ya Mbagala Rangitatu iliyopo katika Manispaa ya Temeke.

Chanzo: EATV
Acha wazae, Kila mtoto ajapo duniani huja na sahani yake.

Wazazi wafanye KAZI Kwa bidii wa kike na wa kiume, baass!!!
 
Tatizo tunazaa kwa sababu tu umehisi nyege hatuna muda wa kukaa chini na kupanga tunaangushana tu kitandani
Ndo ujumbe wa DC Joketi unapolenga hapo, imagine Mungu aliyetuumba alianza na uwekezaji ndo akamtengeneza mwanadamu aje kutawala na kula mema ya nchi sisi tunataka tuishi kama wanyama bila mipango unazalisha watoto au unazaa watoto na uwezo wa kuwalea huna unaanza kuchukia wenye mipango kama mchawi.
 
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo, amewataka wananchi hasa wazazi kuhakikisha wanazaa watoto ambao watawamudu kuwalea ili kuepusha nchi kuwa na idadi kubwa ya watoto wa mitaani ambao wengine wanaamua kujiingiza kwenye vitendo vya uhalifu ikiwemo panya road.

DC Jokate ametoa kauli hiyo leo Septemba 26, 2022, kwenye maadhimisho ya siku ya uzazi wa mpango duniani yaliyoadhimishwa katika hospitali ya Mbagala Rangitatu iliyopo katika Manispaa ya Temeke.

Chanzo: EATV
Wito huu ulitakiwa utolewe miaka 40 iliyopita now it's to late 🐴 already bolted
 
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo, amewataka wananchi hasa wazazi kuhakikisha wanazaa watoto ambao watawamudu kuwalea ili kuepusha nchi kuwa na idadi kubwa ya watoto wa mitaani ambao wengine wanaamua kujiingiza kwenye vitendo vya uhalifu ikiwemo panya road.

DC Jokate ametoa kauli hiyo leo Septemba 26, 2022, kwenye maadhimisho ya siku ya uzazi wa mpango duniani yaliyoadhimishwa katika hospitali ya Mbagala Rangitatu iliyopo katika Manispaa ya Temeke.

Chanzo: EATV
Kila kona wanamkana Jiwe!
 
Elimu ya afya ya uzazi ni ndogo sana katika jamii zetu pia inadharaulika na wanandoa wengi sana, pia mfumo wa malezi katika jamii zetu ni mbovu sana.
 
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo, amewataka wananchi hasa wazazi kuhakikisha wanazaa watoto ambao watawamudu kuwalea ili kuepusha nchi kuwa na idadi kubwa ya watoto wa mitaani ambao wengine wanaamua kujiingiza kwenye vitendo vya uhalifu ikiwemo panya road.

DC Jokate ametoa kauli hiyo leo Septemba 26, 2022, kwenye maadhimisho ya siku ya uzazi wa mpango duniani yaliyoadhimishwa katika hospitali ya Mbagala Rangitatu iliyopo katika Manispaa ya Temeke.

Chanzo: EATV
Kwa hili she has my vote!
 
Elimu ya afya ya uzazi ni ndogo sana katika jamii zetu pia inadharaulika na wanandoa wengi sana, pia mfumo wa malezi katika jamii zetu ni mbovu sana.
Ni muda sahihi sasa kuipa uzito unaostahili. Haitoshi watu kupanua tu mapaja but totally irresponsible kwenye malezi.
 
Yeye anazaa akiwa na uwezo wa kumlea.

D.c amesema ukweli. Malezi ni factor kubwa.

Mbona watoto wa wahindi hawawi ma panya road? Na wahindi wapo Tanzania miaka na miaka wamejaa kibao

Ngumu sana kukutana na changudoa ama panyarodi muhindi.

Umaskini na malezi mabovu yana mchango mkubwa kwenye crime
Changudoa wahindi wapo kibao! Sema wao wanauza kwa kificho sana na wana bei sana! Kulala nae unaweza ambiwa USD 500 au 1000! Show time USD 100 na anakufata hotelini kwako au kwenye apartment ulipo!

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Zama za ukabaila watoto wakitumika kama nguvu kazi kuzalisha. Leo tunaongelea artificial intelligence Mzee.
Nadhani umeongea kitu kilicho bora zaidi, dunia sasa inafanya mapinduzi ya nne ya Kisayansi na kiteknolojia ulimwengu unaenda kwenye utegemezi mdogo wa rasilimali watu na kuikumbatia artificial intelligence technology [ AI ], kwa hiyo ni hasara kuhamasisha watu kuzaliana kama siafu ni hasara huko tuendako.
 
So sasa mipango na dira ya Serekali imebadilika sio ishu ya kufyatua tu ila twende kwa hesabu na timing?

Hii nchi kuna shida sana kuliko tunavyojua. Ni wapi mliona nchi inaendelea bila kuwa na mipango consistent

Tuliambiwa gesi ya Mtwara ndio suluhisho baada ya mwaka tukaambiwa achaneni na gesi haina ishu tukazane na umeme wa Stiglers Gorge baada ya mwaka tukaambiwa huo sio wa leo wala kesho tuangalie gesi na umeme wa upepo.

Tuliambiwa vita ya uchumi ni kubwa na strategy ni kujifungia, kutimua wawekezaji na kutumia rasilimali zetu baada ya mwaka tunaambiwa dawa ni kufungua uchumi na kukumbatia wawekezaji. Tukaambiwa corona haipo ni ujinga wa kutunga tu baada ya miezi tukaambiwa corona ni tishio na inabidi tuchanjwe.
Nchi CCM ni janga kuu
 
Vipi wale waliozaliwa then uchumi ukayumba kwa mzazi
 
Back
Top Bottom