DC Jokate: Zaeni watoto mtakaomudu kuwalea ili kupunguza watoto wa mtaani wakiwemo Panya Road

DC Jokate: Zaeni watoto mtakaomudu kuwalea ili kupunguza watoto wa mtaani wakiwemo Panya Road

Panyaroad ni zao la ccm kushindwa kuoanisha nguvu Kazi zilizopo na raslimali tele zilizopo
 
Nadhani umeongea kitu kilicho bora zaidi, dunia sasa inafanya mapinduzi ya nne ya Kisayansi na kiteknolojia ulimwengu unaenda kwenye utegemezi wa mdogo wa rasilimali watu na kuikumbatia artificial intelligence technology [ AI ], kwa hiyo ni hasara kuhamasisha watu kuzaliana kama siafu ni hasara huko tuendako.
Miaka ile ya slavery na ukabaila kazi iliyofanywa na watu elfu leo by using technology the same or even more piece of work is performed by just one human being funny enough with a better quality!
 
Yeye anazaa akiwa na uwezo wa kumlea.

D.c amesema ukweli. Malezi ni factor kubwa.

Mbona watoto wa wahindi hawawi ma panya road? Na wahindi wapo Tanzania miaka na miaka wamejaa kibao

Ngumu sana kukutana na changudoa ama panyarodi muhindi.

Umaskini na malezi mabovu yana mchango mkubwa kwenye crime
Nenda India utawakuta panyarodi wa kihindi
 
Vipi kuhusu panyarodi wa kihindi.. ama jambazi wa kihindi?
Hujui kama wahindi ndiyo panya road wakubwa?? Au unataka na wenyewe wabebe mapanga waingie barabarani kukaba watu?? Wenyewe wana upanya road wao! Wanapiga minofu ya nyama kwa deal kubwa kubwa!
 
Hujui kama wahindi ndiyo panya road wakubwa?? Au unataka na wenyewe wabebe mapanga waingie barabarani kukaba watu?? Wenyewe wana upanya road wao! Wanapiga minofu ya nyama kwa deal kubwa kubwa!

Hapo wanakuwa na tauti gani na viongozi mafisadi ama wana siasa mafisadi wanaotawala nchi?

Malezi mabovu ndio yanazalisha hao panyarodi wanaobeba mapanga na kuua watu.
Kama wangekuwa wamelelewa vizuri na kupata elimu nzuri wasingebeba mapanga
 
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo, amewataka wananchi hasa wazazi kuhakikisha wanazaa watoto ambao watawamudu kuwalea ili kuepusha nchi kuwa na idadi kubwa ya watoto wa mitaani ambao wengine wanaamua kujiingiza kwenye vitendo vya uhalifu ikiwemo panya road.

DC Jokate ametoa kauli hiyo leo Septemba 26, 2022, kwenye maadhimisho ya siku ya uzazi wa mpango duniani yaliyoadhimishwa katika hospitali ya Mbagala Rangitatu iliyopo katika Manispaa ya Temeke.

Chanzo: EATV
Yule Bwana wao alitoaga amri wanawake wafyatue tu watoto Nchi yetu Ni kubwa !!
Leo mmemgeuka !!!
 
So sasa mipango na dira ya Serekali imebadilika sio ishu ya kufyatua tu ila twende kwa hesabu na timing?

Hii nchi kuna shida sana kuliko tunavyojua. Ni wapi mliona nchi inaendelea bila kuwa na mipango consistent

Tuliambiwa gesi ya Mtwara ndio suluhisho baada ya mwaka tukaambiwa achaneni na gesi haina ishu tukazane na umeme wa Stiglers Gorge baada ya mwaka tukaambiwa huo sio wa leo wala kesho tuangalie gesi na umeme wa upepo.

Tuliambiwa vita ya uchumi ni kubwa na strategy ni kujifungia, kutimua wawekezaji na kutumia rasilimali zetu baada ya mwaka tunaambiwa dawa ni kufungua uchumi na kukumbatia wawekezaji. Tukaambiwa corona haipo ni ujinga wa kutunga tu baada ya miezi tukaambiwa corona ni tishio na inabidi tuchanjwe.
Chama Cha mbogamboga na watu wake ndio virus inayoitafuna NCHI hii...
 
Maneno mengine kutamka wakati nae anatarajia.. mmmmh!!!

Aombe toba..
Ye ana uwezo wa kulea,hamna baya alotamka,ni ukweli kwamba Moja ya factor kubwa inayosababisha watoto wahalifu ni uzazi usio wa mpango
 
So sasa mipango na dira ya Serekali imebadilika sio ishu ya kufyatua tu ila twende kwa hesabu na timing?

Hii nchi kuna shida sana kuliko tunavyojua. Ni wapi mliona nchi inaendelea bila kuwa na mipango consistent

Tuliambiwa gesi ya Mtwara ndio suluhisho baada ya mwaka tukaambiwa achaneni na gesi haina ishu tukazane na umeme wa Stiglers Gorge baada ya mwaka tukaambiwa huo sio wa leo wala kesho tuangalie gesi na umeme wa upepo.

Tuliambiwa vita ya uchumi ni kubwa na strategy ni kujifungia, kutimua wawekezaji na kutumia rasilimali zetu baada ya mwaka tunaambiwa dawa ni kufungua uchumi na kukumbatia wawekezaji. Tukaambiwa corona haipo ni ujinga wa kutunga tu baada ya miezi tukaambiwa corona ni tishio na inabidi tuchanjwe.
Nchi haijawahi kuwa na dira ya pamoja. Kila anayechukua kiti anakuja na dira yake.
 
Jokate usinene ukamala kumbuka wewe ni mzazi na hakuna bingwa wa malezi
 
Ndo ujumbe wa DC Joketi unapolenga hapo, imagine Mungu aliyetuumba alianza na uwekezaji ndo akamtengeneza mwanadamu aje kutawala na kula mema ya nchi sisi tunataka tuishi kama wanyama bila mipango unazalisha watoto au unazaa watoto na uwezo wa kuwalea huna unaanza kuchukia wenye mipango kama mchawi.
Elimu ya afya ya uzazi ni ndogo sana katika jamii zetu pia inadharaulika na wanandoa wengi sana, pia mfumo wa malezi katika jamii zetu ni mbovu sana.
Ni muda sahihi sasa kuipa uzito unaostahili. Haitoshi watu kupanua tu mapaja but totally irresponsible kwenye malezi.
Mpo sahihi kabisa, kuzaa kwa mipango ni muhimu kwa dunia ya sasa.
 
Hakuna jamii iliyo na wasafi pekee. Kwao umeshaishi India ukaona hakuna magenge Kama haya kweli
Yapo ya kutosha, tena hatari kweli.

Hata wao ongezeko kubwa la watu ni tatizo kubwa mno hasa kwa kukithiri umasikini mkubwa kwenye baadhi ya majimbo na jamii.
 
Hakuna jamii iliyo na wasafi pekee. Kwao umeshaishi India ukaona hakuna magenge Kama haya kweli

Panyarodi wa kihindi ili niwaone mpaka niende india.

Tanzania wahindi wapo miaka na miaka na wapo kibaoo . Hapa Tanzania Mbona hatuoni panya rodi wa kihindi? Na huku tunaishi nao nchi moja miaka kibao
 
Back
Top Bottom