Hahahahaha! Dogo hana chake tena."Fyatueni tu elimu bureeeee" alisikika dogo mmoja akiongea peke ake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha! Dogo hana chake tena."Fyatueni tu elimu bureeeee" alisikika dogo mmoja akiongea peke ake
Utatuvuruga WeweWavaa kobazi waambiwe ukweli.
Miaka ile ya slavery na ukabaila kazi iliyofanywa na watu elfu leo by using technology the same or even more piece of work is performed by just one human being funny enough with a better quality!Nadhani umeongea kitu kilicho bora zaidi, dunia sasa inafanya mapinduzi ya nne ya Kisayansi na kiteknolojia ulimwengu unaenda kwenye utegemezi wa mdogo wa rasilimali watu na kuikumbatia artificial intelligence technology [ AI ], kwa hiyo ni hasara kuhamasisha watu kuzaliana kama siafu ni hasara huko tuendako.
Changudoa wahindi wapo kibao! Sema wao wanauza kwa kificho sana na wana bei sana! Kulala nae unaweza ambiwa USD 500 au 1000! Show time USD 100 na anakufata hotelini kwako au kwenye apartment ulipo!
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Alafu shangaa wajinga huku vijijini hadi leo wanamchekea kwa kauli hii,hawajui lilikuwa ni tusi na ilikuwa anajimwambafai juu ya michango alokuwa ameiondoa mashuleni!"Fyatueni tu elimu bureeeee" alisikika dogo mmoja akiongea peke ake
Nenda India utawakuta panyarodi wa kihindiYeye anazaa akiwa na uwezo wa kumlea.
D.c amesema ukweli. Malezi ni factor kubwa.
Mbona watoto wa wahindi hawawi ma panya road? Na wahindi wapo Tanzania miaka na miaka wamejaa kibao
Ngumu sana kukutana na changudoa ama panyarodi muhindi.
Umaskini na malezi mabovu yana mchango mkubwa kwenye crime
Hujui kama wahindi ndiyo panya road wakubwa?? Au unataka na wenyewe wabebe mapanga waingie barabarani kukaba watu?? Wenyewe wana upanya road wao! Wanapiga minofu ya nyama kwa deal kubwa kubwa!Vipi kuhusu panyarodi wa kihindi.. ama jambazi wa kihindi?
Hujui kama wahindi ndiyo panya road wakubwa?? Au unataka na wenyewe wabebe mapanga waingie barabarani kukaba watu?? Wenyewe wana upanya road wao! Wanapiga minofu ya nyama kwa deal kubwa kubwa!
Yule Bwana wao alitoaga amri wanawake wafyatue tu watoto Nchi yetu Ni kubwa !!Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo, amewataka wananchi hasa wazazi kuhakikisha wanazaa watoto ambao watawamudu kuwalea ili kuepusha nchi kuwa na idadi kubwa ya watoto wa mitaani ambao wengine wanaamua kujiingiza kwenye vitendo vya uhalifu ikiwemo panya road.
DC Jokate ametoa kauli hiyo leo Septemba 26, 2022, kwenye maadhimisho ya siku ya uzazi wa mpango duniani yaliyoadhimishwa katika hospitali ya Mbagala Rangitatu iliyopo katika Manispaa ya Temeke.
Chanzo: EATV
HahHaaaa,"Fyatueni tu elimu bureeeee" alisikika dogo mmoja akiongea peke ake
Chama Cha mbogamboga na watu wake ndio virus inayoitafuna NCHI hii...So sasa mipango na dira ya Serekali imebadilika sio ishu ya kufyatua tu ila twende kwa hesabu na timing?
Hii nchi kuna shida sana kuliko tunavyojua. Ni wapi mliona nchi inaendelea bila kuwa na mipango consistent
Tuliambiwa gesi ya Mtwara ndio suluhisho baada ya mwaka tukaambiwa achaneni na gesi haina ishu tukazane na umeme wa Stiglers Gorge baada ya mwaka tukaambiwa huo sio wa leo wala kesho tuangalie gesi na umeme wa upepo.
Tuliambiwa vita ya uchumi ni kubwa na strategy ni kujifungia, kutimua wawekezaji na kutumia rasilimali zetu baada ya mwaka tunaambiwa dawa ni kufungua uchumi na kukumbatia wawekezaji. Tukaambiwa corona haipo ni ujinga wa kutunga tu baada ya miezi tukaambiwa corona ni tishio na inabidi tuchanjwe.
Hakuna jamii iliyo na wasafi pekee. Kwao umeshaishi India ukaona hakuna magenge Kama haya kweliMbona watoto wa wahindi hawawi ma panya road? Na wahindi wapo Tanzania miaka na miaka wamejaa kibao
Ye ana uwezo wa kulea,hamna baya alotamka,ni ukweli kwamba Moja ya factor kubwa inayosababisha watoto wahalifu ni uzazi usio wa mpangoManeno mengine kutamka wakati nae anatarajia.. mmmmh!!!
Aombe toba..
Umeongea point,Maneno mengine kutamka wakati nae anatarajia.. mmmmh!!!
Aombe toba..
Nchi haijawahi kuwa na dira ya pamoja. Kila anayechukua kiti anakuja na dira yake.So sasa mipango na dira ya Serekali imebadilika sio ishu ya kufyatua tu ila twende kwa hesabu na timing?
Hii nchi kuna shida sana kuliko tunavyojua. Ni wapi mliona nchi inaendelea bila kuwa na mipango consistent
Tuliambiwa gesi ya Mtwara ndio suluhisho baada ya mwaka tukaambiwa achaneni na gesi haina ishu tukazane na umeme wa Stiglers Gorge baada ya mwaka tukaambiwa huo sio wa leo wala kesho tuangalie gesi na umeme wa upepo.
Tuliambiwa vita ya uchumi ni kubwa na strategy ni kujifungia, kutimua wawekezaji na kutumia rasilimali zetu baada ya mwaka tunaambiwa dawa ni kufungua uchumi na kukumbatia wawekezaji. Tukaambiwa corona haipo ni ujinga wa kutunga tu baada ya miezi tukaambiwa corona ni tishio na inabidi tuchanjwe.
Ndo ujumbe wa DC Joketi unapolenga hapo, imagine Mungu aliyetuumba alianza na uwekezaji ndo akamtengeneza mwanadamu aje kutawala na kula mema ya nchi sisi tunataka tuishi kama wanyama bila mipango unazalisha watoto au unazaa watoto na uwezo wa kuwalea huna unaanza kuchukia wenye mipango kama mchawi.
Elimu ya afya ya uzazi ni ndogo sana katika jamii zetu pia inadharaulika na wanandoa wengi sana, pia mfumo wa malezi katika jamii zetu ni mbovu sana.
Mpo sahihi kabisa, kuzaa kwa mipango ni muhimu kwa dunia ya sasa.Ni muda sahihi sasa kuipa uzito unaostahili. Haitoshi watu kupanua tu mapaja but totally irresponsible kwenye malezi.
Yapo ya kutosha, tena hatari kweli.Hakuna jamii iliyo na wasafi pekee. Kwao umeshaishi India ukaona hakuna magenge Kama haya kweli
Hakuna jamii iliyo na wasafi pekee. Kwao umeshaishi India ukaona hakuna magenge Kama haya kweli