DC Jokate: Zaeni watoto mtakaomudu kuwalea ili kupunguza watoto wa mtaani wakiwemo Panya Road

 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Maneno mengine kutamka wakati nae anatarajia.. mmmmh!!!

Aombe toba..
....Tena ukizingatia kwamba hiyo mimba yenyewe kaipata kiholela na kinyemela tu.....[emoji2][emoji2][emoji85][emoji85][emoji87][emoji87][emoji1751][emoji1751][emoji2223][emoji2223]
 
Huyu binti yy amezaa?au hajazaa
 
Ndio kazi ya udc wa mchongo wala huwezi jua nn uongee.matatizo ni mengi sana sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…