Pre GE2025 DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama msemaji anavyofafanua wameshachakata Taarifa zote vijiji na Kata inaonekana hali ya Mama sio nzuriπŸ˜†πŸ˜†
 
Ni ukweli kwa kila mtu.
Chaguzi zetu ni za ovyo sana.
Hatupati viongozi wanaopendwa na wananchi bali wanoopendwa na Tume.
Nyerere akifufuka ataweza lia.
Huyo nyerere ndio alikuwa anapenda mambk hayo. Itakuwa humjui vizuri wewe.
 
Naona watu mnakuwa wepesi sana kusahau kuwa Kuna albadiri ilisomwa mara baada ya Lissu kupigwa risasi kwa wana CCM.

Sasa mmesahau kuwa albadiri ni Sawa na criminal case huwa haina expire?
Nadhani!

Wasijulikana kujulikana by huduma ya kristo pia alitabiri hili jambo!
 
Nabik Jacob namkubali sana. Kila siku lazima nisikilize Yale ambayo Roho Wa Bwana ananena na kanisa.

Kila analosema naona likitimia siku hadi siku.

Nenda Youtube Google Huduma ya Kristo.
Ndio jamaa hana makuu!anaitendea haki huduma yake!

Yupo humu!!
 
Afukuzwe na aseheme alifanya nini kwenye mapori,huenda aliuua,poor Tanzania!!
Umeandika ili uone unajibiwa au umepitiwa kuandika kitu kama hiki?

Stuff wa serikali anapozungumza kitu akiweka ishu za mapori unadhani huko porini alikuwa anaenda kuwinda swala kama siyo kuuwa?
 
Mama hayataki au laana ya kutoa siri za mama na hayati mwendazake? Kwani uongo ccm mnateka na kupoteza watu?
Ni kweli.

Ingekuwa enzi za shujaa angeongezwa cheo.
Walau kidogo mama anausikivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…