Huyo mi mwana ukoo wa mfalme unaanzaje kumgusa?Hata kama mmetengua uteuzi wake lakini Marco Ng’umbi kasema ukweli mchungu.
Kauthibitishia Umma mambo matatu-;
1. Kathibitisha kuwa Maccm hatakubaliki,
2. Kathibitisha kuwa maccm huwa yanaiba Kura,
3. Kathibitisha kuwa Serikali huwa inateka watu na kuwatupa kwenye mapori.
View: https://x.com/nulphin/status/1830306886001770912?t=NGqfrJJv7P81empQfZHQ5Q&s=19
dah? Allah atuhifadhi. Mimi nashangaa sana mtu kutumia mbinu chafu kuiba kura au lolote ili ashinde ili iwe nini?nani kaishi kaishi katika dunia hii milele? hata ukiiba kura au kudhulumu nini kitasaidia? Kama utafurahi ni muda mchache sana lkn majuta yaankuwa makunbwa mbele . kikubwa Ukifa utaenda kusema nini kwa muumba wako? Allah aniepushe na mambo kama haya, nisaysikie tu kupitia media lkn nisiyakiribie kabisa ktk maisha yangu - AaaminSiamini kama haya maneno yanatoka kinywani mwa kiongozi mkubwa.
Naomba tumsikilize kwa makini anavyo wadharau wapiga kura na anavyo jimwambafai kushiriki kwenye uchaguzi wa 2020.
Kama viongozi wetu wapo hivi sioni kama uadilifu unaoimbwa na wenzake utakuja kutimia.
Asante sana CCM, idumu.
"Na mimi naomba niwahakikishie, mimi niko very tough, kama kuna mtu ambaye siyo mwoga ni mimi! Wote hapa madiwani mwaka 2020 hayuko diwani aliyepiga kampeni hapa nyumba kwa nyumba, hakuna!
"Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 siyo kwamba yalikuja yenyewe automatically kwasababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana, ni mazingira ambayo yalikuwa, yametengenezwa na serikali ndio iliyofanya kazi ile ya wewe kupita bila kupingwa.
"Na kuna watu mnafahamu kilichotokea kwenye mapori huko na sehemu zingine na mimi nilihusika kwenye majimbo fulani fulani, sasa mazingira yale ni serikali ndiyo iliyofanya ile kazi, diwani huna ujanja wowote kwenye kata yako ya kwamba utashinda bila serikali, HAKUNA.
"Na usije ukajidanganya ndio maana sisi sasa hivi tumeshafanya kazi huko kubwa sana, ya kuchakata huko kwenye kata, vijiji, vitongoji vyote, taarifa zile zote tunazo, hali ya mambo jinsi ilivyo, tunaendaje.."
Pia soma:
Hajambo anasubiri 2025 apige "bao"Nape hajambo?
Siyo kweli serikali ipo kwaajili ya kula na kustarehe.Kwa wananchi. Inaonyesha hawaogopi wananchi na wako tayari kusema wanaiba kwa sababu wanajua sisi wananchi ni matutusa. Haiwezi kuwa dharau kwa serikali kwa sababu wao siku zote ni wezi na wako pale kula na kustarehe.
Mungu fundi nyieSiamini kama haya maneno yanatoka kinywani mwa kiongozi mkubwa.
Naomba tumsikilize kwa makini anavyo wadharau wapiga kura na anavyo jimwambafai kushiriki kwenye uchaguzi wa 2020.
Kama viongozi wetu wapo hivi sioni kama uadilifu unaoimbwa na wenzake utakuja kutimia.
Asante sana CCM, idumu.
"Na mimi naomba niwahakikishie, mimi niko very tough, kama kuna mtu ambaye siyo mwoga ni mimi! Wote hapa madiwani mwaka 2020 hayuko diwani aliyepiga kampeni hapa nyumba kwa nyumba, hakuna!
"Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 siyo kwamba yalikuja yenyewe automatically kwasababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana, ni mazingira ambayo yalikuwa, yametengenezwa na serikali ndio iliyofanya kazi ile ya wewe kupita bila kupingwa.
"Na kuna watu mnafahamu kilichotokea kwenye mapori huko na sehemu zingine na mimi nilihusika kwenye majimbo fulani fulani, sasa mazingira yale ni serikali ndiyo iliyofanya ile kazi, diwani huna ujanja wowote kwenye kata yako ya kwamba utashinda bila serikali, HAKUNA.
"Na usije ukajidanganya ndio maana sisi sasa hivi tumeshafanya kazi huko kubwa sana, ya kuchakata huko kwenye kata, vijiji, vitongoji vyote, taarifa zile zote tunazo, hali ya mambo jinsi ilivyo, tunaendaje.."
Pia soma:
Swali langu ni Moja tuSiamini kama haya maneno yanatoka kinywani mwa kiongozi mkubwa.
Naomba tumsikilize kwa makini anavyo wadharau wapiga kura na anavyo jimwambafai kushiriki kwenye uchaguzi wa 2020.
Kama viongozi wetu wapo hivi sioni kama uadilifu unaoimbwa na wenzake utakuja kutimia.
Asante sana CCM, idumu.
"Na mimi naomba niwahakikishie, mimi niko very tough, kama kuna mtu ambaye siyo mwoga ni mimi! Wote hapa madiwani mwaka 2020 hayuko diwani aliyepiga kampeni hapa nyumba kwa nyumba, hakuna!
"Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 siyo kwamba yalikuja yenyewe automatically kwasababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana, ni mazingira ambayo yalikuwa, yametengenezwa na serikali ndio iliyofanya kazi ile ya wewe kupita bila kupingwa.
"Na kuna watu mnafahamu kilichotokea kwenye mapori huko na sehemu zingine na mimi nilihusika kwenye majimbo fulani fulani, sasa mazingira yale ni serikali ndiyo iliyofanya ile kazi, diwani huna ujanja wowote kwenye kata yako ya kwamba utashinda bila serikali, HAKUNA.
"Na usije ukajidanganya ndio maana sisi sasa hivi tumeshafanya kazi huko kubwa sana, ya kuchakata huko kwenye kata, vijiji, vitongoji vyote, taarifa zile zote tunazo, hali ya mambo jinsi ilivyo, tunaendaje.."
Pia soma:
At least kipindi Cha JK kulikua narudia at least kulikua na TRUE & FAIR ELECTION ndio maana hata wapinzani walipata nafasiBila DC, DED na DSO sidhani kama Kuna Diwani wa ccm anaweza kushinda. Hata DC kasema ukweli kama ulivyo.
Fafanua MkuuKule kuvalishwa majoho!!. Hadi leo unajua maana yake..?
Siamini kama haya maneno yanatoka kinywani mwa kiongozi mkubwa.
Naomba tumsikilize kwa makini anavyo wadharau wapiga kura na anavyo jimwambafai kushiriki kwenye uchaguzi wa 2020.
Kama viongozi wetu wapo hivi sioni kama uadilifu unaoimbwa na wenzake utakuja kutimia.
Asante sana CCM, idumu.
"Na mimi naomba niwahakikishie, mimi niko very tough, kama kuna mtu ambaye siyo mwoga ni mimi! Wote hapa madiwani mwaka 2020 hayuko diwani aliyepiga kampeni hapa nyumba kwa nyumba, hakuna!
"Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 siyo kwamba yalikuja yenyewe automatically kwasababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana, ni mazingira ambayo yalikuwa, yametengenezwa na serikali ndio iliyofanya kazi ile ya wewe kupita bila kupingwa.
"Na kuna watu mnafahamu kilichotokea kwenye mapori huko na sehemu zingine na mimi nilihusika kwenye majimbo fulani fulani, sasa mazingira yale ni serikali ndiyo iliyofanya ile kazi, diwani huna ujanja wowote kwenye kata yako ya kwamba utashinda bila serikali, HAKUNA.
"Na usije ukajidanganya ndio maana sisi sasa hivi tumeshafanya kazi huko kubwa sana, ya kuchakata huko kwenye kata, vijiji, vitongoji vyote, taarifa zile zote tunazo, hali ya mambo jinsi ilivyo, tunaendaje.."
Pia soma:
Hilo sio kosa la kumuonya, huyu ni jela kufukuza haitoshi, Kaua maporini inawezekanaView attachment 3084716
Amesema ukweli lakini Rais amemuonea kumtoa angelimuonya asiseme Siri za Serikali yake kuchakachukuwa kura za Wananchi. Kama Kuna usimamiz wa Kura kutoka nje CCM haiwezi kushinda hata katika Uchaguzi wa Madiwani siuze Uchaguzi Mkuu wa Rais. CCM Wanaiba kura za Wananchi na kuamuwa kumchaguwa Wanaye mtaka awe Kiongozi wao lakini sio Uchaguzi wa Wananchi wenyewe.
View attachment 3084718
Hivi vijana wa siku hizi tunafanya nini kuiacha CCM madarakani!Siamini kama haya maneno yanatoka kinywani mwa kiongozi mkubwa.
Naomba tumsikilize kwa makini anavyo wadharau wapiga kura na anavyo jimwambafai kushiriki kwenye uchaguzi wa 2020.
Kama viongozi wetu wapo hivi sioni kama uadilifu unaoimbwa na wenzake utakuja kutimia.
Asante sana CCM, idumu.
"Na mimi naomba niwahakikishie, mimi niko very tough, kama kuna mtu ambaye siyo mwoga ni mimi! Wote hapa madiwani mwaka 2020 hayuko diwani aliyepiga kampeni hapa nyumba kwa nyumba, hakuna!
"Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 siyo kwamba yalikuja yenyewe automatically kwasababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana, ni mazingira ambayo yalikuwa, yametengenezwa na serikali ndio iliyofanya kazi ile ya wewe kupita bila kupingwa.
"Na kuna watu mnafahamu kilichotokea kwenye mapori huko na sehemu zingine na mimi nilihusika kwenye majimbo fulani fulani, sasa mazingira yale ni serikali ndiyo iliyofanya ile kazi, diwani huna ujanja wowote kwenye kata yako ya kwamba utashinda bila serikali, HAKUNA.
"Na usije ukajidanganya ndio maana sisi sasa hivi tumeshafanya kazi huko kubwa sana, ya kuchakata huko kwenye kata, vijiji, vitongoji vyote, taarifa zile zote tunazo, hali ya mambo jinsi ilivyo, tunaendaje.."
Pia soma:
DC mstafu wa Longido, bwana NG,umbi kasema teyari washakamilisha na kuchakata maandalizili ya chaguzi kuanzia vijiji hadi kwenye kata kwahyo matokea wanayo teyari.
Ushauri wangu kwakua watanzania wachache wapo busy na Yanga na Simba ,ila vyama vya siasa na wapenda demokrasia wapo chagueni yafuatayo.
(1)Kufanya maandamano yasiyo na kikomo mpaka tume huru ipatikane au sheria mpya ya tume huru itumike
(II)Kupinga TAMISEM kutosimamia uchaguzi tena kwa njia ya maandamano na siyo kwenda mahakamani, kwakua mahakama zimeshapewa maelekezo sababu ata kesi mliyofungua haitakuwa na maana.
(III)Kutoshiriki uchaguzi kabisa
NB: Maandamano yawe ya amani ambapo vyama vyote vishiriki na wanaharakati siyo kuishia kutoa matamko ambayo hayana faida na hayajawahi kusikirizwa, pazeni sauti zaidi
Na hiyo ilikuwa kwenye mikutano yao ya ndani kwa hiyo hakufanya kosa.Huyu kadukuliwa hakusema hadharani, na alikuwa anaongea kwa kujimwambafy, hakuongea kwa kujuta
Jamaa kaonewa pakubwa. Je, kesho ikivuja taarifa nyingine ya kiongozi mkubwa wa ccm, au hata yake yeye Samia, atachukua hatua!? Hapa ni unafiki umefanyika, ila jamaa hana kosa.DC amesema kile ambacho huwa wanafanya na ambacho wamejiandaa kufanya. Na ukisikiliza kwa makini wote waliopo hapo ni Madiwani wa CCM hivyo alijua ni kama kikao cha ndani tu. Kuna MCCM hapo kachoma utambi.