Pre GE2025 DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kisasi siyo!
 
Serikali inapojivua nguo hadharani.
Kwanza Nape, pili Ng'umbi wamejitokeza kukiri uhalifu wa serikali hadharani.
This is shocking!!!!!
 
Dawa ni migomo maandamano mpaka kieleweke.
 
Oooohh kumbe ndio maana Msigwa mkamnyima Uenyekiti wa Kanda sababu hana hela kumzidi Sugu 😂😂😂

Ndo maana tajiri Mbowe chama haachii kwa maskini akina Lissu na Heche!!
Msigwa si tayari anaenda kumrithi DC Longido. Mshahara wake huo.
 
Hii nchi viongozi wa kweli wako mitaaani,huko kwenye siasa wajaa wahuni tu
 
Hapo kama kawaida wagombea wa upinzani watatekwa wakati wa kurudisha form watahifadhiwa maporini hadi muda wa kurudisha form ukipita wataachiliwa huku wakiwa wameumizwa kwa vipigo.
 
Waongezewe posho , posho zao ziwe zinatoka serikali kuu, kila diwani posho yake iwe 1,000,000 per month. pia pension yao angalau iwe milioni 50. Pesa hii itokane na punguzo la posho za wabunge na mawaziri.
 
Toa full video tujiridhishe,sio tuvipande ungaunga halafu unataka tujaji
 
Wajinga bado mko wengi Huyo DC ni wa kupongezwa ni Shujaa wa kuusema Ukweli kama ulivyo
Kuna haja ya kuanzisha shule Ya kukuza uelewa Kwa viongozi wapuuzi kama huyu DC,anaongea ambayo mama hayataki,akiwemo ofisini kufikia kesho itakuwa ni doa Kwa serikali yetu.
 
Mi siamini kama Nape ametumbuliwa kwa sababu ya kauli yake aliyoitoa mjini Bukoba.
Kuna zaidi ya kauli ile.
Kauli ile ya Nape ndiyo msimamo wa kisiasa wa chama chake.
Chama chake ni Kama Mbuni kinajaribu kujificha kwenye Mchanga.
 
Uchochezi!!!! mbona uchaguzi utakuwa huru wa haki na wa kuaminiwa.
 
Kikubwa ambacho WAPINZANI wanatakiwa wafahamu ni kwamba KATIBA MPYA BORA na TUME HURU YA UCHAGUZI havitopatikana kwa URAHISI..ni lazima wawe na MIKAKATI mizito na waweke pembeni MASLAHI ya muda mfupi...Gharama zake ni KUBWA ila INAWEZEKANA!
Wewe katiba mpya haikuhusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…