Pre GE2025 DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Upinzani ni kama umeumbwa na macho kwenye makalio, huwa wana kazi ya kuamua watembee uchi waone au wajisitiri wawe vipofu.
 
Upinzani ni kama umeumbwa na macho kwenye makalio, huwa wana kazi ya kuamua watembee uchi waone au wajisitiri wawe vipofu.
Kwa maana yako wapinzani ndiyo wanatoa hayo matamko ya hovyo kama huyo dc wa Longido?

Hivi nyinyi uvccm mafunzo yenu Hawa mnajifunzia maujinga?
 
Kwa maana yako wapinzani ndiyo wanatoa hayo matamko ya hovyo kama huyo dc wa Longido?

Hivi nyinyi uvccm mafunzo yenu Hawa mnajifunzia maujinga?
Kwa maana yangu ni upinzani una macho ila yapo makalioni, uamuzi ni kwao, kutembea uchi waone au wajisitiri wawe vipofu.
 
DC ambaye hana weledi kuwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na USALAMA ni hatari sana,mwisho wa siku wanavujisha siri za taasisi.
 
Huu ndio ukweli.

Wizi unaanzia katika kura na wakiingia madarakani ni mwendo ule ule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…