Pre GE2025 DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Pre GE2025 DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuna haja ya kuanzisha shule Ya kukuza uelewa Kwa viongozi wapuuzi kama huyu DC,anaongea ambayo mama hayataki,akiwemo ofisini kufikia kesho itakuwa ni doa Kwa serikali yetu.
DC amesema kile ambacho huwa wanafanya na ambacho wamejiandaa kufanya. Na ukisikiliza kwa makini wote waliopo hapo ni Madiwani wa CCM hivyo alijua ni kama kikao cha ndani tu. Kuna MCCM hapo kachoma utambi.
 
Ila ajabu bado kuna watu wataenda tena kupanga foleni kupiga kura huku wakitarajia kuwa ccm anaondoka madarakani. Nashukuru Mungu ugonjwa huo mie sina.
Mkuu hutakiwi kukubali mibinu za wapinzani.

Huo ni mpango wa sheitwani wa kutukatisha tamaa kuiondoa ccm madarakani
DC amesema kile ambacho huwa wanafanya na ambacho wamejiandaa kufanya. Na ukisikiliza kwa makini wote waliopo hapo ni Madiwani wa CCM hivyo alijua ni kama kikao cha ndani tu. Kuna MCCM hapo kachoma utambi.
Kwa Maisha haya yunayo ishi watanzania hakuna mwananchi anaye wafurahia kamwe.

Ndiyo maana wana wanavujisha sana siri za maazimio ya vikao vyao
 
Hapo ni dharau kwa Serikali na chama ila siyo kwa Wananchi.
Kwa wananchi. Inaonyesha hawaogopi wananchi na wako tayari kusema wanaiba kwa sababu wanajua sisi wananchi ni matutusa. Haiwezi kuwa dharau kwa serikali kwa sababu wao siku zote ni wezi na wako pale kula na kustarehe.
 
Kwa wananchi. Inaonyesha hawaogopi wananchi na wako tayari kusema wanaiba kwa sababu wanajua sisi wananchi ni matutusa. Haiwezi kuwa dharau kwa serikali kwa sababu wao siku zote ni wezi na wako pale kula na kustarehe.Maccm ni masheitwan
 
Siamini kama haya maneno yanatoka kinywani mwa kiongozi mkubwa.

Naomba tumsikilize kwa makini anavyo wadharau wapiga kura na anavyo jimwambafai kushiriki kwenye uchaguzi wa 2020.

Kama viongozi wetu wapo hivi sioni kama uadilifu unaoimbwa na wenzake utakuja kutimia.

Asante sana CCM, idumu.

"Na mimi naomba niwahakikishie, mimi niko very tough, kama kuna mtu ambaye siyo mwoga ni mimi! Wote hapa madiwani mwaka 2020 hayuko diwani aliyepiga kampeni hapa nyumba kwa nyumba, hakuna!

"Sasa yale mazingira ya mwaka 2020 siyo kwamba yalikuja yenyewe automatically kwasababu ninyi mlikuwa wagombea bora sana, ni mazingira ambayo yalikuwa, yametengenezwa na serikali ndio iliyofanya kazi ile ya wewe kupita bila kupingwa.

"Na kuna watu mnafahamu kilichotokea kwenye mapori huko na sehemu zingine na mimi nilihusika kwenye majimbo fulani fulani, sasa mazingira yale ni serikali ndiyo iliyofanya ile kazi, diwani huna ujanja wowote kwenye kata yako ya kwamba utashinda bila serikali, HAKUNA.

"Na usije ukajidanganya ndio maana sisi sasa hivi tumeshafanya kazi huko kubwa sana, ya kuchakata huko kwenye kata, vijiji, vitongoji vyote, taarifa zile zote tunazo, hali ya mambo jinsi ilivyo, tunaendaje.."


View attachment 3084265

Pia soma:

Dah..kmmke
 
Mtukufu Malkia,Vikaragosi wameanza kutoa Siri huku.

Kikaragosi mkuu alisikika akimuambia mchawi Karaba.
Hiyo ni baada ya msaidizi wa malaika kutangulizwa mbele ya haki
 
Alitumwa na serikali kuua Wapinzani ili wapite bila kupingwa, Iko hivi, January, Nape,Riziwani na Kasimu Majaliwa walipita bila Kupingwa huku wagombea wa upinzani wakikamatwa ama kuokotwa kwenye mapori ya Mkurunga, Kwa Mfano, Mgombea wa Chadema Mtama aliyeitwa Suleiman Mathew alikamatwa kwenye ofisi ya Ded akirejesha fomu ya kugombea Ubunge, akapewa kesi ya uongo ya Uhujumu Uchumi, Mgombea wa upinzani Jimbo la Rwangwa aliokotwa Mkuranga akiwa nusu Maiti, hili ni Jimbo la Kasimu Majaliwa.

Haya Mambo yalifanywa Mchana kabisa huku kila mtu akiona kwa macho.

Mwingine ambaye baadaye atakamatwa na kushitakiwa ni Abood wa Morogoro, huyu pia aliteka Wagombea wa Upinzani akiwemo Mgombea wa Chadema

Mnyororo ni mrefu mno na nakuhakikishia kwamba siku zijazo watakamatwa na kushitakiwa, Ushahidi umejaa tele, hakutakuwa na Mswalie Mtume, Usalama wao ni Kufa kabla ya Kukamatwa, lakini wakiwa Hai watakamatwa hata wakiwa kwenye Wheel Chair
Kuna geno**de inafichwa kwa nguvu. And sijui why inafichwa? But hawa watu wahusika wanatakiwa washtakiwe mahakama za kimataifa
 
Back
Top Bottom