Pre GE2025 DC Magoti wa Kisarawe: Avaa vazi la Samia style kama sehemu ya kumpongeza kwa kazi nzuri anayoifanya

Pre GE2025 DC Magoti wa Kisarawe: Avaa vazi la Samia style kama sehemu ya kumpongeza kwa kazi nzuri anayoifanya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanao Fanya kazi private, Mara nyingi mtu akishindwa kufanya kazi yake na kua productive anaanza uchawi, fitina na kujipendekeza kwa boss.

Serikalini, mtu akishindwa kufanya kazi yake anaanza uchawa maana ndo njia pekee ya kuendelea kubaki na hyo kazi.
 
Kumbe hiyo style ni unisex?!
 
Uchawa unanguvu sana! Na bila shaka hii yote kwenye kutetea ugali wao.

Sasa Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Petro Magoti ameamua kuvaa vazi la Samia style kama sehemu ya kumpongeza Rais Samia kwa kazi nzuri anayoifanya katika kuendelea kuwaletea wananchi maendeleo.

Kwakweli tuna kazi ndefu ya kusafisha akili
 
Kuna siku atajitokeza mtu kusema anataka kuolewa kama mke mwenza wa Samia.
 
Back
Top Bottom