DC mdogo kuliko wote Tanzania, ashirikiana na mbunge kuimba wimbo kuhamasisha Elimu Wilayani


Mbona anafanana na makamu wa rais??? Sio shangazi yake kweli??
 
Hii bongo ina vituko sana. Haya bna ajitahidi labda anaweza toa songi la mwaka 2020
 
Huyu alizunguka na mama samia suluhu kwenye campaign mwaka Jana watakuwa wana u karibu kindugu, na alisoma diploma Chuo cha kodi
Mi nakumbuka kuanza kumfahamu akiwa O'level kama sikosei Jangwani Sekondari.Kuna kipindi ITV kilikuwa kinarushwa Jpili mchana,kama "Debate" hivi...Huyu binti alikuwa akionekana sana akighani Mashairi,anaonekana ana uwezo mkubwa sana wa kukariri mambo.

Hiyo ilikuwa aeound 1999 to 2002,na hapo alikuwa kama sikosei form One au Two,sasa kusema sasa ana miaka 23,ina maana kipindi kile alikuwa ana miaka kumi akiwa Sekondari?
 
Mkuu 1999 alikuwa anasoma form one halafu leo ana miaka 23? kama ana miaka 23 alizaliwa mwaka 1993 ambapo 1999 alikuwa na miaka 6, 2002 alikuwa na miaka 9 na huyo hawezi kuwa mtoto wa sekondary
 
Mkuu 1999 alikuwa anasoma form one halafu leo ana miaka 23? kama ana miaka 23 alizaliwa mwaka 1993 ambapo 1999 alikuwa na miaka 6, 2002 alikuwa na miaka 9 na huyo hawezi kuwa mtoto wa sekondary
Yaani hapo hata mimi nimejaribu kutengeneza "Equation"....Nisaidie kui-balance
 
Huyu atakua ameji Sitti Mtemvu aisee miaka hyo Niko primary hata sijafikiria secondary. Labda aliruka madarasa sana aisee kwa umri huo maana hana mda mrefu toka amalize diploma
 
Huyu atakua ameji Sitti Mtemvu aisee miaka hyo Niko primary hata sijafikiria secondary. Labda aliruka madarasa sana aisee kwa umri huo maana hana mda mrefu toka amalize diploma
Kwa kweli mimi namfahamu toka akiwa O'level,sasa hii ya miaka 23?hata mimi nimestuka.
Kuna kipindi kilikuwa ITV kikirushwa Jumapili mchana,nafikiri kilikuwa kabla ya TAMASHA LA MICHEZO la Captain Michael Maluwe!!Wanafunzi wa Dsm wakifanya kama "Debate" na kuonyeshwa na ITV
 
Mkumbuke Imekatazwa kuchukuana wa ccm na waupinzani ni marufuku wa ccm kwa ccm tu...- Msukuma

Ila Kazuri Shavu dodo mashallah... niliposoma mdogo nikajua anasoma shule bado kumbe turbo charger
 
Mbunge na mkuu wa wilaya ni vijana na wote wapo vizuri katika kujenga hoja tatizo lipo kwenye jamii wanayoiongeza bado haijitambui.
Ndugu acha matusi hatujielewi kivipi? Wao ndo hawajielewi maana wamekalili madesa lkn kwenye field ni empty
 
Huyu dogo nliona siku hiyo wanamfukuza na mawe kijiweni hadi noma,
Naona anataka kujirudi kivingine...any ways thats creativity

ILA NYIMBO NI MBAYAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
Lengo sio kuuza copy za nyimbo, lengo Ujumbe ufike naona wamefanikiwa vizuri sana..
 
Udogo wake uko wapi? Mbona ana sura ya kizee hivyo?
Unajua hata mimi nilitaka kusema "Mbona kama jimama, au ndiyo habari za kujiachia achia mwili?"

Nikaona nishamaliza salio langu la kuanzisha kauli zisizo na staha kwa mwezi huu, lakini maadam ushaanzisha wewe, sishindwi kukuunga mkono.

Au ndiyo udogo wetu ule wa vyeti vya kina Mwigulu Nchemba aka Timu za Vijana za Nigeria, mtu ana cheti kinasema ana miaka 17 lakini ukimpima mifupa inaonesha ana miaka 27.

I hope not.
 
By the way kama anamiaka 23 kweli, basi alipaswa yeye kwanza arudi shule, kabla jakomaa ao wengine wasome.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…