DC Moshi awatolea uvivu Kilimanjaro Express, acheni wizi


Hii ya ticket sio kweli, ma bus mengi tu hawatoi ticket za kielectronic na ukiwaukiza wanasema utapewa kwenye bus na ndio imetoka hiyo.

Juzi kuna dogo amekata ticket Bus la Capricon Arusha Mbeya kwa tshs 69,000/- na hawakutoa eletronic receipt.

Kilimanjaro katolewa kafara tu.
 
Kwani abilia wote wanaopanda wanaenda sehemu moja?!
"Abiria" siyo "abilia" hivyo inaonyesha wewe ni mpogoro na kwenda kwenu Kidatu unapanda ma Coaster ya kuunga unga.

Kilimanjaro Express ukikata ticket hata kama unashuka Chalinze, au Mombo au Moshi wanakupiga naauli moja ya Arusha yaani 55,000/- .

Ukienda kukata hawakuulizi unaposhukia, maana ukisema unashuka Same wanakuacha kuna atakayekuja wa kushuka ARusha..
 
NO ONE IS ABOVE THE LAW
 
Wapumbavu kabisa kufungia
Basi anaumia abiria bora upige faini tuuu

Soma vizuri. LATRA wamempiga faini mara nyingi na kumwita ofisini kumpa elimu, yeye akaendelea na ujinga wameamua kumfungia.
 
Hilo sio tatizo la Mumiliki wa basi ni la wafanyakazi

Mabasi yabatakiwa kuendelea ila wafanyakazi wapewe adhabu

Sioni kosa la Mumiliki Wala mabasi yake

Waendelee kufanya ujinga?. Mabasi ni mabovu yana zidisha nauli, yaendelee na huyo ujinga kisa wanelipa fine?
 
Noana kufungiwa sio solution,unaweza kufungia mabasi kwa miezi sita kesho akayabadilisha jina huoni kifungo sio muhimu sana kwake,hapo ni kumpiga faini tu

Hata akibadilisha jina na akaendelea na ujinga watamfungia. Issue kubwa ni kwamba abadilike.
 
Dc anapiga kelele wakati Rc Dsm Viongozi wa polisi na viongozi wa Latra leo wamemuita tajiri Mzee sawaya wafanye nae kikao cha amani bus zote 35 keshokutwa zinarudi barabarani

Ila abadilike
 
Hilo gar nilipanda mara moja dar arusha.sipand tena. Now nakula chuma abood luxury. Kwanza kilimanjaro wana mahotel yao bei mbaya sana na migari yao sio mzizur
Na bado huduma zao za Hotel ni mbaya.. Wahudumu wana lugha mbaya..

Hayo Magari hapana aiseee..

Extra luxury Coach for life.
 
Watu hawaelewi tu..Bwana Sawaya apunguze kukaza fuvu..Dunia imebadilila sana.
Kilimanjaro ana Bus 4 tu nzuri kwa sasa..na hazina mwaka zimeanza kuwa za hovyo ndani.

VIP bongo bado sana aisee...
Eti VIP! Ila bongo tuna vituko. Eti kuna mabasi yana madaraja ya luxury, semi-luxury. Luxury my foot!! Hivi walioweka haya madaraja wanaelewa maana ya luxury?! Kwanini isingekuwa tu daraja la kwanza, la pili, la tatu..?
 
Suala la nauli za juu ni mabasi yote, mabasi yoote tanzania hii wanatoza nauli ya juu kuliko ile imewekwa na serikali, tizama nauli ya dar dom ni sh ngapi kisha njoo utizame wanavyotoza kwenye mabus.
 
Lilikuwa gari langu la miaka yote ila siku nmekata ticker ya VIP kwa elfu arobaini halafu nikakaa kwenye gari baya ndyo ilikuwa mwisho.
Gari Lina siti fupi ukikaa kama upo jikoni
Choo kichafu kinanukaa njia nzima
Nilikerekaa na siwezi panda tenaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tena hapo kwa Songea to Dar wa kushuka Moro ndo imeanza zamani sana.
 
Kosa la wafanyakazi anasukumiwa tajiri na mabasi haiko sahihi
Tajiri na mabasi yake hawana shida tatizo wafanyakazi unaadhibuje mabasi na Tajiri? Sheria zizingatiwe

Kila mmoja abebe mzigo wake Tajiri wa Kilimanjaro na mabasi yake kaonewa
Bro mbona unapambana na shida wafanyakazi? Kwani wafanyakazi wanamiliki kampuni? Ndio waliandikiwa mabarua ya onyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…