DC Moshi awatolea uvivu Kilimanjaro Express, acheni wizi

DC Moshi awatolea uvivu Kilimanjaro Express, acheni wizi

Hilo gar nilipanda mara moja dar arusha.sipand tena. Now nakula chuma abood luxury. Kwanza kilimanjaro wana mahotel yao bei mbaya sana na migari yao sio mzizur
Abood ana dar to arusha? Jamaa ana gari mpya kwasasa ni bora abiria wakahamia abood. Nauli yeye anafanya ngapi?
 
Eti VIP! Ila bongo tuna vituko. Eti kuna mabasi yana madaraja ya luxury, semi-luxury. Luxury my foot!! Hivi walioweka haya madaraja wanaelewa maana ya luxury?! Kwanini isingekuwa tu daraja la kwanza, la pili, la tatu..?
VIP watu wanakuja kuuza machungwa na Korosho ndani ya Bus.Mziki unagunguliwa kama tupo Disco..😀😀😀😀
 
Hivi hizi chuma si scania, kwanini boss asizikate zikawa malori akabadili biashara?
 
LATRA tupo pamoja, Sheria zifuatwe, Wizi mkubwa hu wa elfu 8,000 * abiria 52 =461,000/= kwa basi moja.
Sasa mabasi 35 * 461,000= 14,560,000/

Kwa siku Mzee Sawaya Mawalla anapata faida ya zuluma milioni kumi na nne na nusu.
Hapo anatoa laki tano ya kugawa jamaa wa brush viatu huko barabarani.

Kwani mzee Sawaya ndiye anayekatisha tiketi? Si kuwa mwizi hapo anajulikana ila mzee huyo ni soft target tu?
 
Back
Top Bottom