Abood ana dar to arusha? Jamaa ana gari mpya kwasasa ni bora abiria wakahamia abood. Nauli yeye anafanya ngapi?Hilo gar nilipanda mara moja dar arusha.sipand tena. Now nakula chuma abood luxury. Kwanza kilimanjaro wana mahotel yao bei mbaya sana na migari yao sio mzizur