Naomba wafugaji waheshimiwe Kama anavyo heshimiwa mkulima vinginevyo hatutakubali ss wafugaji kuburuzwa ktk nchi Eti tupunguze mifugo alfu wanasiasa wakamiliki maelfu ya mifugo tusitiane umaskini kila mtu asimame kwenye shughli zAke .Ni ujinga sana kutuambia tupunguze idadi ya mifugo alfu nyinyi ili niniyi wachache mzimiliki hapana siyo haki hata kwenye bibilia wafugaji waliheshimiwa sna na mfuguji alionekana ndio tajiri enzi na enzi
Namnukuu museve " kuwa tajiri Ni pmj na kuwa na mifugo na siyo majengo ya kifahari "
Sent from my Infinix X650 using
JamiiForums mobile app