DC Shaka Hamdu Shaka hawezi mikimiki ya Wakulima na Wafugaji wa Kilosa, abadilishiwe kituo

DC Shaka Hamdu Shaka hawezi mikimiki ya Wakulima na Wafugaji wa Kilosa, abadilishiwe kituo

Naomba wafugaji waheshimiwe Kama anavyo heshimiwa mkulima vinginevyo hatutakubali ss wafugaji kuburuzwa ktk nchi Eti tupunguze mifugo alfu wanasiasa wakamiliki maelfu ya mifugo tusitiane umaskini kila mtu asimame kwenye shughli zAke .Ni ujinga sana kutuambia tupunguze idadi ya mifugo alfu nyinyi ili niniyi wachache mzimiliki hapana siyo haki hata kwenye bibilia wafugaji waliheshimiwa sna na mfuguji alionekana ndio tajiri enzi na enzi

Namnukuu museve " kuwa tajiri Ni pmj na kuwa na mifugo na siyo majengo ya kifahari "

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
ndo ufuge katika shamba au eneo lako sasa mwenzako amepanda mahindi wewe unapeleka mifugo huoni kama sio sawa.!
 
Sema wabobgo wanajitoa Akili sana Toka Shaka awe DC hapa KILOSA mauaji ya wakulima na wafugaji yamepungua sana. Usikii mikikimikiki ya wakulima na wafugaji
 
Kulikuwa na vifo sana kwa mwaka vifo 15 Hadi 5 lakini Toka DC Shaka kuweka mikakati mizuri ya wakulima na wafugaji Sasa hakuna kifo hata kimoja Toka amekuwa DC hapa KILOSA tunajivunia sana Mkuu wa WILAYA yetu anaguswa na matatizo ya wananchi wake
 
Wilaya ya Kilosa ni kiini cha migogoro ya Wakulima na Wafugaji. Ma DC wengi na hata wakuu wa mikoa na viongozi wa Polisi mkoa na wilaya watakiri hili.

Uteuzi wa Shaka kwenda pale tena akiwa DC kwa mara ya kwanza utazamwe upya. Hii wilaya yahitaji DC mzoefu au mwenye uwezo mkubwa wa kutatua migogoro.

Sina uhakika Kama Shaka ataimudu wilaya hii. Simdharau ila nasema tu Sina uhakika Kama DC mpya Shaka Hamidu Shaka ataweza mchakamchaka wa Wakulima na Wafugaji wa wilaya ya Kilosa.

Ningependekeza abadilishiwe kituo na kuangalia orodhani kama kuna DC ataimudu wilaya ya Kilosa.

Ni maoni yangu tu.
Kwanza huyu Shaka amewezaje kuwa Mkuu wa Wilaya ktk nchi ya Tanganyika wakati yeye ni raia wa nchi ya Zanzibar???????????!!!????
 
Mleta taarifa inaonekana hajui anachokisema kuhusu Kilosa na mkoa wa Morogoro DC Shaka ndio amezuia mauaji ya wakulima na wafugaj kila Mwaka kulikuwa na mauaji 5-15 kati ya wakulima na wafugaji sasa ni Mwaka Hakuna kifo cha mfugaji Wala mkulima na hii imetokana na mpango Ya miaka 3 ya kupambana na migogoro kati ya wakulima na wafugaji, siku hizi mnyonge hanyongwi na haki yake anapata Shaka ni kiongozi anaendana na kasi Ya awamu hii Ya sita kwa kazi Nzuri anayoifanya Ndani Ya wilaya Yetu Ya kilosa hususa hapa kwetu Rudewa, Kilosa
 
WAKULIMA NA WAFUGAJI WAMSHUKURU DC SHAKA
 

Attachments

  • VID-20240327-WA0356(2).mp4
    9.8 MB
DC SHAKA AMVAA MWANAJESHI MSTAAFU ALIYETAKA KUSABABISHA UVUNJIFU WA AMANI KUPITIA MIGOGORO YA ARDHI. AMALIZA UTATA MGOGORO WA ARDHI MBEGESELA, ASIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, WANANCHI WAMSHUKURU NA KUMFANYIA MAOMBI.

Bonyeza Link hapo chini kutazama tukio lote..

👇👇👇👇👇

#UdongoOnlineTv..


View: https://youtu.be/DprKMy056No?si=UU1b_G5RqiINXC60
 
Back
Top Bottom