Kuna miongozo kibao hadi kufikia kumwadhibu mwanafunzi ila walimu wasio elimika ndiyo hudhani adhabu hutolewa tu kiholela.Shuleni wanafunzi hawachapwi?
Tuelezwe kwanza kuhusu ile bandage usoni
@johnthebaptist huyu DC amekulipa kiasi gani? Unaanzisha mada za kumsafisha kila mara,Mkuu wa wilaya ya Songwe Mh. Simon Simalenga ametolea ufafanuzi suala la binti anayedai alimpiga
Mh Simalenga amesema yule binti hajapigwa kama inavyosimuliwa bali yeye alimpa warning Baada ya kutaka kumpiga lakini alimshika Mkono na binti akaomba Msamaha.
Naye Waziri wa maendeleo ya Jamii Dkt. Dorothy Gwajima amesema suala hilo linafanyiwa Uchunguzi na polisi na ukikamilika taarifa kwa Umma itatolewa
Mlale unono!
Kumuadhibu ndio Kumpiga?Acha ujuaji usio kuwa na maana.
Nchi pekee ambayo kuna sheria ya kutopiga mtoto barani Ulaya ni Wingereza tu hakuna nyingine.
Hata Marekani sheria inamruhusu mzazi kumuadhibu mtoto wake pale ana pokosea ila sijajua kwa upande wa shuleni.
Wapi nilipomsafisha bwashee?@johnthebaptist huyu DC amekulipa kiasi gani? Unaanzisha mada za kumsafisha kila mara,
Mwache abebe msalaba wake,
Akifukuzwa, au akibaki hupungukiwi na kitu, Labda kama wewe ndiye DC mwenyewe unajietea, maana humu tunatumia I'd fake,
Tusaidie kumchamba kwa macho aone aibu huyu muigizaji.Kwan bado hajang'olewa?
Katiba ya Mkoloni inawapa madaraka makubwa hawa watu. Pamoja na kujifanya tumepata Uhuru.... Watawala bado wamekumbatia katiba ya Mkoloni. Inaelekea uhuru ulikuwa kwa ajili ya kumuondoa Mkoloni Mzungu na kumuwrka Mkoloni Mweusi.Kiukweli hii tabia iliota mizizi kipindi cha JPM sasa bado wanadhani wapo utawala wa gizani.
Mkuu wa wilaya hana mamlaka ya kumpiga ama kumwadhibu mtu kwa namna yoyote ile.
Anakana kumpiga huku akikiri alitaka kumpiga. Kwa uelewa wa haraka haraka ni kweli alimpiga ndiyo maana binti amevimba jicho.
Achukuliwe hatua stahiki ili iwe fundisho.
Aeleze kosa la binti hata amkanye.Mkuu wa wilaya ya Songwe Mh. Simon Simalenga ametolea ufafanuzi suala la binti anayedai alimpiga
Mh Simalenga amesema yule binti hajapigwa kama inavyosimuliwa bali yeye alimpa warning Baada ya kutaka kumpiga lakini alimshika Mkono na binti akaomba Msamaha.
Naye Waziri wa maendeleo ya Jamii Dkt. Dorothy Gwajima amesema suala hilo linafanyiwa Uchunguzi na polisi na ukikamilika taarifa kwa Umma itatolewa
Mlale unono!
Bwashee, soma mada na coment zako za hili tukio utaona, na hata akifukuzwa utakuja hapa na mada za kumnanga.Wapi nilipomsafisha bwashee?
...'Nilitaka Kumpiga'...Tayari Umefanya Kosa, Kwa Dhamana tuliyokupa...Mkuu wa wilaya ya Songwe Mh. Simon Simalenga ametolea ufafanuzi suala la binti anayedai alimpiga
Mh Simalenga amesema yule binti hajapigwa kama inavyosimuliwa bali yeye alimpa warning Baada ya kutaka kumpiga lakini alimshika Mkono na binti akaomba Msamaha.
Naye Waziri wa maendeleo ya Jamii Dkt. Dorothy Gwajima amesema suala hilo linafanyiwa Uchunguzi na polisi na ukikamilika taarifa kwa Umma itatolewa
Mlale unono!
...Nchi ya Ufafanuzi....!Mkuu wa wilaya ya Songwe Mh. Simon Simalenga ametolea ufafanuzi suala la binti anayedai alimpiga
Mh Simalenga amesema yule binti hajapigwa kama inavyosimuliwa bali yeye alimpa warning Baada ya kutaka kumpiga lakini alimshika Mkono na binti akaomba Msamaha.
Naye Waziri wa maendeleo ya Jamii Dkt. Dorothy Gwajima amesema suala hilo linafanyiwa Uchunguzi na polisi na ukikamilika taarifa kwa Umma itatolewa
Mlale unono!
...Alitakiwa Kwanza awe Nje ya Ofisi Uchunguzi Ukifanyika!...Sijaiona hiyo clip lakin kwa attitude ya huyu jamaa huwa ni ya ovyo sana mara nyingi huonekana akiongea kwa kunyoosha nyoosha vidole huku akiwafokea watu wazima.