Hawaba kazi ya kufanyaSasa wakishakamatwa watashtakiwa kwa kosa gani?... waafrika vetting yetu ya kupata viongozi ina mapungufu makubwa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawaba kazi ya kufanyaSasa wakishakamatwa watashtakiwa kwa kosa gani?... waafrika vetting yetu ya kupata viongozi ina mapungufu makubwa sana.
😄😄😄😄kweli aiseealisema mtu
2024 to 25 tutaona mengi ya .....
Kiuhalisia sio poa sema nae kimtindo zinamtoa udenda!Hii ndio Taarifa mpya kutoka kwa DC wa Temeke Sixtus Mapunda, aliyoitoa kwa Wakazi wa Wilaya hiyo, bado hatujajua kama hicho nacho ni Kipaumbele cha maendeleo na wala hatujajua pia Sheria ambayo inavunjwa na vibopa hao wa mitandaoni, Pia hatukuambiwa kupost mwisho sh ngap ama hata kupost elfu 5 pia ni kosa.
Bali tunatoa wito kwa wote wenye kiherehere cha kufanya hivyo, akiwemo DOTTO MAGARI kwamba wasithubutu kuja Temeke, watadakwa kama kuku mwenye mdondo
Taarifa kamili hii hapa
View attachment 3038358View attachment 3038360
Kupiga picha umeshika hela ni kujitoa fotokopi uwe na hela marambili, ni kosa kutengeneza pesa.Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda amelagiza Jeshi la Polisi la Wilaya ya Temeke kukamata Watu wote ndani ya Wilaya hiyo ambao wanapiga picha na kujirekodi video wakiwa na hela kwenye mitandao ya kijamii waseme hizo hela wametoa wapi na kodi wamelipa kiasi gani.
Amesema "Mtu akipiga picha na mahela mengi kuonesha maisha ni rahisi namna hii kama ni wa Temeke kamata, hakuna hela uliyoitolea jasho ina majigambo, hela uliyotolea jasho inafichwa kama ambavyo Mtu hasemi nimepata mshahara"
Amesema hayo Julai 10, 2024 akiongea na wakazi wa Mbagala juu ya mmomonyoko wa maadili na matukio ya kiuhalifu. Akisistiza kuwa wanaopost za hela huwashawishi vijana kujihusisha na madawa ya kulevya au ushirikina.
Wanavunja sheria gani?Kiuhalisia sio poa sema nae kimtindo zinamtoa udenda!
Hawa watu wanapataje hizi nafasi? Level of incompetence inatishaHii ndio Taarifa mpya kutoka kwa DC wa Temeke Sixtus Mapunda, aliyoitoa kwa Wakazi wa Wilaya hiyo, bado hatujajua kama hicho nacho ni Kipaumbele cha maendeleo na wala hatujajua pia Sheria ambayo inavunjwa na vibopa hao wa mitandaoni, Pia hatukuambiwa kupost mwisho sh ngap ama hata kupost elfu 5 pia ni kosa.
Bali tunatoa wito kwa wote wenye kiherehere cha kufanya hivyo, akiwemo DOTTO MAGARI kwamba wasithubutu kuja Temeke, watadakwa kama kuku mwenye mdondo
Taarifa kamili hii hapa
View attachment 3038358View attachment 3038360
KoneksheniHawa watu wanapataje hizi nafasi? Level of incompetence inatisha
wee kiherehere mwenzio kaleta uzi nawewe unaleta😕😕Hii ndio Taarifa mpya kutoka kwa DC wa Temeke Sixtus Mapunda, aliyoitoa kwa Wakazi wa Wilaya hiyo, bado hatujajua kama hicho nacho ni Kipaumbele cha maendeleo na wala hatujajua pia Sheria ambayo inavunjwa na vibopa hao wa mitandaoni, Pia hatukuambiwa kupost mwisho sh ngap ama hata kupost elfu 5 pia ni kosa.
Bali tunatoa wito kwa wote wenye kiherehere cha kufanya hivyo, akiwemo DOTTO MAGARI kwamba wasithubutu kuja Temeke, watadakwa kama kuku mwenye mdondo
Taarifa kamili hii hapa
View attachment 3038358View attachment 3038360
Kwani ukileta uzi unalipwa?wee kiherehere mwenzio kaleta uzi nawewe unaleta😕😕
mrembo kiherehere wewe😁😁😁😁
acha kiherehere mrembo tulizanaKwani ukileta uzi unalipwa?
Ngoja tuone mwisho wakoacha kiherehere mrembo tulizana