DC Temeke: Mtu akipiga Picha na hela akamatwe

DC Temeke: Mtu akipiga Picha na hela akamatwe

machoumia wanampaa mama wakati mgumusana badala yakuwaza mwendokasi ya mwenge tegeta ubungo mwenge wawazee juuyaooooooo

nasemahivii angakien vid nzima ya siku ya waandishi wa habariiii

alisimama mh Rc akasema nimesimama kwa heshima naomba niwaambie mambo kadhaa mama amentumaa viongozii wa dar tuaacheee ubabeee

akuishia hapoo akasema dc ubungo kinondon embunsimameniii

akuishia hapo akasemaa mm nishaacha hayooo mambo naomba na nyie muache

ukumbuke n wiki tu ubungo dc katoka fungiaa bar kadhaa na Lodge akifwatana na ma vid ma blog hii hataree sana kwa jamiii

ushauliza wale madadapoa wamelepelkwa Ln mahakamani
 
Wakamatwe kwa sheria gani?
Typical banana republic stuff!

Jitu linajiamkia tu na kutunga sheria zake lenyewe.

Tunaongozwa na majuha kuanzia juu kabisa mpaka huku chini.

Kama Rais wa nchi anaweza kusema sasa vyama vya siasa ni marufuku kufanya mikutano ya kisiasa halafu baadaye anakuja kusema ni rukhsa bila ya kuwa na mamlaka yoyote yale ya kufanya hivyo, nini kitachowazuia wateule wake kuamka na kujitungia sheria zao wao wenyewe?

Kesho mwingine anaweza akaibuka na kusema kwenye mkoa au wilaya yake ni marufuku kwa wanawake kukata viuno wakiwa wanacheza muziki.

Such pronouncements are par for the course for banana republics.
 
Yaani mtu utafute pesa kwa jasho, bado upangiwe cha kufanya ukishazipata, kama mtu anapiga picha na pesa mwacheni si zakwake. Mbona wakati anatafuta hamkuwepo
 
Sasa watajuaje kuwa kapigia picha ndani ya Temeke? Watu wengine wanashangaza sana!!
 
Ndio vichwa avipendavyo Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
 
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda amelagiza Jeshi la Polisi la Wilaya ya Temeke kukamata Watu wote ndani ya Wilaya hiyo ambao wanapiga picha na kujirekodi video wakiwa na hela kwenye mitandao ya kijamii waseme hizo hela wametoa wapi na kodi wamelipa kiasi gani.

Amesema "Mtu akipiga picha na mahela mengi kuonesha maisha ni rahisi namna hii kama ni wa Temeke kamata, hakuna hela uliyoitolea jasho ina majigambo, hela uliyotolea jasho inafichwa kama ambavyo Mtu hasemi nimepata mshahara"

Amesema hayo Julai 10, 2024 akiongea na wakazi wa Mbagala juu ya mmomonyoko wa maadili na matukio ya kiuhalifu. Akisistiza kuwa wanaopost za hela huwashawishi vijana kujihusisha na madawa ya kulevya au ushirikina.

Naliona lile dogo la nyanda za juu kusini limenuna🤣
 
Hiki cheo kitafutiwe kazi maalumu ya kueleweka.
Au kifutwe kabisa.

Sasa unamkamata mtu kakiuka sheria gani?

Halafu anasema eti hela inatakiwa ifichwe ,
Ndio huko CCM mnavyofundishana?
(ML) Money Laundering Act na sheria ya kodi kuna kitengo kipo pia cha (FIU) Financial Intelligence Unit wana mamlaka kisheria kuuliza umetoa wapi pesa. Maelezo lazima yanyooke. Lazima utuonyeshe biashara yako pia lazima utuambie kama kodi umelipa. Watanzania wengi akili hawana. Na uelewa ni finyu kama ww bwisye
 
Kumbe wanafurahia umasikini wa waTango zulu
 
Back
Top Bottom