Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahahaah kama umesoma hicho kitambi tafadhali punguza matumizi ya chumvi na sukari hahahahaa nimekumbuka Mbali, Heri yangu sijasemaHuyu DC, Nape na mwenzao Januari hawakusoma kile kitabu cha darasa la pili au la tatu "HERI MIMI SIJASEMA" jamaa walikwenda kujificha chini ya majani, kutoroka vita, maadui walipokuja wakawa wanakanyaga majani wakiwatafuta
Wa kwanza akasema "...mbona mnatukanyaga kama majani?" Adui akamdunga mkuki
Wa pili akamlaumu mwenzake akisema"...wewe acha ujinga kwanini unasema?" Adui akamdunga mkuki
Wa tatu akasema "...heri mimi sijasema?" Adui akamdunga mkuki
Wote wakafa
Mimi sipigi kura sasa hivi
🤣🤝Hahahahaah kama umesoma hicho kitambi tafadhali punguza matumizi ya chumvi na sukari hahahahaa nimekumbuka Mbali, Heri yangu sijasema
Vipi yule aliyegeuza binocular?Mh.Samia Suluhu Hassan Rais wetu bora asiyevumilia ujinga wa watendaji wake...
Serikali inapoteza pesa na muda kwa wananchi kufanya uchaguzi.
Huyu DC amesema Ukweli mchungu sana.CCM hawapendi watu waseme ukweli
Ukweli ukisema wakati na mahali pasipokuwa sahihi lazima patagharimu maisha ya wasemaji wote.Ukweli una gharimu maisha ya watu wengi sana
Kashtaki mahakamani.Aliyemfukuza sio yule alisema hata msipoichagua Sisiemu ni lazima itaunda serikali? Au hapo hakuropoka?
Hivi ni kwanini CCM hawapendi mtu anayesema ukweli?
Na usipoitoa huwa inatoka yenyewe bila kupenda au kutarajia! Ha ha ha!Wako walioandika na vitabu baada yakutoka madarakani.Ukweli nisawa na haja,utavumilia ila huwezi kutulia hadi uitoe.
Huyu DC amesema Ukweli mchungu sana.
CCM KUENDELEA KUBAKI MADARAKANI AU KUSHINDA KWENYE UCHAGUZI HAITEGEMEI KUPIGIWA KURA NA MTU YOYOTE YULE KATIKA UCHAGUZI WA SIASA HAPA NCHINI TANZANIA.
Aidha, katika Uchunguzi uliofanyika kwa kificho ulibaini kwamba wale Watu waliohusika kwenye Usimamizi wa Uchaguzi wa Siasa hapa Tanzania Mwaka 2020 walikuwa ni aidha Mawakala wa Siri wa TISS au Maaskari Polisi. Siku chache kabla ya Uchaguzi huo Watu hao Walikusanywa kwenye Makambi kwa ajili ya kupewa Mafunzo Maalumu ya Kuhujumu Uchaguzi huo ili kuipa Ushindi CCM.
Ma-DSO wote waliokuwepo walikabidhiwa jukumu naalym la kuratibu na Kusimamia Mpango huo.
Kwa wale Watu wengine waliohudhuria mapema kwenye Vituo vya Kupiga Kura siku ya Uchaguzi Mwaka huo wa 2020 nafikiri mtakuwa mashuhuda wazuri kwamba mliwakuta Vijana waliobeba mabegi kwenye vituo vya kupigia Kura, hao ndio w
Naunga mkono hojaKatiba Mpya ni muhimu sana bila hivyo ni upotevu wa pesa na muda kwa wananchi...Dc ameongea ukweli unaofanywa na serikali.
Hii hamjaiona?Huyu DC amesema Ukweli mchungu sana.
CCM KUENDELEA KUBAKI MADARAKANI AU KUSHINDA KWENYE UCHAGUZI HAITEGEMEI KUPIGIWA KURA NA MTU YOYOTE YULE KATIKA UCHAGUZI WA SIASA HAPA NCHINI TANZANIA.
Aidha, katika Uchunguzi uliofanyika kwa kificho ulibaini kwamba wale Watu waliohusika kwenye Usimamizi wa Uchaguzi wa Siasa hapa Tanzania Mwaka 2020 walikuwa ni aidha Mawakala wa Siri wa TISS au Maaskari Polisi. Siku chache kabla ya Uchaguzi huo Watu hao Walikusanywa kwenye Makambi kwa ajili ya kupewa Mafunzo Maalumu ya Kuhujumu Uchaguzi huo ili kuipa Ushindi CCM.
Ma-DSO wote waliokuwepo walikabidhiwa jukumu naalym la kuratibu na Kusimamia Mpango huo.
Kwa wale Watu wengine waliohudhuria mapema kwenye Vituo vya Kupiga Kura siku ya Uchaguzi Mwaka huo wa 2020 nafikiri mtakuwa mashuhuda wazuri kwamba mliwakuta Vijana waliobeba mabegi kwenye vituo vya kupigia Kura, hao ndio w
Tunaomba majibu watajwa hapo juu.Lucas Mwashambwa na johnthebaddest wanayomajibu
ExactlyNadhani hakujua huyu kuwa ni tofauti na Magu,Samia ni predictable.
😭😭😭Nchii imeozaaa nimegundua. Tupambane na mambo mengine yanayowezekana🙌🙌Hii hamjaiona?
View attachment 3084469