Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atapiga chini wangapi?Atafukuza kazi wangapi?Mh. Rais wetu safiiiii sanaaa, excellent, hawa viongozi wanaoongea hovyo hovyo na kujiona Miungu watu, dawa yao ndio hiyo, piga chini haraka sana, wala hakuna kelele ni kufukuza kazi tu, safi kabisa 👏👏👏
Sasa kama waTanzania hawana uwezo wa kuelewa haya, na CHADEMA nao wakashindwa kuwaeleza maana ya maneno haya wananchi wayaelewe; kutakuwa na sababu zipi za kuwepo kwa vyama vya upinzani hapa nchini. Na kutakuwa na sababu zipi za watu kujihangaisha kwenda kupiga kura?“na sasa tumeshafanya huko nadhani mmesikia”
Sasa nani wa kumhoji?ingekuwa wnatoka upande ule mwingine muda huu ungesikia tayari yupo ndani ila kwakuwa ni wao,na wadanganyika walivyo wanaona hilo la kutenguliwa kuwa ni bonge la adhabu wakati sio kabisa haitoshi.Haikupaswa kuishia hapo ilibdi apelekwe ahojiwe kuhusu aliyoyasema maana yeye kama kiongozi anajua ukweli wa alichokisema
HakikaWanahitajika waku wa Wilaya zaidi wa aina hii kujitokeza mbele. Na siyo ma-DC pekee; wajitokeze na wengine zaidi walio husika kwa njia moja au nyingine katika uchafuzi huo.
Nampa pongezi za dhati huyo mTanzania mwenzangu aliye amua kuiweka Tanzania mbele zaidi ya kitu kingine chochote.
Atapiga chini wangapi?Atafukuza kazi wangapi?
Absolutely.Luka 12:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 “Hakuna jambo lililofunikwa ambalo halitafunuliwa au siri iliyofichwa ambayo haitajulikana. 3 Kwa hiyo, yote mliyosema gizani yatasikiwa mchana: na yote mliyonong’onezana mkiwa mmeji fungia chumbani, yatatangazwa hadharani.
4 “Nawambieni rafiki zangu, msiwaogope wale wauao mwili, na halafu basi.
Mzee Mwanakijiji kwanza "Shumalamu". Baada ya salamu naomba nikuombe uwaambje watu wa Serikali kwamba, kabla mtu hajapewa mamlaka apewe elimu hasa ya "Public Speaking". Najua wewe una "connections" na unaaminika Itawasaidia "watoto" wetu ambao sasa hivi ndio wanakasimiwa madaraka. 🙏🙏🙏🙏Wataanza kuchunga makanwa yao..walisahau ya Nape...
Luka 12:2-4
2 “Hakuna jambo lililofunikwa ambalo halitafunuliwa au siri iliyofichwa ambayo haitajulikana. 3 Kwa hiyo, yote mliyosema gizani yatasikiwa mchana: na yote mliyonong’onezana mkiwa mmeji fungia chumbani, yatatangazwa hadharani.
Neno: Bibilia Takatifu
4 “Nawambieni rafiki zangu, msiwaogope wale wauao mwili, na halafu basi.
Kwa habari nilizopata huyu kamka nazo.. nape yeye alikuwa amelewa palepale eneo la tukio.. Na kama unavyojua pombe inaleta arrogaceUkitafakari kwa karibu zaidi kuhusu jambo hili:
Hakuna wakati mzuri sana kuliko sasa kwa watu wa aina ya huyu bwana, kujitokeza mbele na kutoa mchango wao katika kulinusuru taifa hili na hili janga walilo panga hawa watu.
Binafsi sijui kwa nini huyu DC kaamua kuyasema haya mambo wazi wazi hivi wakati huu. Sijui kama ni kuropoka tu kwa mtu aliye pungukiwa akili (kama Nape Nnauye alivyo fanya)?
Kama kasukumwa na moyo wa kukataa uovu unao fanywa na serikali na chama anavyo vitumikia, mimi nitamsifu sana; na naomba na wengine wengi wajitokeze mbele kufanya hivyo. Kwani wakati mzuri ndio huu.
Hawa waneshafitinika hizi sasa wanatoana macho wao kwa wao, na siye tusiowaelewa tunawataka wazidi kuparurana,ili siyee tufike kule tuendakooo.Nimekwazika Sanaa....hivi hamna uwezekano Jeshi langu Pendwa
😭😭😭Nchii imeozaaa nimegundua. Tupambane na mambo mengine yanayowezekana🙌🙌
Sema hiviiii kala kavimbiwaaaa,na kwa kuwa ni suala la kurefushaaa kambaa ni rahisiii mnoooKwa habari nilizopata huyu kamka nazo.. nape yeye alikuwa amelewa palepale eneo la tukio.. Na kama unavyojua pombe inaleta arrogace
Hata Iddy Amin tunamkumbuka.Sisi tunafanya sampling ya watu mitaani. Mpaka leo hii mitaani anakubakubalika na anakumbukwa.
Kuna maswali mengi hapa.Bado mchengerwa umeona video yake?