Pre GE2025 DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa

Pre GE2025 DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Siasa na Ukweli Wapi na Wapi bwashee?! 😄

Ukweli uko Kanisani na Msikitini
Hata huko Kanisani na Msikitini bado Wanasiasa wanaenda huko huko na Kisha Wanasema Uwongo ndani ya hizo Nyumba za Ibada.
Tena wamekuwa wakisema uwongo mkubwa huko makanisani na misikitini mchana kweupe bila woga.
 

Attachments

  • 2713204-9517d323153e452701a90af73c7311cb.mp4
    51.8 MB
Mh.Samia Suluhu Hassan Rais wetu bora asiyevumilia ujinga wa watendaji wake...
Asiyevumilia usiposema ukisema anapita na wewe!

Na huyu kimemtoa aliposema “na sasa tumeshafanya huko nadhani mmesikia” angeishia hapo kwa 2020 kipindi cha Magufuli huyu mama angeichukua kama kete ya siasa but kwa kauli hiyo obviously utawala wa huyu mama wa Kipemba umeshaumiza sana watu wengi na wengi wakiwa marehemu mpaka tunapo-type hapa.
 
Msema kweli daima

View attachment 3084404
Mwenge wa uhuru uliwashwa kwa mara ya kwanza juu ya kilele cha mlima Kilimanjaro mwaka 1961.

Mwenge huu unamulika ndani na nje ya mipaka ili kuleta matumaini pale ambapo kuna kukata tamaa, upendo pale kwenye chuki na heshima pale kwenye dharau.

kila mwaka kuna mbio za mwenge zinazoanzia kwenye mikoa tofauti kuwakumbusha watanzania jukumu lao la kulinda umoja na amani ambavyo vimekuepo na kudumu.
Wanayo yafanya hawa akina 'Chura Kiziwi' ni tofauti kabisa na yaliyo lengwa na uwepo wa mwenge huo.
Siku hizi wanatumia mwenge kueneza ujinga zaidi na ulaghai mwingi.
 
Mh. Rais wetu safiiiii sanaaa, excellent, hawa viongozi wanaoongea hovyo hovyo na kujiona Miungu watu, dawa yao ndio hiyo, piga chini haraka sana, wala hakuna kelele ni kufukuza kazi tu, safi kabisa 👏👏👏
 
Hahaha wazee wa kupita bila kupingwa tumbo jotoo
 
Mh. Rais wetu safiiiii sanaaa, excellent, hawa viongozi wanaoongea hovyo hovyo na kujiona Miungu watu, dawa yao ndio hiyo, piga chini haraka sana, wala hakuna kelele ni kufukuza kazi tu, safi kabisa 👏👏👏
Rais aliyeingia Kwa wiz wa kura kama alivyosema mkuu wa wilaya
 
Asante Mkuu wa Wilaya kwa kusema ukweli - ukweli umekuweka huru hata kama wamekutumbua.
 
Back
Top Bottom