Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahahaah kama umesoma hicho kitambi tafadhali punguza matumizi ya chumvi na sukari hahahahaa nimekumbuka Mbali, Heri yangu sijasemaHuyu DC, Nape na mwenzao Januari hawakusoma kile kitabu cha darasa la pili au la tatu "HERI MIMI SIJASEMA" jamaa walikwenda kujificha chini ya majani, kutoroka vita, maadui walipokuja wakawa wanakanyaga majani wakiwatafuta
Wa kwanza akasema "...mbona mnatukanyaga kama majani?" Adui akamdunga mkuki
Wa pili akamlaumu mwenzake akisema"...wewe acha ujinga kwanini unasema?" Adui akamdunga mkuki
Wa tatu akasema "...heri mimi sijasema?" Adui akamdunga mkuki
Wote wakafa