Pre GE2025 DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa

Pre GE2025 DC wa Longido aliyesema alihusika kutengeneza mazingira ya Madiwani kushinda 2020 atenguliwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ulitaka kwa siku ya leo cdm wafanye nini?
Hapana, hujanielewa. Sijasema popote wafanye lolote kwa "siku ya leo, au kwa tukio hili". Nisome vizuri unielewe.

Hii siyo kazi ya tukio moja au kazi ya siku moja. Tumekuwa tukihimiza maandalizi ya kuzuia haya tokea miaka mitano iliyo pita, lakini hatuoni juhudi zozote zikifanyika wakati wote huo; na mbaya zaidi, hata wakati huu wa majeruhi tukiingia kwenye chaguzi.
Ukiondoa ile Kesi iliyo funguliwa (sijui kama CHADEMA wanahusika huko) hakuna juhudi nyingine zozote zilizo andaliwa popote kuzuia yale yale ya miaka yote yasijirudie.
Labda kama ni siri. Je, wewe mkuu 'sengobad' unajuwa lolote kuhusu yanayo fanyika huko ndani ya chama kukabiriana na hali hii wanayo ilazimisha CCM?
 
Ni ujinga mtupu kwenda kupiga kura, wataenda vijana ambao bado hawajajua nini kinaendelea
Duh!

Hata wewe?
Nisome hapo nilipo mjibu mkuu 'Tindo'.
Mimi naamini kujitokeza kwa wingi sana kwa wananchi wenye uelwa wa wanacho kifanya ndiyo njia nzuri kabisa ya kuwa adhibu hawa mafisi.
Kutoshiriki kupiga kura ni kuwapa zawadi ya ushindi wa chee kabisa.
Watu wa aina yako ni sehemu ya tatizo kwa kila mmoja wetu.
 
Kasema ukweli na kaadhibiwa kwa kusema ukweli.Watu mnaoiba kura na kufanya mambo ya ovyo..kama huyo alisema..kuna mambo walifanya misituni..tunaamini dhamira zenu zinawachoma, na mtatoka mmoja baada ya mmoja...
Ukweli utasemwa tu
 
Upuuzi mtupu. Hata mkiwatengua haisaidii maana mtu husema yaujazayo moyo wake. So huko kujikinai ndio CCM wengi mlivyo
 
View attachment 3084397

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Mhe. Marko Henry Ng'umbi, Mkuu wa Wilaya ya Longido.

Pia soma:Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Sasa Samia
View attachment 3084397

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Mhe. Marko Henry Ng'umbi, Mkuu wa Wilaya ya Longido.

Pia soma:Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Sasa Samia hataki kujuwa ukweli maana kila anaye sema ukweli anatimuliwa. Yeye mwenyewe anajuwa hakupingiwa kura hata moja .yeye na mwendazake walipata uraisi wa wizi wa kura. Halafu akiambiwa kuwa hakushinda kihalali anakuwa mbogo . Yaani mwizi anakuwa mkali kuliko wenye mali.
 
Na bado watasema yote.... Kwani kulikuwa na uchaguzi wa serikali za mitaa last time? Au ulikuwa uporaji wa haki za wananchi tu?
 
View attachment 3084397

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Mhe. Marko Henry Ng'umbi, Mkuu wa Wilaya ya Longido.

Pia soma:Kuelekea 2025 - DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
Hiyo kauli aliitoa akiwa wapi!? Kama ni kwenye mikutano ya ndani ya madiwani wa ccm na makada wao wengine, hiyo siyo kosa kabisa. Kwani hapo alikuwa anawapa ukweli TU wa kilichotokea mpaka wao wakapata udiwani. Kama ilikuwa kwenye hadhira ya Raia, Hilo ni kosa, Tena kubwa sana.
 
Hizi zote ni drama tu zinafanywa, yaani muongeaji na mtenguaji lao moja. Tunatengeneza jambo tunatoa suluhisho kwa kutengua ili mtenguaji aonekane wa maana sana hataki ujinga kumbe hakuna lolote.
Hata Mimi nimehisi hivyo hivyo. Sanaa na wasanii
 
Alianza ndugai, akaliwa
Akaja nape, kaliwa
Kaja dc wa longido kaliwa
Who is next?...........
 
Kama ambavyo mchawi hapaswi kueleza wachawi wanarogaje, ndivyo ambavyo haipaswi duniani wala ahera kwa mtu wa kitengo kueleza hadharani jinsi #sanaazakiza a.k.a #darkarts zinavyofanya kazi.

Kiintelijensia, zinaitwa "sources and methods" a.k.a. "tradecraft" a.k.a "spycraft", kwa lugha nyepesi ni "the art of spying".

Huyo mzembe is learning the hard way...just because of clout. Alitaka kuonekana mtu muhimu kwa madiwani.

Ndo tatizo la kitengo kujaza watu wasiojielewa. It's a scam 😡
 
Back
Top Bottom