Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Astaghifilullah!Mmeingia hadi geto kwake sasa!Kwenye paja karibia na ukewake atakuwa kachora nn kama hapo kachora hivyo
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Astaghifilullah!Mmeingia hadi geto kwake sasa!Kwenye paja karibia na ukewake atakuwa kachora nn kama hapo kachora hivyo
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
DC wa Pangani amezua gumzo baada ya kuonekana na tattoo ya mumewe hadharani. Ikumbukwe mumewe ni Mbunge wa Pangani na Waziri mwandamizi.
Unampa asilimia ngapi DC wa Pangani kwa tattoo hiiView attachment 2714611
Shida Kubwa Ipo DC Anaonekana Na TatizoKama amefanya makeup kupitiliza kiasi hicho alafu anaonekana ana sura ya mtumba vipi akiwa ndio ameamka 🤔🤔🤔 mwanamke mwenye tattoo hua namuona kama lishagingi limaya kabisa 😎😎🚶🚶🚶
Wa Mchongohuyu ni kiongozi?
Haa HaaHuyu ni Kioo Ngozi mkuu.
Wengine hayo mamakeup ndio yanawafanya waonekane wabaaayaaaaKama amefanya makeup kupitiliza kiasi hicho alafu anaonekana ana sura ya mtumba vipi akiwa ndio ameamka 🤔🤔🤔 mwanamke mwenye tattoo hua namuona kama lishagingi limaya kabisa 😎😎🚶🚶🚶
Alikuwa Mkuu wa EWURA au afisa tu ?Usilolijya Mume wa Tulia ni boss siku nyingi kabla Tulia hajawa Naibu Spika
Kumbe na wewe umeona,aisee ana pua kubwa duu
Ndio.. Sheria ya kazi kifungu namba kumi na moja kifungu kidogo cha pili aya ya kwanza kinachozungumzia mavazi na mionekano ya watumishi wa umma kimeruhusu Tattoo.Mtumishi wa umma anaruhusiwa kuchora tatoo?
Kwa pua tuu alijaaaliwaaDc na PUA yake