DC wa Pangani atupia tattoo ya mumewe mubashara

DC wa Pangani atupia tattoo ya mumewe mubashara

Kama amefanya makeup kupitiliza kiasi hicho alafu anaonekana ana sura ya mtumba vipi akiwa ndio ameamka 🤔🤔🤔 mwanamke mwenye tattoo hua namuona kama lishagingi limaya kabisa 😎😎🚶🚶🚶
 
Bhalaa Hilo Hawa Wanapewaje Uongozi Wakati Bado Sana Kwenye Mambo Ya Msingi
Hapo Alitamani Kutuonyesha Mewata Yote (Matiti)
 
Kama amefanya makeup kupitiliza kiasi hicho alafu anaonekana ana sura ya mtumba vipi akiwa ndio ameamka 🤔🤔🤔 mwanamke mwenye tattoo hua namuona kama lishagingi limaya kabisa 😎😎🚶🚶🚶
Shida Kubwa Ipo DC Anaonekana Na Tatizo
 
Kama amefanya makeup kupitiliza kiasi hicho alafu anaonekana ana sura ya mtumba vipi akiwa ndio ameamka 🤔🤔🤔 mwanamke mwenye tattoo hua namuona kama lishagingi limaya kabisa 😎😎🚶🚶🚶
Wengine hayo mamakeup ndio yanawafanya waonekane wabaaayaaaa
 
Ndiyo viongozi wetu hawa sahvi akili kubwa

Ova
 
Usilolijya Mume wa Tulia ni boss siku nyingi kabla Tulia hajawa Naibu Spika
Alikuwa Mkuu wa EWURA au afisa tu ?

Na hata kama alishawahi kuwa EWURA, alishatolewa. Hakuna mtu ana hati miliki ya kudumu ya nafasi yoyote serikalini.

Kwenye nchi ya mamilioni ya watu wasio na ajira, kuna busara gani kurundika ma vyeo makubwa kwenye nyumba moja ?

Hii ni mbinu ya Samia ya kujiongezea madaraka yake kwa kujenga loyalty kwenye mihilimi mingine. Spika hawezi kukwamisha agenda yeyote ya biashara ya Samia itakayopitishiwa bungeni, familia yako imeshapewa mavyeo mazito, unapingaje ?
 
Mtumishi wa umma anaruhusiwa kuchora tatoo?
Ndio.. Sheria ya kazi kifungu namba kumi na moja kifungu kidogo cha pili aya ya kwanza kinachozungumzia mavazi na mionekano ya watumishi wa umma kimeruhusu Tattoo.
 
Ma'Dc wengi hawajaolewa hata walioolewa wengi unakuta ni mke wa pili au watatu ndoa za mitala tena aidha kwa wabunge, wafanyabiashara wakubwa wa wilaya husika au viongozi wenye hadhi nadhani wengi wanaogopwa kufuatwa na wanaume wa kawaida au walio na kipato cha chini kushinda wao na vile raia namba moja akimteua mtu ambaye hayupo ndoani humpresha aingie ndoani...mfano kwa uchache huyo mke wa Aweso hata Ma'Dc wa wilaya nk wameingia ndoa za mitala kupooza presha za ndoa kwa viongozi wa kike toka kwa Mama kama huna ndoa hakuelewi.
 
Back
Top Bottom