Ven26
JF-Expert Member
- Jan 28, 2014
- 467
- 981
Dada kabarikiwa limwili looote lake😃😃😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada kabarikiwa limwili looote lake😃😃😃😃
.... but, jokes aside, she's BEAUTIFUL❣️Nimependa pua yake tu ni Xtreme
... NA KIKAKUTOA NDUKI! 😅Kuna wakati inakupasa uwe makini sana na kile unachokiomba,maana unaweza ukapewa.
Nampa 100% for cathedral of a noseDC wa Pangani amezua gumzo baada ya kuonekana na tattoo ya mumewe hadharani. Ikumbukwe mumewe ni Mbunge wa Pangani na Waziri mwandamizi.
Unampa asilimia ngapi DC wa Pangani kwa tattoo hiiView attachment 2714611
Watu wa CCM hivi ni lini mtatupumzisha kwa vituko vyenu?DC wa Pangani amezua gumzo baada ya kuonekana na tattoo ya mumewe hadharani. Ikumbukwe mumewe ni Mbunge wa Pangani na Waziri mwandamizi.
Unampa asilimia ngapi DC wa Pangani kwa tattoo hiiView attachment 2714611
ni manipulation za Samia, wape vyeo wake zao na wame zao ili wawe watiifu kupindukia... Mume wa Tulia Ackson kupewa u CEO wa EWURA ni corrupted tactics hizi hizo... Samia akitaka kupiga dili miradi ya Wachina wizara ya Maji au kupitishia ujangili wa hifadhi kupitia Bungeni hawa kina Tulia na Aweso lazima watatii tu...Sijui amewezaje kuwa DC naonaga Hana akili Ni bongo lala mzuri tu hate kuongea naonag kinyaaa hv
PUA EconomyDC wa Pangani amezua gumzo baada ya kuonekana na tattoo ya mumewe hadharani. Ikumbukwe mumewe ni Mbunge wa Pangani na Waziri mwandamizi.
Unampa asilimia ngapi DC wa Pangani kwa tattoo hiiView attachment 2714611
Hawa ndio wanaomsaidia Samia kazi mnategemea nchi itakuwa na maendeleo kweli?DC wa Pangani amezua gumzo baada ya kuonekana na tattoo ya mumewe hadharani. Ikumbukwe mumewe ni Mbunge wa Pangani na Waziri mwandamizi.
Unampa asilimia ngapi DC wa Pangani kwa tattoo hiiView attachment 2714611
Yes,sasa alimruhusu maana na yeye alikuwa anapelekewa moto na Aweso.Angekuwa hana spea tairi unafikiri angemruhusu.Sasa kwa nini aliomba talaka ili ahalalishe na Aweso?Ruhusa ya kinafki,inshort alikuwa na mbadala.Huyu ndo alimruhusu mumewe aowe mke wa pili eti wasaidiane
Hilo pua sasa utadhani la kupengea kamasi za jambazi.DC wa Pangani amezua gumzo baada ya kuonekana na tattoo ya mumewe hadharani. Ikumbukwe mumewe ni Mbunge wa Pangani na Waziri mwandamizi.
Unampa asilimia ngapi DC wa Pangani kwa tattoo hiiView attachment 2714611
Mbona ana ona pua kama kiganja cha mkonoDC wa Pangani amezua gumzo baada ya kuonekana na tattoo ya mumewe hadharani. Ikumbukwe mumewe ni Mbunge wa Pangani na Waziri mwandamizi.
Unampa asilimia ngapi DC wa Pangani kwa tattoo hiiView attachment 2714611
Usilolijya Mume wa Tulia ni boss siku nyingi kabla Tulia hajawa Naibu Spikani manipulation za Samia, wape vyeo wake zao na wame zao ili wawe watiifu kupindukia... Mume wa Tulia Ackson kupewa u CEO wa EWURA ni corrupted tactics hizi hizo... Samia akitaka kupiga dili miradi ya Wachina wizara ya Maji au kupitishia ujangili Bungeni hawa watatii tu...
itakuwa ana undugu na baba levoMbona ana ona pua kama kiganja cha mkono