DC wa Pangani atupia tattoo ya mumewe mubashara

DC wa Pangani atupia tattoo ya mumewe mubashara

Hiyo sio Tattoo. Ila huyo manzi ni miongoni mwa watu waliojaliawa kuongea mbele ya watu. Yaani anaongea kinyama. Mara ya kwanza kumuona ilikuwa kwenye semina ya ujasiriamali iliyoandaliwa na hayati Lemutuz mwaka 2014 pale Jubilee Towers. Walikuwepo waongeaji wengi akiwemo huyo manzi. Ilipofika zamu yake alikiwasha kinyama... siasa mingi mno.
 
Back
Top Bottom