DC wa Temeke, Godwin Gondwe hayuko sahihi katika kufukuza wanafunzi, watu wa haki za watoto na Haki Elimu nategemea sauti yenu katika hili

DC wa Temeke, Godwin Gondwe hayuko sahihi katika kufukuza wanafunzi, watu wa haki za watoto na Haki Elimu nategemea sauti yenu katika hili

aloo kumbe!!! ndo mana huku mitaani vitoto vya kiislam vimejazana vingi kweli, na vyote huwa vimevalia ijabu na barakashee, jamaa wanangonoka sana, kila kukicha kazi yao ni kufyatua tuu yani mwendo wa kufyatua vitoto,
vitoto vidogo vinazidi kuongezeka na kurundikana mitaani na hali yenyewe ndo hii. Walau wangejaribu kushauriwa kuhusu uzazi wa mpango ingesaidia.
Pole Sana kwako na kwa mzazi wako pia.
 
Kuna njia nyingi za kurekebisha tabia na mazoea ya watoto lakini sio kumfukuza shule, wala nyumbani.

Mtoto Hukanywa, huadhibiwa na kuadhibiwa, kufukuzwa kwa muda kama adhabu ya muda ili ajitafakari na kujirekebisha, Mtoto ni mtoto hata kama akiiga tabia za wakubwa ni mtoto tu, kwani hajui afanyalo.

Ndugu yangu amekosea.
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Elisante Ole Gabriel amewataka Watafiti kufanya utafiti kama kuna uwezekano wa kutumia ngozi ya kuku kuzalisha bidhaa mbalimbali za ngozi kama inavyofanyika kwa ngozi za ng’ombe, mbuzi n.k
Prof. Ole Gabriel ameyasema hayo wakati wa kuzindua mafunzo ya mnyororo wa thamani kwa Wadau wa ngozi Dar es Salaam.
“Kuku tunao Milioni 83.3 na wanataga mayai Bilioni 4 yenye thamani ya Tsh Bilioni 800, nguruwe tunao Milioni 2, ngozi, nyama na maziwa tukizitumia vizuri uchumi utakuwa, tusitupe kitu kwenye wanyama hata kwato, pembe, meno ya ng’ombe, mbuzi, kondoo hata punda yachangie uchumi”
 
DC yuko sahihi kama wameanza ngono hao ni watu wazima wakaozeshwe viwe vidume au vijike kwa taarifa nimeambiwa ni watoto wa Kiislamu na kwa dini hiyo mtu akibalehe awe wa kike au kiume aozwe au aolewe si lazina awe kafikisha miaka 18 .Sheria ya kutaka mtoto aoe au kuolewa akiwa na miaka 18 kuendelea ilipingwa sana na waislamu.

Ni wakati wa watoto wa kiislamu kupewa haki zao kikionyesja kinapenda ngono kiwe cha kike au kiume hata kama hakijafika miaka 18 kiachishwe hule kiende kuoa au kuolewa.
Ngoja waje
 
Mihemko ya DC na kutaka sifa za kijinga!
Apunguze mihemko haijawai kumsaidia yeyote amuulize Bashite mwenzie kama bado haelewi somo!
 
Back
Top Bottom