Kuna njia nyingi za kurekebisha tabia na mazoea ya watoto lakini sio kumfukuza shule, wala nyumbani.
Mtoto Hukanywa, huadhibiwa na kuadhibiwa, kufukuzwa kwa muda kama adhabu ya muda ili ajitafakari na kujirekebisha, Mtoto ni mtoto hata kama akiiga tabia za wakubwa ni mtoto tu, kwani hajui afanyalo.
Ndugu yangu amekosea.