Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Na ingetokea akawa sehemu ya mashahidi, nafikiri yeye angekuwa anaomba awahishwe isiiuuu 🚑na SII washroom kama yule wa12 ba13🤸.alitakiwa kuieleza mahakama ni kwa Nini alikubali mpango wa kuharibia maisha makomandoo watatu ambao walikuwa na kazi zao, warubuniwe na Urio kwamba Kuna kazi ya ulinzi VIP kumbe wanatumbukizwa shimoni na kubambikiwa ugaidi, kifupi bila Boaz kutoa ushahidi muunganiko wa kesi nzima unakosekana.