Nyanje
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 763
- 680
Nafkiri ulikuwa ni mpango ovu wa kumuhujumu mh hangaya wameumbuka na watajua kuku anakojoa muda gani!!Kuendelea kwa kesi nikuzidi kuanika uovu na heshima ya rais kupungua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafkiri ulikuwa ni mpango ovu wa kumuhujumu mh hangaya wameumbuka na watajua kuku anakojoa muda gani!!Kuendelea kwa kesi nikuzidi kuanika uovu na heshima ya rais kupungua
Mkuu nikumbushe Ile simu ya Urio inayokaa na chaji kwa zaidi ya mwaka ni aina gani nikainunue?Jaji aliuliza mnataka rais mwinyi aje mahakamani?
Wakili Mallya: Huko mbelene ikihitajika itakuwa hivyo
mdukuzi suburi : utaelewa taratibu maana nyie mlipeleka simu mahakamani bila sim card [emoji23][emoji23][emoji23]
Miez mitano bado sana..itatafutwa njia ya kuchelewesha hili jamboNo mpaka hapa serikali imehadhirika vya kutosha. Kumbuke wako jela miezi mitano. Ni mingi Sana hii.
Salute!!!!Likely, Yes...
Na mambo mengine ni huko Ubelgiji aliko Chief Hangaya kwa sasa na Tundu Lissu....
Wenye akili tunaelewa vizuri sana what's going on "behind the closed doors" si kwa kesi hii tu ya Mbowe bali kwa mambo mengi ya nchi yaliyoharibiwa na Mwendazake John Pombe Magufuli...!
Hiyo siyo "coincidence". Bali ni mpango mzima ulio kamili.
Aibu kubwa sn anajua hakuna ushahdi wa maana zaidi ya maigizoLeo upande wa mashtaka umefunga ghafla kesi ya ugaidi inayowahusu washtakiwa wanne akiwemo Freeman Mbowe.
Katika hali ya kushangaza shahidi muhimu ambaye akitajwa karibu kila siku na mashahidi wa upande wa serikali DCI Boaz hajaitwa mahakamani kutoa ushahidi.
Ikumbukwe huyu ndiye aliyepokea taarifa kutoka kwa Luteni Urio, juu ya kuwepo mipango ya ugaidi, na yeye aliye andaa mpango kazi wa awali wa kesi hii. Boaz alitakiwa kuja kuieleza mahakama ni kwa jinsi gani aliiona hii kesi ni ya ugaidi, alitakiwa kuunga mkono ushahidi wa Urio na kuthibitisha kwamba kweli Urio alifika ofisini kwake, maana hapo Kuna utata mkubwa, alitakiwa kuieleza mahakama ni kwa Nini alikubali mpango wa kuharibia maisha makomandoo watatu ambao walikuwa na kazi zao, warubuniwe na Urio kwamba Kuna kazi ya ulinzi VIP kumbe wanatumbukizwa shimoni na kubambikiwa ugaidi, kifupi bila Boaz kutoa ushahidi muunganiko wa kesi nzima unakosekana.
Hii haijatokea kwa bahati mbaya, pengine hii kesi ni mchongo hivyo kumleta DCI mahakamani na kudhalilishwa siku 3 mfululizo ni Kibatala itakuwa ni aibu kwa taifa, lakini majibu mazuri zaidi wanayo upande wa mashtaka.
Miez mitano bado sana..itatafutwa njia ya kuchelewesha hili j
Miez mitano bado sana..itatafutwa njia ya kuchelewesha hili jam
Kama kweli Jaji atasimama kwenye haki hakuna kesi ya kujibu hata kidogoMiez mitano bado sana..itatafutwa njia ya kuchelewesha hili jambo
Aibu walioipata inatosha kabisa tudaii katiba mpyaHii kesi sitaki iishe maana kwenye committal utetezi wanewaweka, Sirro,Sabaya, na AG, wasipofuta tunao hao[emoji1]
Wawafunge kwa ushahidi upi hapo?Sijui kwanini tunakubali kuhadaika kiurahisi hivi 😀😀😀😀 hiyo kesi haiwezi kuisha kiurahisi hivyo mark my words hawa watu watafungwa tu ingawaje ni ukweli mchungu ila watafungwa hii kesi imekaa vibaya hawawezi tumia gharama kubwa then wawaachie kiurahisi hivyo
inatosha tumeona hakuna ushahidi wa maana watu watoke wafanye shughuli zaoKama kesi ikiendelea DCI Boaz ataletwa kupitia wakili wa utetezi..
Pia Sirro ataletwa.. Sabaya pamoja na Mwanasheria wa Serikali kujibu aliyosema Rais Samia BBC
Ni kutesa watu, hongera sn kwa Kibatala na jopo lakeHii kesi ni bora tu Jamhuri wakakubali matokeo. Kiukweli wameshindwa vibaya! Maana kila anayekuja kutoa ushahidi, anaondoka akiwa hoi bin taaban!
Na yote hii ni kwa sababu ya ukosefu wa uhalisia wa mashtaka yenyewe!
ukifuatilia hii kesi watoa maamuz wanatafuta njia ya kutoa maamuz bila kubeba lawama. Hiyo nafas sasa ndio haipoKama kweli Jaji atasimama kwenye haki hakuna kesi ya kujibu hata kidogo
Kwa huyu Jaji wa hovyo sidhani maana haelewi hata anafanya nini hapoukifuatilia hii kesi watoa maamuz wanatafuta njia ya kutoa maamuz bila kubeba lawama. Hiyo nafas sasa ndio haipo
kapigwa biti kabaki kutetema mashavu tuHivi hamjui Mama kaitwa makao makuu ya utawala wa dunia ,ambako yuko lisu .kapigwa biti la kufa mtu .
Cc WIGWA comte johnthebaptist YEHODAYA Magonjwa Mtambuka CrimeaLeo upande wa mashtaka umefunga ghafla kesi ya ugaidi inayowahusu washtakiwa wanne akiwemo Freeman Mbowe.
Katika hali ya kushangaza shahidi muhimu ambaye akitajwa karibu kila siku na mashahidi wa upande wa serikali DCI Boaz hajaitwa mahakamani kutoa ushahidi.
Ikumbukwe huyu ndiye aliyepokea taarifa kutoka kwa Luteni Urio, juu ya kuwepo mipango ya ugaidi, na yeye aliye andaa mpango kazi wa awali wa kesi hii. Boaz alitakiwa kuja kuieleza mahakama ni kwa jinsi gani aliiona hii kesi ni ya ugaidi, alitakiwa kuunga mkono ushahidi wa Urio na kuthibitisha kwamba kweli Urio alifika ofisini kwake, maana hapo Kuna utata mkubwa, alitakiwa kuieleza mahakama ni kwa Nini alikubali mpango wa kuharibia maisha makomandoo watatu ambao walikuwa na kazi zao, warubuniwe na Urio kwamba Kuna kazi ya ulinzi VIP kumbe wanatumbukizwa shimoni na kubambikiwa ugaidi, kifupi bila Boaz kutoa ushahidi muunganiko wa kesi nzima unakosekana.
Hii haijatokea kwa bahati mbaya, pengine hii kesi ni mchongo hivyo kumleta DCI mahakamani na kudhalilishwa siku 3 mfululizo ni Kibatala itakuwa ni aibu kwa taifa, lakini majibu mazuri zaidi wanayo upande wa mashtaka.
Una maana gani? Kwamba Mbowe alienda kuomba msamaha?Ukweli ni kwamba baada ya Mbowe juzi kwenda pekee yake ofisi ya jaji pamoja na mawakili wa pande zote ndio hii kesi ilipoenda kumalizwa!!!
Na ushahidi wake wa yale aliyoyafanya akiwa kazini umestaafu pia? Hope you are joking, otherwise this is too low for you.Amestaafu!
Kufungwa kwa kesi upande wa mashtaka ni fursa kwa Mbowe na wenzake kujitetea ili tuwasikie kisha tuone haki inatendeka
Umenena vyema. Hii kes iliibuliwa kumdhibit mbowe dhid ya vuguvugu la katiba mpya. Kweli wameshafanikiwa mno! Sisi tunahangaika na ugaid kumbe si mission yao. Namna ya kurud kwenye harakat ni lisu na lema warud, mbowe kama mfadhir arud uraian. Lakin muda si rafik tena.Nadhani hii kesi ina lengo la kuchelewesha harakati za kudai Katiba Mpya! Na kwa hili Serikali imefanikiwa maana tangu Mbowe atiwe mahabusu kwa kesi ya Ugaidi fake nani anayeongoza harakati za kudai Katiba Mpya kwa sasa?
Kama serikali imeona baada ya Mbowe kufunguliwa mashitaka ya Ugaidi fake hakuna choko choko za kudai Katiba mpya huenda ikam detain muda mrefu kwa visingizio mbali mbali!
Lakini nadhani Mabeberu wakizidi kumbana Hangaya huenda akirudi atanyoosha mikono.