DCI Boaz vipi, Mbona amekimbia kesi ya Mbowe?

DCI Boaz vipi, Mbona amekimbia kesi ya Mbowe?

Yaani bado polisi wetu wana mambo ya kizamani, bado huwa wanabambikia watu madawa ya kulevya. Ndio maana hata ushahidi wa madawa ya kulevya hautolewi tena huko mahakamani maana ni upuuzi wa hali ya juu.
 
Leo upande wa mashtaka umefunga ghafla kesi ya ugaidi inayowahusu washtakiwa wanne akiwemo Freeman Mbowe.

Katika hali ya kushangaza shahidi muhimu ambaye akitajwa karibu kila siku na mashahidi wa upande wa serikali DCI Boaz hajaitwa mahakamani kutoa ushahidi.

Ikumbukwe huyu ndiye aliyepokea taarifa kutoka kwa Luteni Urio, juu ya kuwepo mipango ya ugaidi, na yeye aliye andaa mpango kazi wa awali wa kesi hii. Boaz alitakiwa kuja kuieleza mahakama ni kwa jinsi gani aliiona hii kesi ni ya ugaidi, alitakiwa kuunga mkono ushahidi wa Urio na kuthibitisha kwamba kweli Urio alifika ofisini kwake, maana hapo Kuna utata mkubwa, alitakiwa kuieleza mahakama ni kwa Nini alikubali mpango wa kuharibia maisha makomandoo watatu ambao walikuwa na kazi zao, warubuniwe na Urio kwamba Kuna kazi ya ulinzi VIP kumbe wanatumbukizwa shimoni na kubambikiwa ugaidi, kifupi bila Boaz kutoa ushahidi muunganiko wa kesi nzima unakosekana.

Hii haijatokea kwa bahati mbaya, pengine hii kesi ni mchongo hivyo kumleta DCI mahakamani na kudhalilishwa siku 3 mfululizo ni Kibatala itakuwa ni aibu kwa taifa, lakini majibu mazuri zaidi wanayo upande wa mashtaka.
Amestahafu huyo mdwanzi na juzi Kati alikuwa na sherehe pale kwake morogoro mitaa ya lukobe.
 
Pampers za watu wazima zimetafutwa zimekosekana hivyo wameona bora akimbie tu
 
Sijui kwanini tunakubali kuhadaika kiurahisi hivi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hiyo kesi haiwezi kuisha kiurahisi hivyo mark my words hawa watu watafungwa tu ingawaje ni ukweli mchungu ila watafungwa hii kesi imekaa vibaya hawawezi tumia gharama kubwa then wawaachie kiurahisi hivyo
We fala kweli. Possible itakuwa unaliwa kiboga
 
Kama Jaji akijifanya hamnazo na akaamua kuwa hawa watu wanne "WANA KESI YA KUJIBU"...

Basi, iwe isiwe, wote waliokwepa kuja kutoa ushahidi kuthibitisha makosa ya washitakiwa kama waleta mashitaka [Jamhuri], then wajiandae kuwa mashahidi wa upande wa utetezi....

That means, hawajakikwepa kizimba cha mahakama. Na hata chief Hangaya kupitia kwa AG wake ajiandae kuja kujibu maswali kizimbani....

Mpaka hapo, one can easily predict what would be maamuzi sahihi ya Jaji Tiganga siku ya Ijumaa tarehe 18/2/2022 yatakuwaje...

To cut it short, ni kuwa, THE GAME IS OVER....!!
Tarehe ikifika utasikia judge amehairisha had tarehe 21
 
Hivi mnapozungumzia "umma" huwa mnamaanisha nini aisee, huenda mie sielewi, ni huu umma unaomtukana JPM kila uchao mitandaoni? embu nendeni site mkamtukane ndo mjue nini maana ya umma.

Site gani, kila siku tunampa vipande vyake huko mtaani na hukuna yoyote anatugusa. Labda umma kwako ni kwenye ofisi za CCM.
 
Site gani, kila siku tunampa vipande vyake huko mtaani na hukuna yoyote anatugusa. Labda umma kwako ni kwenye ofisi za CCM.
Bado anakuchapa hata baada ya kufa?
 
Yaani bado polisi wetu wana mambo ya kizamani, bado huwa wanabambikia watu madawa ya kulevya. Ndio maana hata ushahidi wa madawa ya kulevya hautolewi tena huko mahakamani maana ni upuuzi wa hali ya juu.
Jidanganye!
.
Mbowe anakula mvua 30 na hamna kitu mtafanya
 
Ukweli ni kwamba baada ya Mbowe juzi kwenda pekee yake ofisi ya jaji pamoja na mawakili wa pande zote ndio hii kesi ilipoenda kumalizwa!!!
Kuna washitakiwa watatu nje ya Mbowe. Nao waliitwa 'kuyamaliza'?
 
Ni bora hii kesi iishe ili "magaidi" wetu wawe huru wakakae na familia zao ila sijui hii kesi ikiisha tutapata wapi tena burudani nyingine maana hii kesi ilikuwa ni burudani tosha! Nilitamani sheria ziboreshwe kidogo ili kuruhusu Boaz, Kingai, Swila na "msiri" wao Urio wote kwa mpigo wapigishwe kwata na Kibatala kizimbani halafu afuatie IGP Siro!

Ningetamani pia kama sheria ingeruhusu, jemadari Kibatala angetudokezea kikosi kazi cha askari wa miamvuli aliokuwa amewaandaa kama mashahidi ili tuwafahamu!
 
Sijui kwanini tunakubali kuhadaika kiurahisi hivi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hiyo kesi haiwezi kuisha kiurahisi hivyo mark my words hawa watu watafungwa tu ingawaje ni ukweli mchungu ila watafungwa hii kesi imekaa vibaya hawawezi tumia gharama kubwa then wawaachie kiurahisi hivyo
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Sijui kwanini tunakubali kuhadaika kiurahisi hivi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hiyo kesi haiwezi kuisha kiurahisi hivyo mark my words hawa watu watafungwa tu ingawaje ni ukweli mchungu ila watafungwa hii kesi imekaa vibaya hawawezi tumia gharama kubwa then wawaachie kiurahisi hivyo
Aisee
 
Sheria ya wapi hiyo ndugu.sheria haiko hivyo
Jaji aliuliza mnataka rais mwinyi aje mahakamani?

Wakili Mallya: Huko mbelene ikihitajika itakuwa hivyo

mdukuzi suburi : utaelewa taratibu maana nyie mlipeleka simu mahakamani bila sim card [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom