DCI Boaz vipi, Mbona amekimbia kesi ya Mbowe?

DCI Boaz vipi, Mbona amekimbia kesi ya Mbowe?

Kama Jaji akijifanya hamnazo na akaamua kuwa hawa watu wanne "WANA KESI YA KUJIBU"...

Basi, iwe isiwe, wote waliokwepa kuja kutoa ushahidi kuthibitisha makosa ya washitakiwa kama waleta mashitaka [Jamhuri], then wajiandae kuwa mashahidi wa upande wa utetezi....

That means, hawajakikwepa kizimba cha mahakama. Na hata chief Hangaya kupitia kwa AG wake ajiandae kuja kujibu maswali kizimbani....

Mpaka hapo, one can easily predict what would be maamuzi sahihi ya Jaji Tiganga siku ya Ijumaa tarehe 18/2/2022 yatakuwaje...

To cut it short, ni kuwa, THE GAME IS OVER....!!
Wewe ndiye umefanya concise analysis. A well reasoned one! Hata Samia atakuja kujibu maswali, Tena huyo Ni shahidi muhimu maana anagahamu kesi nzima ya ugaidi mpàka Mbowe kufungwa! Itakuwa aeleze Mbowe alifungwa lini kwa kesi ipi
 
Likely, Yes...

Na mambo mengine ni huko Ubelgiji aliko Chief Hangaya kwa sasa na Tundu Lissu....

Wenye akili tunaelewa vizuri sana what's going on "behind the closed doors" si kwa kesi hii tu ya Mbowe bali kwa mambo mengi ya nchi yaliyoharibiwa na Mwendazake John Pombe Magufuli...!

Hiyo siyo "coincidence". Bali ni mpango mzima ulio kamili.
Kama ndivyo,ndugu yetu Sirro naye ajipange.
 
Hangaya alijifanya ana akili kuliko mwendazake, mwisho wa kesi hii ndio mwanzo wa anguko la kasi la ccm.
kauli ya umma sio chokochoko.
Hivi mnapozungumzia "umma" huwa mnamaanisha nini aisee, huenda mie sielewi, ni huu umma unaomtukana JPM kila uchao mitandaoni? embu nendeni site mkamtukane ndo mjue nini maana ya umma.
 
nikisikia mwana ukoo kawa ccm naomba kabisa kumfuta jina la ukoo.asije kutuzalia wapuuzi kama ziro na ccm
 
Serikal huwa inapoteza sana tu. Tofauti ni kwamba watuhumiwa watakaa muda mrefu sana hadi serikal ije ikubali kunyanyua mikono juu si leo
No mpaka hapa serikali imehadhirika vya kutosha. Kumbuke wako jela miezi mitano. Ni mingi Sana hii.
 
Mpelelezi hajui hata maana ya Triangulation katika kuidentify estimated location of mobile phone/user .... maajabu ya wapelelezi wa mchongo na serikali inaona bado ni bora kuajiri form four failures.
 
Ukweli ni kwamba baada ya Mbowe juzi kwenda pekee yake ofisi ya jaji pamoja na mawakili wa pande zote ndio hii kesi ilipoenda kumalizwa!!!
Juzi jumapili?
Aisee, kumbe Tz watu wanachapa kazi mpaka jumapili?safi sana
 
Sijui kwanini tunakubali kuhadaika kiurahisi hivi 😀😀😀😀 hiyo kesi haiwezi kuisha kiurahisi hivyo mark my words hawa watu watafungwa tu ingawaje ni ukweli mchungu ila watafungwa hii kesi imekaa vibaya hawawezi tumia gharama kubwa then wawaachie kiurahisi hivyo
Watafungwa kwa Kosa Lipi?
 
Leo upande wa mashtaka umefunga ghafla kesi ya ugaidi inayowahusu washtakiwa wanne akiwemo Freeman Mbowe.

Katika hali ya kushangaza shahidi muhimu ambaye akitajwa karibu kila siku na mashahidi wa upande wa serikali DCI Boaz hajaitwa mahakamani kutoa ushahidi.

Ikumbukwe huyu ndiye aliyepokea taarifa kutoka kwa Luteni Urio, juu ya kuwepo mipango ya ugaidi, na yeye aliye andaa mpango kazi wa awali wa kesi hii. Boaz alitakiwa kuja kuieleza mahakama ni kwa jinsi gani aliiona hii kesi ni ya ugaidi, alitakiwa kuunga mkono ushahidi wa Urio na kuthibitisha kwamba kweli Urio alifika ofisini kwake, maana hapo Kuna utata mkubwa, alitakiwa kuieleza mahakama ni kwa Nini alikubali mpango wa kuharibia maisha makomandoo watatu ambao walikuwa na kazi zao, warubuniwe na Urio kwamba Kuna kazi ya ulinzi VIP kumbe wanatumbukizwa shimoni na kubambikiwa ugaidi, kifupi bila Boaz kutoa ushahidi muunganiko wa kesi nzima unakosekana.

Hii haijatokea kwa bahati mbaya, pengine hii kesi ni mchongo hivyo kumleta DCI mahakamani na kudhalilishwa siku 3 mfululizo ni Kibatala itakuwa ni aibu kwa taifa, lakini majibu mazuri zaidi wanayo upande wa mashtaka.
Angebanikwa kama wenzetu wanavyombanika samaki nchanga🤔.Nasijui angeokolewa na nani kwenye kubanikwa huko🏃.
 
Ukweli ni kwamba baada ya Mbowe juzi kwenda pekee yake ofisi ya jaji pamoja na mawakili wa pande zote ndio hii kesi ilipoenda kumalizwa!!!

Exactly, kile kitendo cha kwenda kuonana na jaji pembeni nilijua kabisa jaji anakwenda kuweka ukweli wa serikali ambao Zito alitumwa ukafeli. Simply kesi iliisha ile ile jana baada ya serekali kuona aibu ya wazi.
 
Leo upande wa mashtaka umefunga ghafla kesi ya ugaidi inayowahusu washtakiwa wanne akiwemo Freeman Mbowe.

Katika hali ya kushangaza shahidi muhimu ambaye akitajwa karibu kila siku na mashahidi wa upande wa serikali DCI Boaz hajaitwa mahakamani kutoa ushahidi.

Ikumbukwe huyu ndiye aliyepokea taarifa kutoka kwa Luteni Urio, juu ya kuwepo mipango ya ugaidi, na yeye aliye andaa mpango kazi wa awali wa kesi hii. Boaz alitakiwa kuja kuieleza mahakama ni kwa jinsi gani aliiona hii kesi ni ya ugaidi, alitakiwa kuunga mkono ushahidi wa Urio na kuthibitisha kwamba kweli Urio alifika ofisini kwake, maana hapo Kuna utata mkubwa, alitakiwa kuieleza mahakama ni kwa Nini alikubali mpango wa kuharibia maisha makomandoo watatu ambao walikuwa na kazi zao, warubuniwe na Urio kwamba Kuna kazi ya ulinzi VIP kumbe wanatumbukizwa shimoni na kubambikiwa ugaidi, kifupi bila Boaz kutoa ushahidi muunganiko wa kesi nzima unakosekana.

Hii haijatokea kwa bahati mbaya, pengine hii kesi ni mchongo hivyo kumleta DCI mahakamani na kudhalilishwa siku 3 mfululizo ni Kibatala itakuwa ni aibu kwa taifa, lakini majibu mazuri zaidi wanayo upande wa mashtaka.
Lile tukio la jana la Mh. Mbowe kulalamika kuhusu kunyimwa chakula yeye pamoja na wenzake, jambo likitokea huku Mh. Rais akiwa bado yupo Europe, na tena katika kipindi ambacho balozi mbalimbali za nchi za EU zikionyesha dhahiri kuwa zipo "interested" juu ya kesi hii ya kigaidi.

Pengine hii ndiyo sababu kubwa ambayo imepelekea serikali ikubali mashaidi wa upande wa mashtaka waishie kuwa 13 tu badala ya wale 23 ama 24 ambao walikwisha kuwaandaa. Ushahidi wa Urio na Swila ndiyo ambao ulikuwa muhimu mno katika kujenga msingi wao wa mashitaka.

Kubomolewa kwa misingi hiyo na upande wa mawakili wa utetezi ndiyo imekuwa sababu ya kufanya kidali "po" kwa kuwa endapo DCI Boaz angeletwa kutoa ushahidi ingekuwa fadhaa kubwa kwa upande wa serikali. Kwenye "cross examination" asingeweza kuchomoka katika ku "discharge burden of proof" ili kuwaweka watuhumiwa hatiani.

Mh. Kibatala na timu nzima ya mawakili upande wa utetezi, mnapaswa kupewa kongole nyingi sana. Kwa hakika mmeitendea haki fani ya sheria katika kusimamia kwa weledi mkubwa haki za kisheria.
 
Leo upande wa mashtaka umefunga ghafla kesi ya ugaidi inayowahusu washtakiwa wanne akiwemo Freeman Mbowe.

Katika hali ya kushangaza shahidi muhimu ambaye akitajwa karibu kila siku na mashahidi wa upande wa serikali DCI Boaz hajaitwa mahakamani kutoa ushahidi.

Ikumbukwe huyu ndiye aliyepokea taarifa kutoka kwa Luteni Urio, juu ya kuwepo mipango ya ugaidi, na yeye aliye andaa mpango kazi wa awali wa kesi hii. Boaz alitakiwa kuja kuieleza mahakama ni kwa jinsi gani aliiona hii kesi ni ya ugaidi, alitakiwa kuunga mkono ushahidi wa Urio na kuthibitisha kwamba kweli Urio alifika ofisini kwake, maana hapo Kuna utata mkubwa, alitakiwa kuieleza mahakama ni kwa Nini alikubali mpango wa kuharibia maisha makomandoo watatu ambao walikuwa na kazi zao, warubuniwe na Urio kwamba Kuna kazi ya ulinzi VIP kumbe wanatumbukizwa shimoni na kubambikiwa ugaidi, kifupi bila Boaz kutoa ushahidi muunganiko wa kesi nzima unakosekana.

Hii haijatokea kwa bahati mbaya, pengine hii kesi ni mchongo hivyo kumleta DCI mahakamani na kudhalilishwa siku 3 mfululizo ni Kibatala itakuwa ni aibu kwa taifa, lakini majibu mazuri zaidi wanayo upande wa mashtaka.
Wamejikuta hawana mashahidi
 
Leo upande wa mashtaka umefunga ghafla kesi ya ugaidi inayowahusu washtakiwa wanne akiwemo Freeman Mbowe.

Katika hali ya kushangaza shahidi muhimu ambaye akitajwa karibu kila siku na mashahidi wa upande wa serikali DCI Boaz hajaitwa mahakamani kutoa ushahidi.

Ikumbukwe huyu ndiye aliyepokea taarifa kutoka kwa Luteni Urio, juu ya kuwepo mipango ya ugaidi, na yeye aliye andaa mpango kazi wa awali wa kesi hii. Boaz alitakiwa kuja kuieleza mahakama ni kwa jinsi gani aliiona hii kesi ni ya ugaidi, alitakiwa kuunga mkono ushahidi wa Urio na kuthibitisha kwamba kweli Urio alifika ofisini kwake, maana hapo Kuna utata mkubwa, alitakiwa kuieleza mahakama ni kwa Nini alikubali mpango wa kuharibia maisha makomandoo watatu ambao walikuwa na kazi zao, warubuniwe na Urio kwamba Kuna kazi ya ulinzi VIP kumbe wanatumbukizwa shimoni na kubambikiwa ugaidi, kifupi bila Boaz kutoa ushahidi muunganiko wa kesi nzima unakosekana.

Hii haijatokea kwa bahati mbaya, pengine hii kesi ni mchongo hivyo kumleta DCI mahakamani na kudhalilishwa siku 3 mfululizo ni Kibatala itakuwa ni aibu kwa taifa, lakini majibu mazuri zaidi wanayo upande wa mashtaka.
Wamesitisha kesi kabla hawajathibitisha llosa la ugaidi
 
Back
Top Bottom