Na ingetokea akawa sehemu ya mashahidi, nafikiri yeye angekuwa anaomba awahishwe isiiuuu 🚑na SII washroom kama yule wa12 ba13🤸.alitakiwa kuieleza mahakama ni kwa Nini alikubali mpango wa kuharibia maisha makomandoo watatu ambao walikuwa na kazi zao, warubuniwe na Urio kwamba Kuna kazi ya ulinzi VIP kumbe wanatumbukizwa shimoni na kubambikiwa ugaidi, kifupi bila Boaz kutoa ushahidi muunganiko wa kesi nzima unakosekana.
Kwa weledi wa kitanzania SI lakushangaa Hilo🤔.Sasa unacheka nini?
Hachomoki kwani amechomeka Nini? (in JK voice)jipeni matumaini but mbowe hachomoki round hii
Inaweza isifike hatua ya Mbowe na wenzake kujitetea kama mahakama (judge) itaona hakuna kesi ya kujibu. Kitu ambacho kiko very likely kutokea siku ya Ijumaa 18/02/2022. Hifadhi maneno yangu.Kufungwa kwa kesi upande wa mashtaka ni fursa kwa Mbowe na wenzake kujitetea ili tuwasikie kisha tuone haki inatendeka
Hata ushahidi wenyewe unaifuta kesi, ndiyo maana wameshindwa kumleta shahidi mkuu Robert Boaz.Ameishapewa maelekezo afute hiyo kesi!! Hiyo tarehe 18/2/22 ndio mwisho wake.
Kwa kuwa ni mbambikiaji mkuu unaweza ukaamua asichomoke🤔Hachomoki kwani amechomeka Nini? (in JK voice)
Hii kesi inaisha ijumaa.... Naona serikali imezidiwa kila kona imeamua kula kona. Kesi kubwa hivi mashahidi wachache hivi!
Nadhani naye kwa hii kesi atubu na kuokoka kwa kuwatesa vijana kwa kipindi chote hicho, ukiacha Mbowe aliyekamatwa mwaka jana. Amewaharibia vijana future yao kwa mambo ambayo ni political related (from Lengai Ole Sabaya to Kingai and then to Boaz). Hawa kina Swila and the likes, wameingizwa kwenye jambo ambalo hata walikua hawalijui.Hahahaaaa....... Wapi nimesema na ushahidi wake umestaafu.
Kuna baadhi ya kazi ukishastaafu hautatamani tena kuhusishwa kwa loote zaidi ya kutubu na kuokoka!
Cc johnthebaptistjipeni matumaini but mbowe hachomoki round hii
Kuna wengine ukiweza hata hakuna haja ya kuwajibu. Hawana uwezo wa kufikiri kwa level ya hii kesi.duh!
we jamaa ni fala sana
hivi unakumbuka kesi ya uhamsho ilivyokula hela nyingi zaidi ya miaka 8 na ule ulinzi ulivyokuwa?
Mwisho niambie hii kesi iliisha vp?
Mkuu, unafuatilia vizuri kweli hii kesi? Mashahidi walikua ni 24 na wameishia wa 13.Mashaidi wapo 23 ila wameishia 12 tuu wengine wamekimbia
Rais Mtaafu marehemu Benjamin Mkapa alishahidia akiwa amestaafu. Sembuse hao wanaojinyonga Kwa dekio? Aibu imekuwa kubwa mno Bora wafunge ushahidi.Hahahaaaa....... Wapi nimesema na ushahidi wake umestaafu.
Kuna baadhi ya kazi ukishastaafu hautatamani tena kuhusishwa kwa loote zaidi ya kutubu na kuokoka!
Hahahaha yaani Bora wamefunga ushahidi. Hao 11 wangewekewa pampers kabisa kizimbani.Mkuu, unafuatilia vizuri kweli hii kesi? Mashahidi walikua ni 24 na wameishia wa 13.
KWANI ASKARI WETU NA CCM WANA AKILI?Hii kesi nzima ilikuwa ni ya kipumbavu, mtu mwenye akili zake timamu hawezi kufungua kesi hewa kama hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Unanaanisha policcm au wapi?KWANI ASKARI WETU NA CCM WANA AKILI?
Mjinga yy niliamua kujitoa muhanga ili nipigwe ban kwa ajili yake maana alikuwa anasumbua sn kifungo kimeisha mtamuona tu labda kama alibadili IDKingai a.k.a mjingamimi katoweka baada ya aibu kuzidi.