Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

ephen_ usijikaushe mkuu na wewe ni wale wale ni vile tuu ushahidi wa kukutia hatiani haujawasiliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tuko pamoja. Ngono ni shughuli ya kibiolojia siyo ya kifedha.
 
Si heri wangeomba hela kwasababu ya sababu ulizotaja hapo juu, wadada wengi wanaoomba hela sababu wanataka kumkomoa mwanaume aliewatongoza DR HAYA LAND
 
BTW mwanamke ukimpa hela , mkikutana hachelewi kulowana kule kwa chobisi
 
Aisee Acha kabisa, Acha kabisa sema tatizo la umaskini kwa baadhi ya wanufaika nadhani ni la kuzaliwa nalo, kuna mmoja nilimpa kila nilichoweza ila baaado.......
Godfather mwenyewe aliagiza tukae nao kwa akili aseeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Shida wadada wengi mnaotuomba hela, mnatuomba kwa nia ya kutukomoa, mm nshashuhudia my female co-worker akimshauri rafiki yake wa kike amuombe bwana wake mpya aliekutana nae sh laki 1, imagine, na huyo anaeshauriwa hivyo hakuwa hata na shida ya hela Bantu Lady
 
Kama huna unasema sina
Kumpa mtu hela sio lazima awe mchumba yeyote mwenye uwezo unamsaidia

Hawa ni wachoyo na roho mbaya zimewajaa
Unamwambia mtu unampenda halafu anakosa chakula unashindwa kumnunulia na hela unayo.
Wadada wengi mnatuomba hela kwa nia ya kutukomoa ndo maana hatuwapi, (mnawaza huyu mwanaume hanivutii sio handsome, ngoja nimchune) ila kuna baadhi ya wadada anavyoku treat tu hata million 1 unampa ephen_
 
Wapi nimesema hamna hela? Soma vizuri uelewe. Nimesema kama hutaki kumpa si usimtongoze, atapata kwa wanaotoa. Baki na chululu yako naye abaki na kitumbua chake. Case closed.
Na ndo wanaume wengi siku hizi tunajifunza kufanya hivyo, case in point USA na china, juzi nliona YouTube wanawake wengi china wanalalamika wanaume wengi hawatongozi, hata wakitongoza hawa- pursue kwa mda mrefu, mtu akiambiwa no Moja ni kwaheri Bantu Lady
 
Nyie hamna baya wenye baya ni wale omba omba wasio na adabu halafu wao wakiombwa wanatupigia makelele kwa tarumbeta
 
Kupitia huu Uzi nimejua kwanini Wazee tunahitaji tupewe Ulinzi, maana wakati Vijana wanalalamika kuombwa hizo 30k wakati huo huo Wazee huwapa Kadi kabisa za ATM mabinti wakatoe hela za kutumia πŸ™Œ

NB: Wazee nao walikuwa Vijana πŸ€—
 
Ni jukumu la baba kumhudumia binti yake ambaye hajaolewa

Usijipe umuhimu kwenye majukumu yasiyokuhusu
Na nyie ambao hamjaoa mkapate tumbua makwenu, hao wanaowaomba mmewafata nini kuwaomba vyao kwanini wao wasiwaombe?

Kama kuna mtu aliombwa pasipo kuomba huyo ni halali kulalama tofauti na hapo kila mtu akaombe kwaooooo
 
Chunga sana lugha yako unaponiquote comment zangu,nakuspare kwa heshima ya huu uzi tu,coz hua siwalei wanaonivunjia heshima kwa lugha ya kudhalilisha,

Another day,somewhere else.
Wala hauna uwezo wa kumtisha mtu yoyote, lazima uambiwe ukweli mchungu ili ujinga ukutoke kichwani
 
Kupitia huu Uzi nimejua kwanini Wazee tunahitaji tupewe Ulinzi, maana wakati Vijana wanalalamika kuombwa hizo 30k wakati huo huo Wazee huwapa Kadi kabisa za ATM mabinti wakatoe hela za kutumia πŸ™Œ

NB: Wazee nao walikuwa Vijana πŸ€—
Wazee wa hivyo, walishajitafuta wakapata.
Wameshajenga, wameshasomesha.

Vijana wengi bado tunatafuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…