Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

Kuna demu tumegombana kama week mbili jana nimeamka nakuta mis call kama zote......kumpigia piga story akaanza utapeli wa amenimic mara anipigie video call....badae katikati ya story akanichomekea kirungu....nikacheka nikamwambia hiyo pesa ninayo lakini sikupi akajichekesha akakata simu ajanicheki tena

Kashakula 15k zangu na vifurushi vya kutosha ila jana hakutegemea .....Yahn jitu hatujawasiliana week mbili linanitafuta kumbe linataka hela.
ephen_ usijikaushe mkuu na wewe ni wale wale ni vile tuu ushahidi wa kukutia hatiani haujawasili😂😂😂
 
Mwenzenu nina ""aleji"" ya kuombwa hela

1. Ukiniomba hela basi ujue sura yako inabadilika kutoka Kuwa Beyonce kwenda Masudi sura mbaya..!!!!

2. Ukiniomba hela basi ujue hilo tako lako loteee linayeyuka, nakua silioni tenaaa ....!!!!

View attachment 3078610

Dear baby, ukiniomba hela hiyo meseji sijibu ng'ooooooo.

View attachment 3078613

Dear baby, hela zangu zipo kwa ajili ya kesho yangu ila sio kukuhonga wewe..!!!

I save for my business and not for the Blow J service you provide...!!!

I save for my future and not for pus*y service you provide...!!!

UZI TAYARI.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Tuko pamoja. Ngono ni shughuli ya kibiolojia siyo ya kifedha.
 
Unbidi ujue kwanini anaomba omba tena hela ndogo

Je
She is broke (amefulia)
Hana Kazi (jobless)
Anaumwa (she is sick)
Amepata dharula (Emergency issue)

Au kuomba ndo tabia yake if yes unaweza kumnyima na kumfundisha njia za yeye kuishi pasipo kuwa omba omba

Maana ukimpiga chini bila kumfundisha namna gani aishi , utakuwa haujamsaidia.


Reasonable doubt ✊🏿
Si heri wangeomba hela kwasababu ya sababu ulizotaja hapo juu, wadada wengi wanaoomba hela sababu wanataka kumkomoa mwanaume aliewatongoza DR HAYA LAND
 
BTW mwanamke ukimpa hela , mkikutana hachelewi kulowana kule kwa chobisi
 
Kama hutaki kutumia hela yako kwa mwanamke, kwanini uwe na huyo mwanamke. Hapo ameomba umsaidie. Ndiyo mwanamke uliyemchagua. Hutaki subiri ukioa, shida iko wapi?
Mnakuja kuwaanika watoto wa watu kila siku, hela, hela ukiombwa mamilioni si utatangaza kwenye TV kabisa. Acheni hizo
Shida wadada wengi mnaotuomba hela, mnatuomba kwa nia ya kutukomoa, mm nshashuhudia my female co-worker akimshauri rafiki yake wa kike amuombe bwana wake mpya aliekutana nae sh laki 1, imagine, na huyo anaeshauriwa hivyo hakuwa hata na shida ya hela Bantu Lady
 
Kama huna unasema sina
Kumpa mtu hela sio lazima awe mchumba yeyote mwenye uwezo unamsaidia

Hawa ni wachoyo na roho mbaya zimewajaa
Unamwambia mtu unampenda halafu anakosa chakula unashindwa kumnunulia na hela unayo.
Wadada wengi mnatuomba hela kwa nia ya kutukomoa ndo maana hatuwapi, (mnawaza huyu mwanaume hanivutii sio handsome, ngoja nimchune) ila kuna baadhi ya wadada anavyoku treat tu hata million 1 unampa ephen_
 
Wapi nimesema hamna hela? Soma vizuri uelewe. Nimesema kama hutaki kumpa si usimtongoze, atapata kwa wanaotoa. Baki na chululu yako naye abaki na kitumbua chake. Case closed.
Na ndo wanaume wengi siku hizi tunajifunza kufanya hivyo, case in point USA na china, juzi nliona YouTube wanawake wengi china wanalalamika wanaume wengi hawatongozi, hata wakitongoza hawa- pursue kwa mda mrefu, mtu akiambiwa no Moja ni kwaheri Bantu Lady
 
Mara nyingi kinachotuuma sie wanaume sio kutoa hela, tunapenda kuwapa hela ila shida ni kuwa balqior naeza kuwa najitoa kuhudumia pesa, kumbe vyombo na treatment nzuri anapewa Mzee wa kupambania ambaye hagharamiki kihivyo kama mimi, sasa si ujinga huo Kapeace ephen_
Nyie hamna baya wenye baya ni wale omba omba wasio na adabu halafu wao wakiombwa wanatupigia makelele kwa tarumbeta
 
Kupitia huu Uzi nimejua kwanini Wazee tunahitaji tupewe Ulinzi, maana wakati Vijana wanalalamika kuombwa hizo 30k wakati huo huo Wazee huwapa Kadi kabisa za ATM mabinti wakatoe hela za kutumia 🙌

NB: Wazee nao walikuwa Vijana 🤗
 
Ni jukumu la baba kumhudumia binti yake ambaye hajaolewa

Usijipe umuhimu kwenye majukumu yasiyokuhusu
Na nyie ambao hamjaoa mkapate tumbua makwenu, hao wanaowaomba mmewafata nini kuwaomba vyao kwanini wao wasiwaombe?

Kama kuna mtu aliombwa pasipo kuomba huyo ni halali kulalama tofauti na hapo kila mtu akaombe kwaooooo
 
Chunga sana lugha yako unaponiquote comment zangu,nakuspare kwa heshima ya huu uzi tu,coz hua siwalei wanaonivunjia heshima kwa lugha ya kudhalilisha,

Another day,somewhere else.
Wala hauna uwezo wa kumtisha mtu yoyote, lazima uambiwe ukweli mchungu ili ujinga ukutoke kichwani
 
Kupitia huu Uzi nimejua kwanini Wazee tunahitaji tupewe Ulinzi, maana wakati Vijana wanalalamika kuombwa hizo 30k wakati huo huo Wazee huwapa Kadi kabisa za ATM mabinti wakatoe hela za kutumia 🙌

NB: Wazee nao walikuwa Vijana 🤗
Wazee wa hivyo, walishajitafuta wakapata.
Wameshajenga, wameshasomesha.

Vijana wengi bado tunatafuta.
 
Back
Top Bottom