Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Lengo lake kama Mumeo hakupi alichokuuliza akupe yeye kisha nawe umupee yeye and vise versa is true.Kwanini umeuliza hayo maswali? Lengo lako nini?
Mume wangu akinipa haimaanishi na mume wa yule anampa, wapo wanawake wasiopewa hata matumizi ya lazima achilia mbali pesa ya mambo mengineyolengo langu zuri tu, nataka kujua kama walioolewa huwa bado wanapewa pesa na waume zao kama zamani walipokua ktk mahusiano...
hahaha mkuu ww mkorofi sana😂Lengo lake kama Mumeo hakupi alichokuuliza akupe yeye kisha nawe umupee yeye and vise versa is true.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Mh sio hivyo alivyomaanisha we naeLengo lake kama Mumeo hakupi alichokuuliza akupe yeye kisha nawe umupee yeye and vise versa is true.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Ndio maana nikakuuliza kama umeolewa mumeo huwa bado anakupa pesa? nataka unijibu ww binafsi yako usiwajibie wengineMume wangu akinipa haimaanishi na mume wa yule anampa, wapo wanawake wasiopewa hata matumizi ya lazima achilia mbali pesa ya mambo mengineyo
Kumbe ndo ulichomaanisha?? Kama ndivyo basi Ukiomba na wewe kubali kuombwahahaha mkuu ww mkorofi sana😂
sijamaanisha hicho mkuu, ww twende sawa kuna kitu natamani ujifunze ila nisaidie kujibu kwanza nilichokuulizaKumbe ndo ulichomaanisha?? Kama ndivyo basi Ukiomba na wewe kubali kuombwa
Sio kunipa mi ndo mtunza hazina wakend
Ndio maana nikakuuliza kama umeolewa mumeo huwa bado anakupa pesa? nataka unijibu ww binafsi yako usiwajibie wengine
Nimeshakujibusijamaanisha hicho mkuu, ww twende sawa kuna kitu natamani ujifunze ila nisaidie kujibu kwanza nilichokuuliza
Mkuu,nd
Ndio maana nikakuuliza kama umeolewa mumeo huwa bado anakupa pesa? nataka unijibu ww binafsi yako usiwajibie wengine
mkuu acha bas kuruka ruka😂😂, mm nauliza kama huwa anakupa pesa tofauti na ile ambayo ni majukumu yake kukupa..mfano anakuja anakupa laki 5 anakwambia mke wangu hii yako nimekupa, kwa kifupi anakupa pesa amabyo haikuwa kwene ratiba au majukumu ya kawaida...Sio kunipa mi ndo mtunza hazina wake
ww nadhani umenielewa sana mkuu, lengo lango ndo hilo kutaka kujua kama huyu ndugu yetu hapa anapewa hizo pesa???Mkuu,
Hili swali ni very technical. Ni ngumu kupata jibu la moja kwa moja ila amini nakuambia, ni wanaume wachache wakaweza kutimiza majukumu ya nyumba(kulisha, kuvalisha, kusomesha, kujenga) halafu wakampa mke kiasi chake kwa ajili yake binafsi, wapo ila ni wachache sana. Nasema hivi considering kipato cha mtanzania wa kawaida (ambao wengi tupo kundi hilo)
Ananipaga ndiomkuu acha bas kuruka ruka😂😂, mm nauliza kama huwa anakupa pesa tofauti na ile ambayo ni majukumu yake kukupa..mfano anakuja anakupa laki 5 anakwambia mke wangu hii yako nimekupa, kwa kifupi anakupa pesa amabyo haikuwa kwene ratiba au majukumu ya kawaida...
Yeye anasemaje?kuna kitu nataka nikifundishe hapa kwa wanawake kuhusu kupewa pesa na wanaume zao..ila mpk huyu ndugu yetu anijibu kwanza
Mada imekaa kikuuziana hii anzisha mada nyingine km una lengo jemakuna kitu nataka nikifundishe hapa kwa wanawake kuhusu kupewa pesa na wanaume zao..ila mpk huyu ndugu yetu anijibu kwanza
umejibu vyema, nilichotaka ni ww ufahamu kwamba kupewa pesa na "mumeo" ni jambo zuri na la kupendeza ila kupewa pesa na mwanaume ambaye sio mumeo ili kukushawishi kupata utelezi ni jambo baya na la kukemewa..Ananipaga ndio