Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

nataman atokee mwanamke hapa alieolewa atupe ushuhuda kama bdo mumewe huwa anampatia pesa kama kipnd kile walipokua ktk mahusiano..kuna jambo nataka tujifunze kidogo
 
lengo langu zuri tu, nataka kujua kama walioolewa huwa bado wanapewa pesa na waume zao kama zamani walipokua ktk mahusiano...
Mume wangu akinipa haimaanishi na mume wa yule anampa, wapo wanawake wasiopewa hata matumizi ya lazima achilia mbali pesa ya mambo mengineyo
 
nd
Mume wangu akinipa haimaanishi na mume wa yule anampa, wapo wanawake wasiopewa hata matumizi ya lazima achilia mbali pesa ya mambo mengineyo
Ndio maana nikakuuliza kama umeolewa mumeo huwa bado anakupa pesa? nataka unijibu ww binafsi yako usiwajibie wengine
 
nd

Ndio maana nikakuuliza kama umeolewa mumeo huwa bado anakupa pesa? nataka unijibu ww binafsi yako usiwajibie wengine
Mkuu,
Hili swali ni very technical. Ni ngumu kupata jibu la moja kwa moja ila amini nakuambia, ni wanaume wachache wakaweza kutimiza majukumu ya nyumba(kulisha, kuvalisha, kusomesha, kujenga) halafu wakampa mke kiasi chake kwa ajili yake binafsi, wapo ila ni wachache sana. Nasema hivi considering kipato cha mtanzania wa kawaida (ambao wengi tupo kundi hilo)
 
Sio kunipa mi ndo mtunza hazina wake
mkuu acha bas kuruka ruka😂😂, mm nauliza kama huwa anakupa pesa tofauti na ile ambayo ni majukumu yake kukupa..mfano anakuja anakupa laki 5 anakwambia mke wangu hii yako nimekupa, kwa kifupi anakupa pesa amabyo haikuwa kwene ratiba au majukumu ya kawaida...
 
Mkuu,
Hili swali ni very technical. Ni ngumu kupata jibu la moja kwa moja ila amini nakuambia, ni wanaume wachache wakaweza kutimiza majukumu ya nyumba(kulisha, kuvalisha, kusomesha, kujenga) halafu wakampa mke kiasi chake kwa ajili yake binafsi, wapo ila ni wachache sana. Nasema hivi considering kipato cha mtanzania wa kawaida (ambao wengi tupo kundi hilo)
ww nadhani umenielewa sana mkuu, lengo lango ndo hilo kutaka kujua kama huyu ndugu yetu hapa anapewa hizo pesa???
 
mkuu acha bas kuruka ruka😂😂, mm nauliza kama huwa anakupa pesa tofauti na ile ambayo ni majukumu yake kukupa..mfano anakuja anakupa laki 5 anakwambia mke wangu hii yako nimekupa, kwa kifupi anakupa pesa amabyo haikuwa kwene ratiba au majukumu ya kawaida...
Ananipaga ndio
 
kuna kitu nataka nikifundishe hapa kwa wanawake kuhusu kupewa pesa na wanaume zao..ila mpk huyu ndugu yetu anijibu kwanza
Mada imekaa kikuuziana hii anzisha mada nyingine km una lengo jema
 
Ananipaga ndio
umejibu vyema, nilichotaka ni ww ufahamu kwamba kupewa pesa na "mumeo" ni jambo zuri na la kupendeza ila kupewa pesa na mwanaume ambaye sio mumeo ili kukushawishi kupata utelezi ni jambo baya na la kukemewa..

NB:mwanaume epuka kumpa pesa mwanamke ambaye mpo ktk mahusiano(sio mke wako) kwan hapo mtakua mnauziana na si kupeana kwa upendo
 
Back
Top Bottom