Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

Wewe baki kwenye uanaume izo mambo za kujilinganisha na mwanamke jinsi anavyo para pesa zinaweza kufanya ukataka kua kama wao
Ongezaaa sautiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakika ni mgogoro, kuepuka migogoro ya hivi ni kuachana tu na wanawake.....

Kuna papai lililoiva
Kuna kimfuko unaweka nzi ndani yake
Kuna sabuni za magadi povu kilo kumi
Kuna dear mkono

Aaahhh kwanini usumbuke



#YNWA
#YANGA_BINGWA
 


#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Kuna minamke mingine bhana et sasa huyu kijana hela zake anazifaidi nani!? Iliniuma kishenzi kiufupi hata kula jero yangu ninkazi ,usikubali kuwa chuma ulete kwa mwanamke ambaye hana fyucha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…