Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

Hawa sasa ni wadada ambao hawajiheshimu mkuu mdada kama huyu ni kukaa nae chini na kumwambia makavu live hiyo tabia ninya ukahabaaa
Hawa ndio wale ambao wanakuambia chake ni chake, lakini chako wewe pia ni chake. 😃

Mwanamke nikishapiga hawezi nisumbua, ataziona rangi zangu zote.
 
Kama hutaki kutumia hela yako kwa mwanamke, kwanini uwe na huyo mwanamke. Hapo ameomba umsaidie. Ndiyo mwanamke uliyemchagua. Hutaki subiri ukioa, shida iko wapi?
Mnakuja kuwaanika watoto wa watu kila siku, hela, hela ukiombwa mamilioni si utatangaza kwenye TV kabisa. Acheni hizo
Daaah aiseee 😂
 
Kama hutaki kutumia hela yako kwa mwanamke, kwanini uwe na huyo mwanamke. Hapo ameomba umsaidie. Ndiyo mwanamke uliyemchagua. Hutaki subiri ukioa, shida iko wapi?
Mnakuja kuwaanika watoto wa watu kila siku, hela, hela ukiombwa mamilioni si utatangaza kwenye TV kabisa. Acheni hizo
Hela sio kwamba hatuna tunazo lakini sio zakumpa mwanamke, tunaandaa kesho yetu. Tukiwa na wake tutahudumia familia lakini sio hawa mbuzi.
 
Back
Top Bottom