Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

Nawee usimuombee uchi wake huyo mwanamke, kila mtu abaki nq chakee.

Afu huna helaa weyeee, em endelea kujitafutaaa.
Poleeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na nyie ambao hamjaoa mkapate tumbua makwenu, hao wanaowaomba mmewafata nini kuwaomba vyao kwanini wao wasiwaombe?

Kama kuna mtu aliombwa pasipo kuomba huyo ni halali kulalama tofauti na hapo kila mtu akaombe kwaooooo
Kwenye mchakato wa kuichapa tunagharamia

Ila baada ya hapo asinitafute sijui dear baby nina shida fulani

HATUTAKI
 
Wazee wa hivyo, walishajitafuta wakapata.
Wameshajenga, wameshasomesha.

Vijana wengi bado tunatafuta.
Umesema sahihi Mkuu

Wengi wa Wazee wa Umri huo unakuta anakula pension yake huku anatafuta Binti wa kumtoa upweke tu
 
Nawee usimuombee uchi wake huyo mwanamke, kila mtu abaki nq chakee.

Afu huna helaa weyeee, em endelea kujitafutaaa.
Poleeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ili useme mtu ana hela nikiasi gani hicho?. Au inatakiwa awe na angalau pato la shillingi ngapi kwa mwezi?.
 
Umesema sahihi Mkuu

Wengi wa Wazee wa Umri huo unakuta anakula pension yake huku anatafuta Binti wa kumtoa upweke tu
uzuri gari bovu huvutwa na jipya zima

ni wakati wetu mabinti wabichi warembo kutushika mkono mzee mwenzangu
 
Mwenzenu nina ""aleji"" ya kuombwa hela

1. Ukiniomba hela basi ujue sura yako inabadilika kutoka Kuwa Beyonce kwenda Masudi sura mbaya..!!!!

2. Ukiniomba hela basi ujue hilo tako lako loteee linayeyuka, nakua silioni tenaaa ....!!!!

View attachment 3078610

Dear baby, ukiniomba hela hiyo meseji sijibu ng'ooooooo.

View attachment 3078613

Dear baby, hela zangu zipo kwa ajili ya kesho yangu ila sio kukuhonga wewe..!!!

I save for my business and not for the Blow J service you provide...!!!

I save for my future and not for pus*y service you provide...!!!

UZI TAYARI.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Nje ya camera umelizwa!
 
Back
Top Bottom