Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe utakua ni mtoto wa zinaa au wa kahaba bila shaka,hizi nguvu zitumie kukomaa na mamako ili japo akuonyeshe umjue babako.Wala hauna uwezo wa kumtisha mtu yoyote, lazima uambiwe ukweli mchungu ili ujinga ukutoke kichwani
Kwenye mchakato wa kuichapa tunagharamiaNa nyie ambao hamjaoa mkapate tumbua makwenu, hao wanaowaomba mmewafata nini kuwaomba vyao kwanini wao wasiwaombe?
Kama kuna mtu aliombwa pasipo kuomba huyo ni halali kulalama tofauti na hapo kila mtu akaombe kwaooooo
Hapo ngoma droo, sasa wenzioa wataka wale wasipogharamika ndo na sie tutawaambia waende kula kwaoKwenye mchakato wa kuichapa tunagharamia
Ila baada ya hapo asinitafute sijui dear baby nina shida fulani
HATUTAKI
Umesema sahihi MkuuWazee wa hivyo, walishajitafuta wakapata.
Wameshajenga, wameshasomesha.
Vijana wengi bado tunatafuta.
Hakika mkuu.Ni jukumu la baba kumhudumia binti yake ambaye hajaolewa
Usijipe umuhimu kwenye majukumu yasiyokuhusu
Ila kweliTao hela muweze kuteleza kwenye utelezi
Yeah pussy kwa pesa hapo sawa ila kuhudumia big NOHapo ngoma droo, sasa wenzioa wataka wale wasipogharamika ndo na sie tutawaambia waende kula kwao
SikupendiiiYeah pussy kwa pesa hapo sawa ila kuhudumia big NO
NAKAZIAHakika mkuu.
Ili useme mtu ana hela nikiasi gani hicho?. Au inatakiwa awe na angalau pato la shillingi ngapi kwa mwezi?.Nawee usimuombee uchi wake huyo mwanamke, kila mtu abaki nq chakee.
Afu huna helaa weyeee, em endelea kujitafutaaa.
Poleeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa nini lakini mtu wangu wa nguvu?Sikupendiii
uzuri gari bovu huvutwa na jipya zimaUmesema sahihi Mkuu
Wengi wa Wazee wa Umri huo unakuta anakula pension yake huku anatafuta Binti wa kumtoa upweke tu
Mchoyo mchoyoKwa nini lakini mtu wangu wa nguvu?
Nje ya camera umelizwa!Mwenzenu nina ""aleji"" ya kuombwa hela
1. Ukiniomba hela basi ujue sura yako inabadilika kutoka Kuwa Beyonce kwenda Masudi sura mbaya..!!!!
2. Ukiniomba hela basi ujue hilo tako lako loteee linayeyuka, nakua silioni tenaaa ....!!!!
View attachment 3078610
Dear baby, ukiniomba hela hiyo meseji sijibu ng'ooooooo.
View attachment 3078613
Dear baby, hela zangu zipo kwa ajili ya kesho yangu ila sio kukuhonga wewe..!!!
I save for my business and not for the Blow J service you provide...!!!
I save for my future and not for pus*y service you provide...!!!
UZI TAYARI.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
😂Tafuta Pesa kijana,
Starehe gharama.
[emoji23][emoji23][emoji23]kuitwa beby kumeisha ulivosema sina hela... Wanawake banaaEndelea kuwapa, mm hata ya bando sitoi. Mtu anakazi analipwa mshahara anaomba ela mpaka ya bando.
View attachment 3078688