Hataki kuhudumia atahudumiwa tu[emoji2] [emoji2] maana si anaona siye twafaidi!Mwanaume anejitambua kabisa hawezi akakaa na mwanamke asimpe hata elfu 10 ya salon. Mwanaume anaeogopa kuhudumia mwanamke wake ipo siku atatunzwa yeye na akiachwa kutunzwa na wanawake atatunzwa na wanaume wenzie maana neno kuhudumia patna halitaki
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bure kabisa wewe
Usisahau kuwa mlipewa adhabu ya kuvuja jasho ili mpate chakula na kutunza wake zenu waliopewa adhabu ya kuzaa kwa uchungu![emoji15] [emoji15] [emoji15]
Kumbe, mi nilikua nafikiri mwanamke ni "msaidizi wa mume" kumbe ni "matunzo".
Na amekukuta mwenyewe uko poa kabisaa..anashindwaje kujiongeza?Etiii. Anataka mtoto mzuri mwenye maisha yake ila kulipia hata umeme anasema mwanamke anapenda pesa
Msaidizi wake...!!mwanaume atakula kwa jasho![emoji15] [emoji15] [emoji15]
Kumbe, mi nilikua nafikiri mwanamke ni "msaidizi wa mume" kumbe ni "matunzo".
Aisee.Usisahau kuwa mlipewa adhabu ya kuvuja jasho ili mpate chakula na kutunza wake zenu waliopewa adhabu ya kuzaa kwa uchungu!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] ameeeen!!!!wanajifanya kuruka ruka km maharage chunguni!Hallelujah.
Sema wanaume wa humu tu ndo naonaga wanapinga jambo la sio kila mwanamke yupo kwa ajili yako linapokuja suala la matumizi. Wengine wanatakiwa wawaone wameze mate wapite[emoji2] [emoji2] [emoji2] ameeeen!!!!wanajifanya kuruka ruka km maharage chunguni!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nimecheka kifalaa..Sema wanaume wa humu tu ndo naonaga wanapinga jambo la sio kila mwanamke yupo kwa ajili yako linapokuja suala la matumizi. Wengine wanatakiwa wawaone wameze mate wapite
Wapo jamani. Tena wapo. Na ni wapole wala hawanaga kelele. [emoji3][emoji3][emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nimecheka kifalaa..
Hata humu wapo wanaojitambua sio wote watata na husikii wakipiga makelele!
Hao wapiga kelele unadhani huwa hawahudumii wanawake zao? Wanawahudumia sana tuu sema wakiingia jf wanajifanya vidume vya kukata na shoka.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nimecheka kifalaa..
Hata humu wapo wanaojitambua sio wote watata na husikii wakipiga makelele!
haswaa!!!!Bila shaka wameupata ujumbe, tatizo ni kuuelewa huo ujumbe!
Kweli kabisa. Wanaolalamika wanakwanguliwa ile ile wakija huku wanajitia mimi mwanamke konyo konyo kumbe akitoka hapo anatoa kama kawaida huku anachuuza wenzieHao wapiga kelele unadhani huwa hawahudumii wanawake zao? Wanawahudumia sana tuu sema wakiingia jf wanajifanya vidume vya kukata na shoka.
Ukisoma comment ya mtu unajua kabisa huyu ana stress za kukwanguliwa pesa na wanawake zake, sema tuu hana ujanja wa kuchomoka huko anabaki kumalizia hasira kwenye maandishi.