Debate challenge: Nyani Ngabu vs Paul Makonda!

Debate challenge: Nyani Ngabu vs Paul Makonda!

Sass wewe ni nani? Makonda anajulikana kuwa ni Kiongozi wa kitaifa. Hatuwezi kushindanisha samaki papa na dagaa mchele.
 
😆😆😆😆

Anatafutwa sponsa tu.
iu


Miaka ya nyuma hii purukushani ingefanyika pale DDC Kariakoo au Diamond Jubilee.
 
Paul Makonda kadai anataka mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Wao wamemjibu kwa kuweka masharti ili mdahalo huo ufanyike.

Here I come. Mbeba maboksi niliyeishia kidato cha nne na kufeli.

Siweki masharti yoyote yale. Mimi na yeye tufanye mdahalo kuhusu mada yoyote ile…katiba mpya, ufisadi, global geopolitics, Hamas-Israel war, inflation, recession, weight loss, bbl, 50 years of hip hop, elements of hip hop, Magufuli, Gwajima, n.k.

Mimi niko tayari kufanya mdahalo popote pale, muda wowote ule, kuhusu chochote kile.

I know for a fact I’ll wipe the floor with him.

So what’s up Bashite? Come debate me.

I know you are an empty suit. But since you seem to be so gung-ho about debates, let’s have one. Just me and you, Lincoln - Douglas type of debate.

Bring it Bashite. Just bring it.

Maadili weight loss
 
Ndo maana nchi haiendelei yaani makonda adili na maswala nyeti ya nchi pamoja na kupata zero form four. hembu kuweni serious enyi chawa wa lumumba
Just imagine....manake eti wamekosa mtu mwenye utimamu na uppeo wa akili wakammchukua Bashite eti ndo azunguke kukinadi chama na kutatua matatizo ya wananchi.by the way hatatui kitu ni siasa chafu tu za majukwaan kwni hata huo mgogoro wa ardhi watatuzi ni wafanyakazi wa serikali na wao wanadeal na fact so hata kama umelia na kujitoa ufahamu kwa mwenezi but kama kisheria iko wazi wewe ni mvamizi wa eneo utaondolewa tu hata uyo mwenezi hata kusaidia.ni siasa hangaisha bwege tu za majikwaani lkn wenye maamuzi ni watu wengine kabisa who does not listen to shit
 
Vitu vingine ni upumbavu, MAKONDA aache kazi zake aje kubishana na mtu ilimradi MTU kweli? Hakuna anaekujua wala kukufahamu mnajadili nini sasa
 
Ikiwa nishindano la makalio makubwa basi najua atakayeshinda... Vile anafikiri Kwa "hayo" anadhani atashinda maana anayo!!
Kiongozi makini hawezi bishana na pumbafu mwana mizaa
 
Makonda ana dili na masuala nyeti ya nchi wewe unakuja na utoto utoto wa " hip hop"

Mwenzako anafikiria kuchukua nchi wewe bado unawaza kuhusu hip hop?Halafu ndo unataka kudebate nae?.🤣🤣🤣🤣 utoto raha kweli

Makonda atakugaragaza vibaya mno mkuu..

Mwaka 2024 mtu anazungumza kuhusu hip hop?
Your mindset has stuck in the 90s thats why U think 2024 is 1994 or 1996.

Mkuu we are in 2024 not 1994. And I repeat! t
This is 2024 and not 1994.

Makonda humuwezi mkuu. Kua kwanza kifikra ndio ujaribu kutafuta debate na Makonda.
So katika topics zoote alizoorodhesha kwamba anaweza kudebate na Makonda we ndo umeona hiyo pekee??

Huyo Makonda ana nini kichwani hadi asiwezekane??

Au wewe kati ya watu woote wa maana waliopo CCM we unaona Makonda ndo mwamba sana??
Labda kama umeamua kujitoa ufaham, vinginevyo hata wewe huamini ulichokiandika.
 
Paul Makonda kadai anataka mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Wao wamemjibu kwa kuweka masharti ili mdahalo huo ufanyike.

Here I come. Mbeba maboksi niliyeishia kidato cha nne na kufeli.

Siweki masharti yoyote yale. Mimi na yeye tufanye mdahalo kuhusu mada yoyote ile…katiba mpya, ufisadi, global geopolitics, Hamas-Israel war, inflation, recession, weight loss, bbl, 50 years of hip hop, elements of hip hop, Magufuli, Gwajima, n.k.

Mimi niko tayari kufanya mdahalo popote pale, muda wowote ule, kuhusu chochote kile.

I know for a fact I’ll wipe the floor with him.

So what’s up Bashite? Come debate me.

I know you are an empty suit. But since you seem to be so gung-ho about debates, let’s have one. Just me and you, Lincoln - Douglas type of debate.

Bring it Bashite. Just bring it.

Kuna viande wanalalamika kisa umetaja Hiphop wakati umesema hapo mjadala wowote ule anaoutaka mwenezi mpenda midahalo

Kweli hii nchi ina viazi wengi sana, yaani kwenye content yote hii uliyosema walichoona ni hiphop tu??

Tena kiuhalisia tukienda nje ya boxsi mziki ambao una historia ya kuziongelea harakati na kumpigania mtu mweusi kuliko hizo taarabu wanazozisikiliza na kuzipamba kwenye majukwaa yao wakati wa kampeni??

Hii nchi tuna wapuuzi wengi sana
 
Aisee nimetafuta maana ya pretzel dictionary Bado sifahamu BBL [emoji41][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani Una smartphone na Google unashindwa kuelewa maana ya hilo neno la kimarekani? Ni crisps biscuit hizo🤣
 
Paul Makonda kadai anataka mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Wao wamemjibu kwa kuweka masharti ili mdahalo huo ufanyike.

Here I come. Mbeba maboksi niliyeishia kidato cha nne na kufeli.

Siweki masharti yoyote yale. Mimi na yeye tufanye mdahalo kuhusu mada yoyote ile…katiba mpya, ufisadi, global geopolitics, Hamas-Israel war, inflation, recession, weight loss, bbl, 50 years of hip hop, elements of hip hop, Magufuli, Gwajima, n.k.

Mimi niko tayari kufanya mdahalo popote pale, muda wowote ule, kuhusu chochote kile.

I know for a fact I’ll wipe the floor with him.

So what’s up Bashite? Come debate me.

I know you are an empty suit. But since you seem to be so gung-ho about debates, let’s have one. Just me and you, Lincoln - Douglas type of debate.

Bring it Bashite. Just bring it.

Ngoja chawa wake waje wakupopoe.
Anayemteua Makonda basi inawezekana wote wanalingana uwezo
 
Makonda ni muuaji na mtesi wa Watanzania mikono yake ina damu.
 
Back
Top Bottom