Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Nimemuambia katuwekea jina la mchongo hapa.Sawa Mkuu, ila Nyani Ngabu hajaweka masharti yoyote ikiwemo hilo la identity. Fanya mpango confirmation ipatikane. We all need fareness Mkuu!
Tunahitaji uhakiki kumjua Nyani Ngabu ni nani.
Pamoja na picha, kujua majina yake kamili, yaliyohakikiwa na huduma inayoeleweka na kukubalika, wakiwamo Polisi Makao Makuu, NIDA, Mwenyekiti wa serikali ya mtaa, Mjumbe wa nyumba kumi na majirani watano alioishi nao kwa kipindi kisichopungua miaka mitano kila mmoja.