DED Magu angalia sana Idara ya Elimu Msingi

We
Ngoja tumalizie kukusanya uozo wa DEO Geita vijijini anayejiita Afisa Usalama hafu tuuweke hapa ndio Aaak
QS
Weka mambo hadharani; hata kama ni afisa usalama, hajatumwa kuja kunyanyasa watu. Tena mimi naamini kama kweli huyo DEO wa Geita (V) ni afisa usalama, angekuwa mtendaji bora sana maana angekuwa ameiwa. Mfikishieni taarifa zake Mhe. Msukuma adili nae.
 
Hizi ni fitina kwakua tu hujapata!! Penye ridhiki hapakosi fitina!!

Ualimu ni kazi ya hovyo sana!
Wewe Lusungo hujui usemalo!! Unamdharau mwalimu ambaye ndiye alikufuta tongotongo! Tena inavyoelekea unawachukia waalimu tangu ukiwa shuleni, ndio maana hata uandishi wako unajionyesha!! Unasema: - Hizi ni fitina tu "kwakua" hujapata. Hakuna neno kwakua kwenye kiswahili, bali kuna maneno kwa kuwa au kwa sababu. Kwenye sentensi yako ya pili unasema: - penye "ridhiki" hapakosi fitina. Hakuna neno la kiswahili ridhiki, bali kuna riziki (mahitaji akirimiwayo mtu na Mwenyezi Mungu) na dhiki ( shida, au kutindikiwa).
Nakushauri, kama huna hoja za kupinga mada iliyoletwa humu, ni vema ukasoma tu ukapita kimyakimya kuliko kuandika mambo ambayo yanakufunua udhaifu wako tu.
 
Sasa kama kahamishiwa Misungwi ubaya uko wapi? Kwani Misungwi wachapa kazi hawatakiwi?
Halafu mind set za wabongo wengi zimekaa hovyo sana. Mtu una masters unakaa kushindana na watu wa vidiploma na degree kwenye uafisa elimu badala ya kutumia elimu yako kutengeneza hela nje ya ofisi. Kusoma ni kuongeza maarifa sio kuongeza majungu!
 
Nyie walimu ni hovyo mno na taaluma yenu imejaa dhiki, laana na taabu.

Mwenzako akipata wamuonea kijicho
 
Hakuna ubaya kwa afisa huyo kuhamishiwa Misungwi, maana hata kama ni mchapa kazi huko Kolomije nao wanahitaji hayo maendeleo.
Hoja ya mleta uzi nadhani ni mazingira yaliyosababisha afisa huyo kuhamishwa, ameeleza mwanzoni kuwa ni majungu na kutokujiamini kwa DEO ambaye ametumia influence yake na REO kumhamisha afisa huyo.
Piga picha, je kama watakuwepo maafisa wengine ambayo DEO huyo ana wasiwasi nao kwa kutokujiamini kwake, na yeye ni "mzigo" wa REO si ataendelea kuwapangua hapo ofisini? Huoni kuwa hali hiyo itaathiri utendaji wa ofisi kwa kubadilishabadilisha maofisa bila sababu za msingi? Huoni kwamba ni kuiingiza gharama serikali kwa kulipa fedha za uhamisho usiokuwa wa lazima kwa maofisa.
Lakini, licha ya uhamisho huo yapo pia malalamiko yaliyotolewa dhidi ya DEO na maofisa wengine. Kama ni ya kweli kwa nini DED Magu asiyafanyie kazi?
 
Nyie walimu ni hovyo mno na taaluma yenu imejaa dhiki, laana na taabu.

Mwenzako akipata wamuonea kijicho
Mimi siyo mwalimu na ndiye niliyeleta mada hii. Hata kama ningekuwa mwalimu; sijui wewe unafanya shughuli gani. Lakini iwe iwavyo, nimeshakueleza tangu awali kuwa hujui usemalo maana kwa mtu yeyote muungwana hawezi kudharau kazi ya mtu mwingine. Kazi maana yake ni shughuli halali anayoifanya mtu kwa ajili ya kujipatia riziki ili aendeshe maisha yake.
Unasema kazi ya ualimu ni ya hovyo, ina laana, ina dhiki na taabu; kazi yako wewe ni ipi ambayo haikupi taabu?
Kazi ni baraka wala siyo laana; maana bila kazi utaendeshaje maisha yako? Inaelekea wewe ni kilaza, huna hoja zaidi ya kashfa na huenda huna kazi yoyote zaidi ya uzururaji na u- mission town. Mtu anayejitambua hawezi kusema kuwa kazi ni laana badala ya baraka. Wewe unawazidi nini waalimu? Wanafanya kazi njema na adhimu ya kuwapata watoto elimu (ambayo wewe huna) maana ungekuwa nayo ungejitambua na usingeandika unayoandika. Ni watumishi wa umma, wanalipwa mishahara hata kama ni midogo lakini inawawezesha kujikimu; wana dhamana ya serikali, mwalimu wanaweza kukopa benki mpaka 20M/= kulingana na mshahara wake, anaweza kukopa nyumba, usafiri, ana bima ya afya yeye na familia yake na wazazi wake; mwisho wa ajira yake anatoka na kitita so chini ya 80M/=; wewe una nini na hatma yako ni ipi? Unajilisha upepo tu; pambana na hali yako.
 
Hata Idara ya ELIMU SEKONDARI -MAGU uozo ni ule ule, nipo naunganisha scene nitakuja na mkeka mzima.
 
Yesse kanyuma kashahamishiwa wizarani tangu Sept
Mtiririko wa safari yake ya utumishi unaonyesha mafanikio; alikuwa DEO Magu, akahamishiwa Shinyanga kuendelea kuwa DEO, baadae Geita kama Afisa Elimu Mkoa (REO); na sasa amehamishiwa wizarani. Inawezekana ana majukumu makubwa zaidi ya kikanda au kitaifa, ni mafanikio; hongera Yesse.
 
PM kufanya nini mkuu? Unadhani DED hajui upuuzi wa hao Johari na Glory? Uzi huu sioni kama umewachongea hao maafisa, wao pia wautumie kubadilika maana hata watendaji wa chini yao wasio walimu malalamiko yao DED ameyaona, ameyasikia na amewahi waonya. Hasa Johari alishaonywa live na DED.
Mkuu rkidilu; mimi siyo Afisa Elimu vifaa na takwimu wala si mwalimu. Kama hutajali njoo PM.
 
DODOMA huku watu wanapeleka Hadi 2M wilaya siitaji. Uratibu huu huu
Huyo Mare man anayesema uratibu hauna mafangu yeyote hajafanya utafiti. Mratibu ana posho ya 250,000/= kila mwezi, anapewa usafiri wa pikipiki, anapewa posho ya mafuta kila mwezi hata kama ni 150,000/= akichanganya zinakuwa 400,000/=. Hiyo ni hela ndefu sana nje ya mshahara, ambayo mratibu anaweza kuikopea benki kwa makato ya laki 3 kila mwezi; kwa mwaka ni M3.6/=; akichukua mkopo wa miaka mitano tu anabeba M18/= kwa posho tu; hayo siyo maslahi?
 
Halmashauri, Manispaa, Majiji, kuna majungu na mambo ya ajabu ya sana!
Ahsante Mungu kuniepusha na hicho kikombe!
Wacha tubanane huku serikali kuu
 
Huyo aliyehamishiwa Misungwi hafai kabisa maana ameharibu ndoa za walimu, mtukanaji hakuna cha maana alichokifanya hafai kabisa, tutamkumbua JJ aliyekuwa mtumishi hodari mwenye utu
 


Kwanini hukutoa taarifa kwa mamlaka husika zimkamate kwa wakati huo? Ninyi walimu kwanini hampendani?
 
Hapo DED achukue hatua aisee ,lakini pia waalim nao wamezidi umbulula wanashindwa kuyaanika hayo maovu? Mbona viongozi wapo wengi wa kupelekewa taarifa?
Hizo tuhuma hazina ukweli wowote,palipo na mafanikio ..

majungu lazima...D.o anafanya kazi vizuri sana...na Magu imekuwa ya tatu kimkoa sababu ya kusimamia taaluma hUyo AFISA aliyehamishwa ilikuwa na Tabia mbaya....

.uzinzi ...KATEMBEA NA WAKE ZA WATU WENGI,

WENGINE NI WAALIMU AMEWAVUA MPK CHUPI kuwasaidia kupata ruhusa za kwenda masomoni

....na mwisho hata huko alikokwenda bado kuna WAKE ZA WATU KWA NINI ANGANGANIE MAGU TU??? ...HII NI AIBU ABADILIKE
 
Huyo Afisa aliyehamishwa ilikuwa kichomi KBS

KATEMBEA NA WAKE ZA WATU WENGI TABIA YAKE HAIKUWA NZURI KABISA,

WALIMU WENGI WA KIKE KAWALAGHAI KUWA ATAWASAIDIA KUPATA RUHUZA ZA KWENDA MASOMONI

...HATA HUKO ALIKOPELEKWA AENDE TU SI KUNA WANAWAKE...NANI ASIYEMJUA
 
Mkuu kandukamo1; umeimarisha hoja ya mleta mada na inaelekea uko well informed na kinachoendelea hapo halmashaurini kuhusu ofisi ya DEO.
Inavyoelekea huyu Johari ndiyo mastermind au brain ya hiyo ofisi ya DEO kwa hiyo amewavuta wenzake masikio!! Mkurugenzi anapaswa kufanya kitu sasa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…