DED Magu angalia sana Idara ya Elimu Msingi

DED Magu angalia sana Idara ya Elimu Msingi

Umeona kaka hiyo Afisa ana matatizo sana ...ilikuwa anatumia madaraka vibaya .....KATEMBEA NA WALIMU WENGI WA KIKE NA ALIWAAHIDI MAMBO MENGI ...


KAMA WAKIZUNGUA TUWATAJE..

WENGINE ALIPANGA AENDE NAYE TWIGA LODGE IPO MAJENGO ILI AMSAIDIE KUPATA RUHUSA YA KWENDA MASOMONI

ALIKUWA WA OVYO BORA SASA HIVI ....OFISI IMEPUMUA KABISA ...MUONGO MKUBWA
Nyeusi ni nyeusi tu, ukiita nyeupe ni uongo; lakini ukiwa mnafiki unaweza kufanya hivyo ili kujifariji, lakini wenye kutambua mambo watang'amua.
Kanusha kwa hoja tuhuma zinazotolewa dhidi ya hao wanaolalamikiwa; na kama una malalamiko dhidi ya SLO aliyehamishwa yiweke bayana.
Tunajua taratibu za kiutumishi zipo lakini lazima ziwe na mahali pa kuanzia na panaweza kuwa hapa.
Tamaa ikikomaa huzaa dhambi, na dhambi ikikomaa huzaa mauti; huo ndio mtiririko. Mtaka nyingi nasaba, hupata mingi misiba.
 
KUMBE UALIMU MKUU UNATOA LAKI TATU MRATIBU MILIONI DUU SERIKALI YA WANYONGE kwa hiyo posho imesababisha kila mtu anatamani kupewa cheo
Ndio unyonge wenyewe huo, ingawa wale wa kuji mwambafy wanacheza na gap, unatoa laki zako 3 unakuwa mkuu, unazichanga tena unatoa m1 unakuwa mratibu, mambo yanasonga.
 
Kweli kaka tuhuma hizo ni za uwongo na hiyo Afisa MAJURA hajafanya lolote Magu zaidi ya kutembea na wake za watu
Inaelekea wewe kangodi una mengi unayoyajua kuhusu hiyo ofisi ya DEO; good. Unasema DEO Glory amesimamia taaluma mpaka Magu imeshika nafasi ya tatu kimkoa kwenye PSLE 2019. Glory alikuja lini Magu mpaka awe na impact ya kufanikisha matokeo ya PSLE? Glory hana muda mrefu tangu ashike ofisi hiyo akitokea Taaluma Msingi Ilemela; amekuja Magu amekuta ofisi ina-run, ikiendeshwa na maofisa wasomi wabobezi, chikaka Majura na chikaka Nyagabona, achana na yeye Glory mwenye ka-dirii kamoja kama mwalimu wa kawaida sekondari.
Idadi ya ziara za Huyo Glory kwenye mashule huwezi kuzilinganisha na idadi ya ziara za Majura. Mimi niko Kisesa, nina ushuhuda wa shule yetu hapa na maeneo mengine kuhusu ukaguzi wa mara kwa mara uliokuwa unafanywa na huyo SLO; na kwa muda mfupi waalimu wengi walikwishamfahamu Majura kwa ufuatiliaji wake, na alikuwa na impact kwa waalimu.
Ni hodari pia wa utatuzi na usuluhishi wa migogoro baina ya waalimu wakuu na waalimu, uongozi wa shule na vijiji, hiyo ni moja ya sifa za kiongozi bora.
Alikuwa anashirikisha ofisi nzima kwenye ziara hizo tena kwa kuwalipa posho kwenye kaguzi hizo kutoka kwenye 10% ya fedha za P4R ambazo SLOs ndio wanazisimamia; alikuwa anawalipa posho hadi ma-secretary; niambie lini ulimwona JJ akifanya ziara ya ukaguzi mashuleni zaidi ya kukaa ofisini na kupiga ile 10% ya P4R ambayo inatakiwa kutumika ofisini?
Haya ninayoyasema hata DED anayajua hata huyo Glory na Johari wako wanayajua.
Wewe unaongea leo kwamba Majura alikuwa analala na waalimu na amevuruga ndoa za watu; OK, WHERE WERE YOU BEFORE TO RAISE THAT ISSUE? Leo DEO wako ametuhumiwa, badala ya ku-counter malalamiko yaliyotolewa dhidi yake unaamua kutoa tuhuma dhidi ya Majura!! Unataka ku-nuturalize hoja dhidi ya Glory, Johari na Prisca kwa kumchafua Majura? Shindwa na ulegee!! Kumbuka, TWO WRONGS DOES NOT MAKE IT RIGHT.
 
Yupo afisa elimu mmoja mbeya DC anaitwa Martha mgatta naye kichomi ile mbaya anatusumbua sn walimu, aliwahi kushirikia na aliilyekuwa katibu tsd wilaya asiyekuwa na sifa ya cheo hicho Zefrain mwenda kuwafukuzisha kazi walimu wanne kwa mpigo kwa sababu zake binafsi.
 
Cwt sio mtetezi kwa walimu snsn inatumika tu kukandamiza hao walimu wakishirikiana na mwajiri.
 
Tunaomba picha ya huyo majura mla wake za watu!!! Maana tukimuona tu tuwe macho!!!
 
Mkuu tunaomba picha ya huyo afsa majura mla wake za watu ili tuwe nae makini maana inaonekana ni bonge la bandidu!!!
Kweli kaka tuhuma hizo ni za uwongo na hiyo Afisa MAJURA hajafanya lolote Magu zaidi ya kutembea na wake za watu
 
Haya mambo yanasikitisha sana. Mtoa Uzi huu ni mmoja ya wenye sifa ila hapewi nafasi nionavyo.

Ushauri wangu.
Unapoteza muda mwingi sana kutaka kupambana na system. Najua unaumia ila tu nikufahamishe serikalini kuna watumishi wazuri sana ila WAPUMBAVU ndio wenye madaraka. Wapumbavu hawapendi WELEVU hivyo huteuana wenyewe ili kulinda madaraka yao.

Nakushauri achana na kugombea madaraka, waachie wenyewe jipe muda utafute pesa ukizipata hutojali mambo ya uongozi. Hebu fikiria 250,000/= hizi hela ndogo sana ukizikosa kwa ajili ya madaraka. Amini maneno yangu kuwa na madaraka bila pesa ni bure tu au tuseme na wewe unataka madaraka ya kwenda kufunulia chupi za walimu?
 
Angalia ulivyo hopeless!! Haha yaani unaiwaza mil 80 baada ya kustaafu? Unawaza mkopo wa mil 20 ukatwe 7 years?

Kwa mentality hii wewe ni mwalimu tu usijifiche.
Mimi siyo mwalimu na ndiye niliyeleta mada hii. Hata kama ningekuwa mwalimu; sijui wewe unafanya shughuli gani. Lakini iwe iwavyo, nimeshakueleza tangu awali kuwa hujui usemalo maana kwa mtu yeyote muungwana hawezi kudharau kazi ya mtu mwingine. Kazi maana yake ni shughuli halali anayoifanya mtu kwa ajili ya kujipatia riziki ili aendeshe maisha yake.
Unasema kazi ya ualimu ni ya hovyo, ina laana, ina dhiki na taabu; kazi yako wewe ni ipi ambayo haikupi taabu?
Kazi ni baraka wala siyo laana; maana bila kazi utaendeshaje maisha yako? Inaelekea wewe ni kilaza, huna hoja zaidi ya kashfa na huenda huna kazi yoyote zaidi ya uzururaji na u- mission town. Mtu anayejitambua hawezi kusema kuwa kazi ni laana badala ya baraka. Wewe unawazidi nini waalimu? Wanafanya kazi njema na adhimu ya kuwapata watoto elimu (ambayo wewe huna) maana ungekuwa nayo ungejitambua na usingeandika unayoandika. Ni watumishi wa umma, wanalipwa mishahara hata kama ni midogo lakini inawawezesha kujikimu; wana dhamana ya serikali, mwalimu wanaweza kukopa benki mpaka 20M/= kulingana na mshahara wake, anaweza kukopa nyumba, usafiri, ana bima ya afya yeye na familia yake na wazazi wake; mwisho wa ajira yake anatoka na kitita so chini ya 80M/=; wewe una nini na hatma yako ni ipi? Unajilisha upepo tu; pambana na hali yako.
 
Duh we mwalimu una kijicho sana
Inaelekea wewe kangodi una mengi unayoyajua kuhusu hiyo ofisi ya DEO; good. Unasema DEO Glory amesimamia taaluma mpaka Magu imeshika nafasi ya tatu kimkoa kwenye PSLE 2019. Glory alikuja lini Magu mpaka awe na impact ya kufanikisha matokeo ya PSLE? Glory hana muda mrefu tangu ashike ofisi hiyo akitokea Taaluma Msingi Ilemela; amekuja Magu amekuta ofisi ina-run, ikiendeshwa na maofisa wasomi wabobezi, chikaka Majura na chikaka Nyagabona, achana na yeye Glory mwenye ka-dirii kamoja kama mwalimu wa kawaida sekondari.
Idadi ya ziara za Huyo Glory kwenye mashule huwezi kuzilinganisha na idadi ya ziara za Majura. Mimi niko Kisesa, nina ushuhuda wa shule yetu hapa na maeneo mengine kuhusu ukaguzi wa mara kwa mara uliokuwa unafanywa na huyo SLO; na kwa muda mfupi waalimu wengi walikwishamfahamu Majura kwa ufuatiliaji wake, na alikuwa na impact kwa waalimu.
Ni hodari pia wa utatuzi na usuluhishi wa migogoro baina ya waalimu wakuu na waalimu, uongozi wa shule na vijiji, hiyo ni moja ya sifa za kiongozi bora.
Alikuwa anashirikisha ofisi nzima kwenye ziara hizo tena kwa kuwalipa posho kwenye kaguzi hizo kutoka kwenye 10% ya fedha za P4R ambazo SLOs ndio wanazisimamia; alikuwa anawalipa posho hadi ma-secretary; niambie lini ulimwona JJ akifanya ziara ya ukaguzi mashuleni zaidi ya kukaa ofisini na kupiga ile 10% ya P4R ambayo inatakiwa kutumika ofisini?
Haya ninayoyasema hata DED anayajua hata huyo Glory na Johari wako wanayajua.
Wewe unaongea leo kwamba Majura alikuwa analala na waalimu na amevuruga ndoa za watu; OK, WHERE WERE YOU BEFORE TO RAISE THAT ISSUE? Leo DEO wako ametuhumiwa, badala ya ku-counter malalamiko yaliyotolewa dhidi yake unaamua kutoa tuhuma dhidi ya Majura!! Unataka ku-nuturalize hoja dhidi ya Glory, Johari na Prisca kwa kumchafua Majura? Shindwa na ulegee!! Kumbuka, TWO WRONGS DOES NOT MAKE IT RIGHT.
 
Mheshimiwa DED MAGU salaam.

Napenda kukueleza machache kuhusu Idara yetu ya Elimu msingi kwenye Halmashauri yetu ya wilaya ya Magu kama ifuatavyo:-

Idara ya Elimu wilayani Magu imeyumba tangu alipohama Yesse Kanyuma, aliyekuwa Afisa Elimu Msingi (W) Magu.

Baada ya Kanyuma kuhamishwa; aliletwa Salyankanga kujaza nafasi hiyo. Mzee huyu Salyankanga (sasa amestaafu) alikuwa mla rushwa aliyekithiri; rushwa ya fedha kwa waalimu wa kiume, na rushwa ya ngono na fedha kwa waalimu wa kike.

Huduma zenye maslahi kwa waalimu wa shule za msingi; iwe ualimu mkuu, uratibu au huduma yeyote yenye maslahi kwa Mwalimu, mzee huyo alikuwa haitoi bila rushwa, ama ya fedha au ngono. Ilikuwa heri sana Salyankanga kustaafu maana chini ya uongozi wake aliwanyanyasa sana waalimu wa shule za msingi.

Bazazi huyo Salyankanga, alikuwa akifanya mambo yake hayo akishirikiana na watumishi kadhaa idarani hapo ambao ndio walikuwa kama mawakala wake hususan Johari na Prisca katika kuzikanyaga haki na stahili za waalimu.

Ameondoka Salyankanga ameletwa Madam Glory kuchukua nafasi hiyo, akitokea Ilemela ambako alikuwa Afisa Elimu Taaluma (Msingi).

Glory (mwenye digrii moja) amefika idarani amekutana na Johari na Prisca; wamempika ameiva, wamempa mikakati yao ovu, ameikubali na sasa rushwa na ukandamizaji dhidi ya waalimu wa msingi vinaendelea.

Glory hajiamini kwenye nafasi hiyo; anajua hatoshi, anawapiga vita maofisa wengine wenye elimu (masters) kumzidi yeye mwenye digrii moja akidhani watampoka cheo chake. Anatuamia "kufahamiana" kwake na R.E.O. Mwanza (kama na Johari "anavyofahamiana" nae) kuwasambaratisha maofisa idarani hapo, na anafanikiwa maana tayari ameshamhamisha Afisa Vifaa na Takwimu kwenda Misungwi; na anatamba eti bado mmoja!!

DED Magu, tafadhali shughulikia ofisi hiyo ya elimu maana usipofanya hivyo, hatimae hawa wadada watakuharibia. Yule Afisa aliyehamishiwa Misungwi ni mchapa kazi mzuri, na wewe unajua; sasa manpower hiyo imeondolewa kwa sababu ya majungu tu. Mheshimiwa Mbunge na Waheshimiwa Madiwani; msaidieni DED wetu kupangua watendaji vichomi kama hao wanaotuondolea watumishi mahiri katika wilaya yetu kwa kutumia influence zao na R.E.O. Mwanza.

Naamini hata matokeo ya darasa la VII mwaka huu Magu kushika nafasi ya tatu kimkoa, huyo afisa Vifaa na Takwimu amehusika pakubwa maana alikuwa anatembelea sana mashule na kuhimiza ufundishaji; tarajia mabadiliko Misungwi.

Naomba kuwasilisha; asante.
Msalimie JJ. Alikuwa mkuu wangu wa shule miaka hiyo. Shule ya msingi kisesa
 
Hizo tuhuma hazina ukweli wowote,palipo na mafanikio ..

majungu lazima...D.o anafanya kazi vizuri sana...na Magu imekuwa ya tatu kimkoa sababu ya kusimamia taaluma hUyo AFISA aliyehamishwa ilikuwa na Tabia mbaya....

.uzinzi ...KATEMBEA NA WAKE ZA WATU WENGI,

WENGINE NI WAALIMU AMEWAVUA MPK CHUPI kuwasaidia kupata ruhusa za kwenda masomoni

....na mwisho hata huko alikokwenda bado kuna WAKE ZA WATU KWA NINI ANGANGANIE MAGU TU??? ...HII NI AIBU ABADILIKE
Duuh.... Kwa uandishi huu. WANANGU HAWATO FUNDISHWA NA MWL WA CALIBER YAKO. MUNGU nipe uhai waepuke kikombe hiki.
 
Hakuna ubaya kwa afisa huyo kuhamishiwa Misungwi, maana hata kama ni mchapa kazi huko Kolomije nao wanahitaji hayo maendeleo.
Hoja ya mleta uzi nadhani ni mazingira yaliyosababisha afisa huyo kuhamishwa, ameeleza mwanzoni kuwa ni majungu na kutokujiamini kwa DEO ambaye ametumia influence yake na REO kumhamisha afisa huyo.
Piga picha, je kama watakuwepo maafisa wengine ambayo DEO huyo ana wasiwasi nao kwa kutokujiamini kwake, na yeye ni "mzigo" wa REO si ataendelea kuwapangua hapo ofisini? Huoni kuwa hali hiyo itaathiri utendaji wa ofisi kwa kubadilishabadilisha maofisa bila sababu za msingi? Huoni kwamba ni kuiingiza gharama serikali kwa kulipa fedha za uhamisho usiokuwa wa lazima kwa maofisa.
Lakini, licha ya uhamisho huo yapo pia malalamiko yaliyotole
Hatuwezi kuyaamini hayo malalamiko ya upande mmoja!
 
Tunaomba picha ya huyo majura mla wake za watu!!! Maana tukimuona tu tuwe macho!!!
Una uwezo wa kumzuia mwanamke asilale na mwanamme anayemtaka yeye hata kama una picha ya huyo mwanamme?
Picha haitakusaidia kwa sababu huyo mwanamke unayetaka kumlinda halali na picha, bali analala na mwenye picha.
Ili ufanikiwe kuzuia huyo mwanamke asilale na huyo mwanamme, itabidi wewe ukichukue hicho anachokipeleka mwanamke kwa huyo mwanamme na ukae nacho kama inawezekana!!
Kama huna hoja soma na kupita tu, kuliko kuandika mambo yasiyo na tija.
 
Ila we mwalimu unajua kufatilia maisha ya watu
Una uwezo wa kumzuia mwanamke asilale na mwanamme anayemtaka yeye hata kama una picha ya huyo mwanamme?
Picha haitakusaidia kwa sababu huyo mwanamke unayetaka kumlinda halali na picha, bali analala na mwenye picha.
Ili ufanikiwe kuzuia huyo mwanamke asilale na huyo mwanamme, itabidi wewe ukichukue hicho anachokipeleka mwanamke kwa huyo mwanamme na ukae nacho kama inawezekana!!
Kama huna hoja soma na kupita tu, kuliko kuandika mambo yasiyo na tija.
 
Haya mambo yanasikitisha sana. Mtoa Uzi huu ni mmoja ya wenye sifa ila hapewi nafasi nionavyo.

Ushauri wangu.
Unapoteza muda mwingi sana kutaka kupambana na system. Najua unaumia ila tu nikufahamishe serikalini kuna watumishi wazuri sana ila WAPUMBAVU ndio wenye madaraka. Wapumbavu hawapendi WELEVU hivyo huteuana wenyewe ili kulinda madaraka yao.

Nakushauri achana na kugombea madaraka, waachie wenyewe jipe muda utafute pesa ukizipata hutojali mambo ya uongozi. Hebu fikiria 250,000/= hizi hela ndogo sana ukizikosa kwa ajili ya madaraka. Amini maneno yangu kuwa na madaraka bila pesa ni bure tu au tuseme na wewe unataka madaraka ya kwenda kufunulia chupi za walimu?
Wewe Ligaba ni Premium Member kwenye jukwaa hili adhimu la JF; haitarajiwi uandike hoja zisizo na mashiko kama huyo anayetaka picha ya afisa aliyehamia Misungwi eti amzuie asilale na wake za watu!!
Unasema mimi ni mwenye sifa lakini sijapewa nafasi; mantiki ya kauli yako hiyo ni kwamba mimi naandika haya kwa sababu nawaonea gere au wivu Glory mtui, Johari Mwasha na Prisca.
Umekosea, mimi siyo mwalimu wala si mtumishi wa umma. Lakini kutokuwa mtumishi wa umma hakumaanishi kuwa sina uwezo wa kutambua mambo mbalimbali yanayonizunguka kiasi cha kushindwa kuyatathmini na kuyadadavua.
Nina uwezo huo kwa sababu ninayaona, nayasikia na mengine yananiathiri nikiwa raia wa nchi hii ambaye nastahili kuhudumiwa na watumishi wa umma kama madaktari, manesi, askari, maafisa ardhi, mahakimu, waalimu, na wengine wengi. Hawa ni watu ambao wapo miongoni mwetu, tunaishi nao, tunazungumza nao na tunashirikiana nao; kwa nini nishindwe kujua yanayoendelea kwenye ofisi hizo za umma wakati mimi ni mteja kwazo?
Siyo lazima matatizo yanayojiri katika ofisi za umma ziandikwe na mtumishi wa umma; zinaweza kuandikwa na mtu yeyote huru kama mwandishi wa habari, mwanaharakati, au raia yeyote wa kawaida mwenye uwezo wa kupata taarifa sahihi juu ya jambo analotaka kuliwasilisha kwa wahusika, ilimradi ana maslahi nalo; kama mimi nilivyofanya.
Nimemwandikia DED Magu ili achukue hatua ya kurekebisha udhaifu unaoendelea kwenye ofisi ya DEO Magu maana mimi ni mwana - Magu, mzazi mwenye watoto wanaosoma kwenye shule za umma wilayani Magu; kwa nini ninyamazie ubovu unaoendelea kwenye ofisi ya elimu kwenye halmashauri yetu?
Unasema niache kupambana na system!! Glory, Johari na Prisca wamekuwa system ya elimu Magu? Huyo Glory Mtui aachane na ujinga anaoufanya hapo ofisini kwa sababu ya kukamatwa masikio na Johari Mwasha; atamharibia kazi na atakuwa anazimia mara kwa mara hapo ofisini kama ilivyotokea juzi na leo ametinga ofisini akiwa na cannula, wakati mwenzake anadunda na juba lake tu.
Kufua chupi za maofisa wa elimu siyo kazi yangu, ingekuwa kazi yangu ningefua tu!! Wewe ni JF Premium member; mchango wako unatarajiwa kustawisha mjadala kwa kutoa hoja na si vinginevyo.
Bado wito wangu kwa DED Magu ni uleule; aangalie ofisi ya DEO Magu.
 
Ila we mwalimu unajua kufatilia maisha ya watu
Mimi siyo mwalimu wa darasani, but I can teach you a lot of lessons; sifuatilii maisha ya watu, napenda kufuatilia issues zenye tija na manufaa kwa jamii.
 
Issue za hao akina Johari zinakuhusu nini? We utanifundisha nini mimi?
Mimi siyo mwalimu wa darasani, but I can teach you a lot of lessons; sifuatilii maisha ya watu, napenda kufuatilia issues zenye tija na manufaa kwa jamii.
 
Back
Top Bottom