DED Magu angalia sana Idara ya Elimu Msingi

DED Magu angalia sana Idara ya Elimu Msingi

Unakasirika nini wewe kisonoko bedui? Acha husda na choyo majinuni wewe.

Utakufa nacho kijiba cha roho
Hulali? Saa 8 usiku badala ya kulala unapost JF tena matusi? Wewe ndiwe mchawi. You are stressed and frustrated; counseling yourself on the gadget by abusive attacks. Utakufa wewe kwa upumbavu kabla ya siku zako; na mimi nitakufa, lakini kwa siku ambayo Mwenyezi Mungu ameipanga, si vinginevyo.
 
Wewe madam bahati Wa wita?
Msalimie lauwo na Eva bila kumsahau sinda
Huyo ni "Madamu" siyo madam; kafungua akaunti JF jana saa 11 jioni, saa 12 akaanza kutoa povu!!
 
Hii issue inawauma sana huko waliko ndio maana wanakuja na I'd mpya kujibu mashambulizi, na wewe ukipata wasaa mtonye boss wao japo huu Uzi nimemtag na kushare nae watsap afanye uchunguzi Wa haki.
Huyo ni "Madamu" siyo madam; kafungua akaunti JF jana saa 11 jioni, saa 12 akaanza kutoa povu!!
 
Wewe ndio mpumbavu uliyejawa na wivu husda na choyo!!

Kumwita mwenzio Manyege sio matusi?

Acha kukana eti sio mwalimu yaani unajionea kinyaa hata wewe mwenyewe?

Roho mbaya na husda hazijengi we popoma
Wapumbavu ni ninyi mnaojaa gas na kumwaga matusi badala ya kuchangia mjadala; siyo lazima kwa kuunga mkono, lakini hata kwa kukanusha au kujibu kwa hoja.
Hao wapumbavu wenzio MANYEGE na MADAMU wamefungua akaunti zao JF ili kum-defend Glory kwa kumwaga matusi badala ya kujibu hoja zilizotolewa kwenye thread ya tarehe 05/11/2019.
Manyege kafungua akaunti tarehe 12/11/2019, post yake ya kwanza ni kwenye hii thread na kaanza kwa kumwaga matusi.
Madamu kafungua akaunti jana around saa 11 jioni; post yake ya kwanza kwenye hii thread amepost around saa 12 jioni, nae kwa kumwaga matusi!!
Wewe ni JF Expert Member; hongera, lakini na wewe badala ya kujibu hoja unamwaga matusi na kashfa tu tena usiku wa manane. Unaniita mpumbavu, mwalimu fukara (japo mimi siyo mwalimu), mchawi, kisonoko, niliyelaanika n.k. Hiyo ndiyo namna mliyochagua ya kumtetea Glory na genge lake.
Wewe Lusungo nimefuatilia post zako kadhaa kati ya zaidi ya 20,000 ulizonazo; nimegundua kwamba una kawaida ya kuwatusi watu unaopingana nao kwa hoja; ni kawaida yako, sikushangai; huna uwezo wa kujenga hoja na kutafakari mambo kwa kina kabla ya kuandika.
Inawezekana hata real life style yako ndivyo ilivyo.
Hata kama wewe ni JF Expert Member, mimi nakuona mpumbavu tu kutokana na style ya uandishi wako.
 
Kima kweli wewe, kwa ulivyo mpumbavu na lofa unafikiri sote tupo kwenye time zone moja!! Kaa utambue si wote waliopo hapa JF mnaishi nao huko mavumbini!!

Naona unaulilia ualimu mkuu walau nawe upate posho!! Kama nakuona na tongo tongo zako.
Hulali? Saa 8 usiku badala ya kulala unapost JF tena matusi? Wewe ndiwe mchawi. You are stressed and frustrated; counseling yourself on the gadget by abusive attacks. Utakufa wewe kwa upumbavu kabla ya siku zako; na mimi nitakufa, lakini kwa siku ambayo Mwenyezi Mungu ameipanga, si vinginevyo.
 
We nae kimpumu tuu mkaanga sumu
Hii issue inawauma sana huko waliko ndio maana wanakuja na I'd mpya kujibu mashambulizi, na wewe ukipata wasaa mtonye boss wao japo huu Uzi nimemtag na kushare nae watsap afanye uchunguzi Wa haki.
 
Kima kweli wewe, kwa ulivyo mpumbavu na lofa unafikiri sote tupo kwenye time zone moja!! Kaa utambue si wote waliopo hapa JF mnaishi nao huko mavumbini!!

Naona unaulilia ualimu mkuu walau nawe upate posho!! Kama nakuona na tongo tongo zako.
Unaishi wapi wewe ambako hakuna mavumbi? Iwe iwavyo, u mavumbi wewe na mavumbini utarudi.
Huna hoja wewe zaidi ya utukanaji; kwa ufinyu wa fikra zako unadhani utaizima hoja hii kwa matusi, mpumbavu wewe na hujui kuwa hujui. Ni heri ungekuwa mjinga ungeweza kuelimika; lakini kwa upumbavu huo utabaki hivyo.
Naona kwenye post zako nyingi ukitaja matusi kibao, kashfa, kejeli n.k. kwa yeyote usiyekubalia nae kwa hoja; upuuzi mtupu!
Kubishana na mpumbavu (kama wewe ulivyo) ni upumbavu pia, na waungwana watashindwa kuona tofauti.
Najua, walengwa wamepata ujumbe na watafanya yawapasayo; wewe endelea kuvurumisha matusi, weka na mapya kama unayo kama unadhani kwa kufanya hivyo utawaepusha walengwa na malalamiko dhidi yao.
Eti nataka ualimu mkuu! Unadhani wote wanaolalamikia utendaji wa idara mbalimbali za serikali wote ni watumishi wa ofisi hizo? Nonsense.
 
Wewe mwalimu tuuu tena ngumbalu... vipi umetupwa pori gani ukafundishe ndugu mwalimu?
Unaishi wapi wewe ambako hakuna mavumbi? Iwe iwavyo, u mavumbi wewe na mavumbini utarudi.
Huna hoja wewe zaidi ya utukanaji; kwa ufinyu wa fikra zako unadhani utaizima hoja hii kwa matusi, mpumbavu wewe na hujui kuwa hujui. Ni heri ungekuwa mjinga ungeweza kuelimika; lakini kwa upumbavu huo utabaki hivyo.
Naona kwenye post zako nyingi ukitaja matusi kibao, kashfa, kejeli n.k. kwa yeyote usiyekubalia nae kwa hoja; upuuzi mtupu!
Kubishana na mpumbavu (kama wewe ulivyo) ni upumbavu pia, na waungwana watashindwa kuona tofauti.
Najua, walengwa wamepata ujumbe na watafanya yawapasayo; wewe endelea kuvurumisha matusi, weka na mapya kama unayo kama unadhani kwa kufanya hivyo utawaepusha walengwa na malalamiko dhidi yao.
Eti nataka ualimu mkuu! Unadhani wote wanalalamikia utendaji wa idara mbalimbali za serikali wote ni watumishi was ofisi hizo? Kaa hivyohivyo!!
 
kingi
[/QU
Wanapambana kumchafua Majura wakiamini kuwa, kwa kufanya hivyo kuwasafisha Glory, Johari na Prisca.

Gidamaa nilisoma maoni yako tangu siku ya kwanza ulivyoyatuma; niliamua kukaa kimya ili niendelee kusoma michango ya wanajukwaa wengine.
Naona umeamua kuvaa silaha za vita (kama hujavalishwa na Glory, Johari na Prisca) ili upambane na Nyagabona, ambaye kwa mawazo yako na hao waliokutuma, mnaamini kwamba Nyagabona au Majura ndio walioandika malalamiko haya kwa DED; mnajidanganya!!
Mnawaza hivyo kwa sababu dhamiri zenu zinawasuta kwani huyo Glory (akichagizwa na Johari) ndiye chanzo cha kuhamishwa kwa Majura; na mkakati wa kumhamisha Nyagabona unaendelea kwa kumtumia REO Mwanza kama mlivyofanya kwa Majura.
Unasema Nyagabona lazima ahame Magu eti kwa sababu amekuwa mwananzengo kwa hiyo ameweka mizizi. Ni kosa kwa kiongozi kuwa na mahusiano mema na watu anaowaongoza? Kwa mtazamo wako wewe mahusiano hasi kati ya kiongozi na watumishi anaowaongoza ndiyo yenye tija mahala pa kazi? Hujui usemalo, wala siamini kama DED anaweza kuchukua ushauri wako huo wa hovyo!!
Wapo maafisa wengi tu waandamizi hapo halmashaurini waliokaa muda mrefu kwa mfano Mkaguzi Mkuu Kaswa, Mkaguzi Mwandamizi mkewe Tungu Kasiga, na wengineo hata huyo mswahilina mwitu Johari (mchana baibui, usiku kwa Mbochi); mbona huwataji hao kuwataka wahamishwe?
Unadiriki kusema eti Nyagabona alikuwa anautarajia u-DEO kana kwamba babu yake ndiye anayegawa vyeo!! Vipi wewe?
Nyagabona ana uwezo, hata kama hamtaki kukubali; amekuwa Afisa Elimu Taaluma msingi tangu enzi za DEO Mtunga, Massaga, Kanyuma, Saryankanga na sasa Glory.
Kwa nini Nyagabona aonekane sasa kwamba ni tishio kwa cheo cha Glory?
Msiwe na tabia kama za mbwa mwenye kichaa; ambaye huwa anang'ata kila anachokiona mbele yake, iwe jiwe, mti, mnyama mwingine au mwanadamu akidhani kwamba hicho anachoking'ata ndicho kinachomsababishia shida kichwani mwake, kumbe shida imo kichwani mwake mwenyewe!!
Shida ya Glory haiko kwa Majura wala Nyagabona, but the problem is within herself!! Hajiamini kutokana na namna alivyopata madaraka hayo; anajua hana vigezo na hatoshi kuwa DEO. Anakijua kilichomwezesha kupata u-DEO lakini siyo vigezo.
Gidamaa unataka watu waliokaa muda mrefu Magu wahamishe kwa sababu tu wamekaa muda mrefu? Kukaa muda mrefu eneo moja la kazi siyo kigezo pekee cha kumhamisha mtumishi, unless viwepo vigezo vingine vinavyoambatana na kigezo hicho.
Unamchagiza DEO Glory awatie moyo waalimu wanawake wenzie maana wakati wa Saryankanga walikuwa utumwani kwa kuvuliwa chupi na hilo bazazi!! Siamini kama Glory anaweza kuwa kiongozi mzuri iwe kwa waalimu wa kike ama wa kiume kwa sababu, kwanza wanawake wenyewe wana tabia ya kupigana vita, kudharauliana na kuonyeshana umwamba, kila mmoja akijiona yuko juu na huwa wanapenda kukomoana zaidi kuliko kusaidiana, especially kwenye mambo ya kiofisi.
Kwa waalimu wa kiume, huyu Glory siamini kama atawatendea haki kwa sababu ya ile hali ya kutojiamini kwake, kutokuwa na vigezo na namna alivyopata madaraka hayo. Atakabiliana na matatizo hayo kwa kuwa strict kupita kiasi, akiamini kwamba atawatiisha waalimu kwa kuwatisha badala ya kuwa humble na cooperative.
Juzi Alhamisi, DED Magu amemsifia sana DEO Glory na timu yake kwenye semina ya Mtihani wa DRS la IV 2019 iliyofanyika Mugini; kwamba eti wanafanya kazi nzuri, wasijali mambo yanayoandikwa kwenye mitandao; n.k Mkurugenzi ni kiongozi mkuu wa halmashauri, haitegemewi a-crush utendaji wa ofisi ya elimu mahali kama pale, lakini ukweli anaujua.
Bado natoa wito kwako DED Magu, waondoe ofisi ya elimu Magu DEO Glory, Johari na Prisca.

Kama Ni senior hivyo Mbona Hana barua ya TAMISEMI, Barua ya aliyonayo Ni ya REO... Hawezi kwenda Popote
 
Kama Ni senior hivyo Mbona Hana barua ya TAMISEMI, Barua ya aliyonayo Ni ya REO... Hawezi kwenda Popote
Umenena haki, huyo Nyagabona asubiri tu kuondolewa ofisini kwa maelekezo ya kutoka juu maana aliteuliwa na REO Batholomeo Mujaya. Hana barua ya Wizara ya Elimu wala TAMISEMI.

Lakini pia, Nyagabona hakuwahi kuwa na masomo ya taaluma. Alisoma ADEM Bagamoyo enzi zile wakiwa hawana teaching subjects. Baadae alisoma Human Resource Management katika Taasisi ya Ustawi wa Jamii Kijitonyama (katika ngazi ya Advanced Diploma) na Masters ya Huma Resorce Management. Ni kisa mtu kama huyo kimpa utaaluma. Ataondolewa punde tu!

Kuhusu Majula, barua yake ya uteuzi ni ya kughushi. TAMISEMI ilielekeza aondolewe ofisini haraka lakiji Mama Fides Mnyogwa, aliyekuwa DEO wake Ukerewe alimwacha aendelee kuwa ofisini kwa sababu alikuwa anatembea naye (alikuwa hawala yake).

Tunafahamu visa vingi vilivyowahusisha Majula, Adam Janga, Gidadi na yule taaluma mwingine aliyetoka Ukerewe na kuhamishiwa Misungwi. Msitulazimishe tuwaanike hadharani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DODOMA huku watu wanapeleka Hadi 2M wilaya siitaji. Uratibu huu huu
NI kote huo ndio mfumo unaotumika katika idara ya elimu na SI msingi tu hata sekondari.Hili jambo wadau Kama hawatolichukulia kwa umakini linakoenda litakuwa na madhara makubwa sana kwa jamii. Huku niliko Kuna walimu walitoa rushwa ya hadi 1.5mil ili wapate uratibu elimu kata na 1mil ili wapate ualimu mkuu na ukuu was shule. Manyanyaso kwa walimu yapo NI makubwa Sana na haya yanaanzia mashuleni na kupandishwa hadi juu kwa maafisa elimu wilaya na mkoa. Wapo wanaofunguliwa mashitaka feki tume ya utumishi was walimu na
 
Nadhani hawataendelea tena, Kitajachofuata Ni kuleta barua zao humu... Naomba ukimya.
Umenena haki, huyo Nyagabona asubiri tu kuondolewa ofisini kwa maelekezo ya kutoka juu maana aliteuliwa na REO Batholomeo Mujaya. Hana barua ya Wizara ya Elimu wala TAMISEMI.

Lakini pia, Nyagabona hakuwahi kuwa na masomo ya taaluma. Alisoma ADEM Bagamoyo enzi zile wakiwa hawana teaching subjects. Baadae alisoma Human Resource Management katika Taasisi ya Ustawi wa Jamii Kijitonyama (katika ngazi ya Advanced Diploma) na Masters ya Huma Resorce Management. Ni kisa mtu kama huyo kimpa utaaluma. Ataondolewa punde tu!

Kuhusu Majula, barua yake ya uteuzi ni ya kughushi. TAMISEMI ilielekeza aondolewe ofisini haraka lakiji Mama Fides Mnyogwa, aliyekuwa DEO wake Ukerewe alimwacha aendelee kuwa ofisini kwa sababu alikuwa anatembea naye (alikuwa hawala yake).

Tunafahamu visa vingi vilivyowahusisha Majula, Adam Janga, Gidadi na yule taaluma mwingine aliyetoka Ukerewe na kuhamishiwa Misungwi. Msitulazimishe tuwaanike hadharani!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
namba force,
Ni kweli; acha na mimi nizungumze machache ninayoyajua kuhusu hiyo ofisi ya DEO Magu ambayo imekumbwa na kashfa nyingi tangu enzi za Saryankanga. Huyu DEO wa sasa ni mpiga hela tu; amekutana na mchagga mwezake Johari rushwa mtindo mmoja.

Naanza na mfano mmoja ambao hata DED Lutengano ataukumbuka. Hivi karibuni tu kuna Mratibu (mama mjane) alihamishiwa kata ya Itumbili kwa uhamisho wa malipo. Mama huyo baada ya kulipwa, DEO Glory na timu yake walimtoza yule mratibu pesa kama shukrani kwao!! Mama yule alikwenda kulalamika kwa DED Lutengano; sijui hatua zilizochukuliwa na DED kama zipo.

Wewe mwenyewe DED, siku za karibuni uliitisha kikao cha Finance ambapo wakuu wa idara walikuwepo. Uliwapongeza wajumbe kwa matokeo mazuri ya mitihani ya darasa la VII; na Katibu wa TSD alichangia kwa kuitaka ofisi ya elimu kuwa na ushirikiano miongoni mwao, badala ya kupigana majungu na kuchongeana hadi kufikia kuhamishwa baadhi ya watendaji chapa kazi kama SLO aliyehamishwa alivyopigwa jungu.

Baada ya kikao DEO Glory alimfuata Katibu huyo wa TSD na kuanza kumshambulia kwa maneno; mpaka sasa mahusiano ya watu hao wawili siyo mazuri; lakini pia mahusiano kati ya DEO na Mkaguzi Mkuu siyo mazuri vilevile kwa sababu ya ofisi ya DEO kupanga wasimamizi kwa mapatano na baadhi ya waalimu wakuu ili watahiniwa wa darasa la VII katika shule zao wasaidiwe. Kwa mahusiano haya hafifu kazi zitafanyikaje kwa ufanisi?

Palifanyika semina au kongamano la Juma la Elimu ya Watu Wazima kimkoa hivi karibuni kule Buchosa. Maofisa wanne wafuatao:- SLO aliyehamishwa, Afisa Elimu ya Watu Wazima, DEO Glory na Johari walilipwa posho kwa ajili ya kuhudhuria na kushiriki kongamano hilo la Juma la Elimu ya Watu Wazima.

Waliokwenda Buchosa ni wawilo tu; SLO aliyehamishwa na Afisa Elimu ya Watu Wazima. DEO Glory na Johari hawakwenda Buchosa licha ya kulipwa posho, wala hawakuwa ofisini Magu siku zote za kongamano hilo. Huyo ni ubadhirifu wa mali ya umma.

Uhamisho wa SLO kwenda Misungwi pia ni ubadhirifu kwa sababu umetolewa kwa majungu. Afisa huyo amekaa Magu kwa muda wa chini ya mwaka mmoja toka alipohamia Magu akitokea Ukerewe na alilipwa.

Kwa uhamisho huu amelipwa tena kumhamishia Misungwi kwa sababu tu Glory na Johari wamekwenda kulalamika kwa Afisa Elimu Mkoa Mwanza eti SLO huyo anawanyima raha!! R.E.O. Mwanza nae kwa sababu hao wawili wote ni wapenzi wake (kama hawajui wajijue sasa), akaamua kufanya alivyofanya TAMISEMI hatimae SLO amehamishwa!!

Mhe. Jaffo, Mhe. Ndalichako, Mhe. Mkuchika afande wangu, tafadhali fuatilieni mambo haya; kuna watu bado hawajamwelewa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Dr. John Pombe Magufuli kwamba dhamira yake kwa dhati ya moyo wake amekusudia kuipeleka mbele nchi yetu.

Baadhi ya watendaji wanafanya yao tu bila kuzingatia Vision, Mission wala Spirit ya Rais wetu. Nitakwenda Magu kumweleza Rais uozo huu siku akija kuzindua mradi wa maji; tutaonana wabaya.
Mrejesho!!!
 
Back
Top Bottom