Mkuu; Usisahau "Ushauri wa mkubwa ni Agizo". Usipoupokea, wewe ni Mkaidi. Mtu mkaidi hafai, hana nidhamu na anaweza kuchukuliwa hatua za kisheria.
Mfano: Wewe ni fundi na nimekuajiri uutumie ufundi wako kujenga nyumba ninayoitaka mimi. Tumekubaliana na kazi ikaanza. Lakini baadaye kidogo nikaja na wazo na nikakushauri kwamba kule kwenye vyumba vya kulala usiweke Tiles kwani nimesikia zina madhara ya kiafya.
Kama ww ni fundi unayejifahamu utapokea na kutekeleza kama nilivyokushauri. Tofauti na hapo (ukikaidi)nitakufukuza kazi.